Subiri msimu ujao halafu uone moto wa Wananchi! Yule mbumbumbu mwenzenu Karia, tutamtafutia dawa nzuri. Halafu tuone kama ataweza tena kuwabeba.Simba bingwa,nyinyi komaeni na mechi za darby tu na sherehe za basi jipya ila ubingwa mtausikia kwenye bbc swahili.
Huu ndio ukweli, kwa mali kauli Mo anamiliki 49% ya Simba, hivyo Simba ikipewa bil 50, karibia bil 24 ni za Mo na Simba na kama bil 26. Ukisikia Simba wanataka walipwe bil 90 jua wanataka walipwe kama Yanga, kwani hapo Mo atasomba kama bil 44 hv.Duh.sidhan Kama ni kweli haya
Siyo ukweli, pesa ambazo Mo katoa mpaka sasa utazisemea nini? hapo mlipigwa mchana kweupe.Azam anaingia mkataba na Simba ambayo haijamilikiwa na MO
Hii shule unayosema umeenda bado hujaielewa vizuri, kodi na gharama nyingine zinalipwa kutokana na shareholding structure,Unapotosha au umedanganywa. Watagawana faida halisi sio mapato ghafi. Hivi utopolo mnaexposure ya shule kweli?
Mapato mbalimbali yakiingia club itafanya matumizi ya kibiashara na kiutawala, halafu watalipa kodi kwenye faida ghafi, itabaki faida halisi au hasara hiyo ndo inagawanwa kwa percent zilizokubaliwa nao.
Ndo maana washabiki wa utopolo kutwa mnadanganywa na viongozi wenu na Wala hamfikiriagi. Jisomeeni basi mfute ujinga wenu.
Unapoongea na layman hizo lugha zako kaa nazo. Kuwa kama RB super maestro, do things in simplest way. Upo?Hii shule unayosema umeenda bado hujaielewa vizuri, kodi na gharama nyingine zinalipwa kutokana na shareholding structure,
Walaumuni Suporng na Nchimbi strickers vilaza.mpila unachezwa uwanjani.Subiri msimu ujao halafu uone moto wa Wananchi! Yule mbumbumbu mwenzenu Karia, tutamtafutia dawa nzuri. Halafu tuone kama ataweza tena kuwabeba.
Kwenye kampuni kuna kitu KINAITWA DIVIDENDS aka Gawio, hizi ni hela mmiliki anapewa na kampuni, haimaaanishi eti kampuni ukipata bilioni 41 basi mwenye hisa Asilimia 49 a napata bilioni 20.Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni sawa na bilioni 20 na milioni tisa.
Hisa ni nini? Hisa ni namna ya kuchanga mtaji wa biashara ambapo biashara hiyo ikifanyika basi wanahisa wanagawana faida au hasara itakayotokana na biashara hiyo.
Wanawake huwa mnatabia ya kutamka uanaume badala ya jinsia yenu,Rudia kusoma usiwe mvivu, mwanaume gani unataka utafuniwe kila kitu?!
Tunasajili, kwa straika hawa hawa tulikutungua vizuri, kwa sasa Yanga inasuka kikosi cha mashindano ya Afrika siyo kupambana na Simba au Mtibwa.Walaumuni Suporng na Nchimbi strickers vilaza.mpila unachezwa uwanjani.
Mkuu kwani Yanga wakikomaa mechi ya derby ya tarehe 25 si nawao watakuwa ni mabingwa na kombe wananyanyua ama ipojeSimba bingwa,nyinyi komaeni na mechi za darby tu na sherehe za basi jipya ila ubingwa mtausikia kwenye bbc swahili.
Hawa mbumbumbu fc ni wasahaulifu sana. Wameshasahau sisi ni Mabingwa wa Kombe la Mapinduzi! Na tulilichukua kwa kuwafunga kupitia mikwaju ya penati.Mkuu kwani Yanga wakikomaa mechi ya derby ya tarehe 25 si nawao watakuwa ni mabingwa na kombe wananyanyua ama ipoje
Umejuaje kuwa ni mwanaume.?Rudia kusoma usiwe mvivu, mwanaume gani unataka utafuniwe kila kitu?!
Anzisha Uzi wako,tittle iwe "JINSI MAUTOPOLO YALIVYO MAJINGA"Ila mijitu ya utopolo asilimia kubwa ni mijinga,yule mzungu aliewahi kuwa kocha wao hakukosea kuyaita majitu haya nyani na yana bweka kama mbwa mzungu alikuwa sahihi sana.
