Lakini unajuwa kuwa kwa sasa ni Doctor!!!unakumbuka mzee Mzindakaya aliwahi kulazimisha kusoma Mzumbe? Unajua matokeo yake walimuondoa pamoja na kuwa alikuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro; Nape Nnauye alikuwa na sifa zote za kujiunga na chuo ndio sababu bodi ya chuo ilikubali vyeti vyake.
Chama
Gongo la mboto DSM
Lakini unajuwa kuwa kwa sasa ni Doctor!!!
Nani serikalini wenye digrii kutoka Oxford, Yale, Cambridge, na Stanford?
Nani serikalini wenye digrii kutoka Oxford, Yale, Cambridge, na Stanford?
Kumbe alijifunzia matusi NSUMBA au alitoka nayo NGUDU???????????
NI kilaza tu huyo. Hana lolote katika jamii.
Mbona WASUKUMA WENZAKE NI WAJANJA????????? AU yeye sio msukuma????
hiyo masters ya kufoji imemsaidia nini nepi? Kwangu mimi mnyika ni mtu kuliko nepi!
Verry simple, NAPE anayo masterz na Mnyika hakumaliza chuo.period