Elimu ya majirani ndio inakwamisha EAC

Jamaa anaongea vitu halisia kuhusu elimu yetu, sie tunaleta siasa kama ilivo kawaida yetu, kweli hii elimu yetu sio mchezo, doh, kazi kuongea kiswaglish , ukiulizwa kwa kimalkia unaanza ooh nakipenda kiswahili zaidi , si tuseme tuu hatujui, ila twapenda kuongea mayai.
ila ukweli elimu yetu inahtaji marekebisho, huwezi fananisha elimu yetu na majirani, hata rwanda waliopigana vita mpaka miaka ya hivi karibuni , wana elimu nzuri kutushinda, sie kazi kukramisha maandiko
 
MK254 ondoa ushudu wako humu. Unafikiri nyie ni tofauti sana? Leta humu takwimu za literacy levels na number of students wanaocomplete each level of education!

nilishampa data huyu ndindindi..,

elimu yao upande wa literacy na reading tulishawapita toka 2009, in terms of quality as per unesco report..,

sasa hivi tutakuwa tumeshawaacha mavumbini. Hawa ni watu wa bla bla. ukiwaletea official reports lazima wakimbie., Ndio maana Muhongo hakupata nao shida kwenye show ya Uganda. Siku wakikutana na mtu kama mimi watalia na kusaga meno.
 

Kujisifia upuuzi.

Inawezekana efficiency yako ni ziro kabisa.
 
That has nothing to do with the argument at hand buddy. This is why I prefer arguing with educated fellows.

NairobiWalker
Hehehe!! Man you're damn merciless, handle with care Omera.... Ripping her apart so vociferously, this will discourage her from warming our threads....
 

Inauma kweli.... Watu wengi humu ni elitist ambao wananufaika pakubwa kwenye mfumo unaowanyima raia wengi elimu ya uwezo wa kuhoji.
Ndio utaona mada kama hii wanatiririka kwa kila aina ya pumba na mapicha ili kuzuia mjadala wenye mantiki. Wapo kikazi, njia rahisi ni kuwapuuza.
 
NairobiWalker
Hehehe!! Man you're damn merciless, handle with care Omera.... Ripping her apart so vociferously, this will discourage her from warming our threads....
Hahaha...........saa zingine mtu anaquote post zako alafu anapost vitu kama mtu asiye na elimu hadi inabidi umwambie ukweli.
 
MK254 wakenya mmesoma sana na elimu yenu ni nzuri but plse tumieni hiyo elimubyenu kuijenga kenya moja mumtoe zimwi wa ukabila kwanza ndio muangalie majirani.
 
usis
Yule nyoka aliyemdanganya Hawa kule bustanini alitokea KENYA that's why they have behaved like that!!

usisahau tower of babel pia ilikiwa kenya maana hapo kila mtu na lugha yake yaani na kusoma kote wanakojisifu wameshindwa kuwa wamoja kila mtu anaangalia kabila kwanza then kenya baaadae.
 

Mkiona tunawagomea kila kitu mjue hatuwahitaji, c muendelee na mambo yenu mbona mnalazimisha kuwa na sisi? Wapo wengi tu kama rwanda, congo, uganda na wengine wengi tu tutashilikiana nao sio lazima nyinyi.
Mbona CoW imekufa na hamuongei, walishaona nyinyi hamfai wamerudi walipotoka. Tunawapenda sana mjirani zetu na ndio maana huweizi sikia ug au rw wakiipiga vita tz sababu wanajua kuishi na watu na kukumbuka fadhira lkn sio nyinyi.
Tumechoka na kelele zenu, hebu fanyeni yenu nasi tufanye yetu muone kama kuna mtu atawafuatilia mambo yenu.
 

Hakuna nchi yoyote jirani yenu ambayo huwapiga vita nyie, tatizo lenu huwa mna babaika na kuwa na wasiwasi kwa kila kitu, na pia wivu kwa kila anayejituma. Hao Rwanda mumewazingua sana pale walipoonekana kujituma zaidi yenu.
Fahamu CoW ni muungano wa kuharakisha maendeleo ya pamoja na kila nchi imealikwa, haupo kwa ajili ya Tanzania wala nini.
Nchi zote zimealikwa ilmradi zisiwe za kusuasua, na kila nchi ina uhuru wa kuungana na nchi yoyote ile nje ya muungano bila wengine wetu kulialia. Kwa mfano, leo hii Rwanda ina miradi yake na Tanzania, Uganda ina miradi na Tanzania, Kenya ina miradi na Tanzania, lakini pia tuna miradi ya pamoja ndani ya CoW.

Mnachofaa kufanya ni kuboresha miundo mbinu na utendaji wa kazi, maana hilo la kwamba madereva wa malori wanatokea Rwanda kuja hadi Mombasa inadhihirisha mlivyo wavivu kwenye bandari yenu.
 
They need us more than the way we do, they are envious of our land, Kilimanjaro, Diamond Platinum hata na Daraja. They can even still Magufuli they will have a chance.
My pointy end needs a dip in your honey jar.
 

baada ya ugatuzi mambo tofauti sana. what you are posting tukianza ya umaskini Tz tutakesha niache hayo. pata haya tu...


kliniki ya hapo kijijini kwale mpakani wa kenya na tz




zima moto kijijini kwale




















 

baada ya ugatuzi mambo tofauti sana kenya. ya watanzania kuishe kwa self denial!!


kliniki ya hapo kijijini kwale mpakani wa kenya na tz




zima moto kijijini kwale




















 

Na kwanini wasilalamike hao warwanda uje ulalamike wewe kwa niaba yao kama tuliwazingua, na utueleze tuliwazingua kwa lipi? Acha kushoboka wewe!
Kama hiyo CoW ni ya kuharakisha maendeleo mbona hatuoni iki exist?
Mlishadai uchumi wetu mdogo na mambo mengine meengi, sasa kwanini msitafute mnayelingana naye mkaendelea na mambo yenu, kwanini kila siku tz,? Mnaweza tu kuendelelea na mambo yenu, hizo shobo ss tumeshazichoka sasa, mbona wagumu kuelewa nyinyi viumbe?
 
Tatizo lenu ni moja tu, mnatafuta u big brother EA kitu ambacho hakitokuja kutokea.
 
Safi sana naona baada ya miaka kaa mitano hivi tutakua mbali sana.hawa jamaa kazi kupost expired pictures.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…