Hayajui chochote kuhusu hisa,unakuta muanzisha uzi ni linyani limoja la utopolo limeshiba karanga linatema tu shudu.
kwa akili zake alijawahi hata kusoma kwenye magazeti mfano:Crdb yapata faida ya bilion kadhaa yaamua kugawa asilimia Fulani ya faida kama gawio kwa wanahisa wake?! Mijitu ya utopolo inadhani pesa ikiingia tu kwenye timu ni kugawana tu!!!mijitu ya utopolo mingi haina shule ndio maana inadanganywa na GSM inabaki kushangilia tu ujinga,Gsm ni kit sponsor wa utopolo,lakini kaingia mpaka ndani ndio anasajili,anaweka timu kambi,gsm ndio kila kitu yanamtangaza na kumshangilia kuliko main sponsor ambae ni sportpesa.
Gsm aliyadanganya mautopolo ameingia sijui mkataba na la liga kwa niaba ya yanga,hayajiulizi uyo gsm ni nani mpaka apate mandate ya kusaini mkataba na la liga kwa niaba ya utopolo?!!yaani leo adidas asaini mkataba wa makubaliano yeyote kwa niaba ya madrid kwakuwa yeye ni kit sponsor?!;au ulhsport leo asaini mkataba wa makubaliano yeyote ya kiutawala kwa niaba ya Simba SC kwakua ni kit sponsor?!! Miutopolo ni minyani kweli haijitambui hata kidogo
Leo gsm ambae kit sponsor kayaandalia rasimu ya mabadiliko kwa niaba yao yanashangilia tu,na yana uongozi baada uongozi wao ndio uandae na kusimamia mabadiliko yote, lakini maajabu ya dunia kit sponsor ndie anaratibu kila kitu,sawa tunajua utopolo ni majinga lakini hata kujiuliza!! uyu tumemueka atuuzie tu mashati yetu inakuaje ndio atupangie kila kitu?! Hayajiulizi yako kama majinga...basi majinga mengi utopoloni.
Wengi wamekaa kishabiki ukweli ndiyo huo ila hawautakiKwenye kampuni kuna kitu KINAITWA DIVIDENDS aka Gawio, hizi ni hela mmiliki anapewa na kampuni, haimaaanishi eti kampuni ukipata bilioni 41 basi mwenye hisa Asilimia 49 a napata bilioni 20.
Hio hela itakwenda kwenye usajili, mishahara, na Matumizi mengine ya kampuni,
Then Mwisho wa mwaka kampuni itaangalia faida yake na kutoa maamuzi ni kiasi gani cha Gawio itoe.
Mfano club kama Man U unakuta pato lake ni kama Euro milioni 700 ila dividends ni kama 15m euros kwa Quarter (roughly 60m kwa mwaka)
Hivyo mkuu si kweli kwamba MO anachukua 20B kwenye hizo hela.
Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni sawa na bilioni 20 na milioni tisa.
Hisa ni nini? Hisa ni namna ya kuchanga mtaji wa biashara ambapo biashara hiyo ikifanyika basi wanahisa wanagawana faida au hasara itakayotokana na biashara hiyo.
Ndio unavyojitadanganya hivyo? Sasa hivi Simba ni Moja tuu nayo ni ya Mwamedi.Azam anaingia mkataba na Simba ambayo haijamilikiwa na MO
Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni sawa na bilioni 20 na milioni tisa.
Hisa ni nini? Hisa ni namna ya kuchanga mtaji wa biashara ambapo biashara hiyo ikifanyika basi wanahisa wanagawana faida au hasara itakayotokana na biashara hiyo.
Unapotosha au umedanganywa. Watagawana faida halisi sio mapato ghafi. Hivi utopolo mnaexposure ya shule kweli?
Mapato mbalimbali yakiingia club itafanya matumizi ya kibiashara na kiutawala, halafu watalipa kodi kwenye faida ghafi, itabaki faida halisi au hasara hiyo ndo inagawanwa kwa percent zilizokubaliwa nao.
Ndo maana washabiki wa utopolo kutwa mnadanganywa na viongozi wenu na Wala hamfikiriagi. Jisomeeni basi mfute ujinga wenu.