mzalendokweli
JF-Expert Member
- Apr 21, 2012
- 579
- 138
mtamuua kwa presha wakuu kuna uzi unamtaka adhibitishe kama amepata familia yake.nashauri mpeni muda ajibu hoja moja moja uwezo wake ni mdogo he can not handle two things at a time.
Nape Wana jamvu twakusubiria jamani..
Mkuu Nape hawezi kujitokeza Hadaharani Kuelezea Elimu yake. Nape analiwinda sana Jimbo la Ubungo sasa anahisi Masalia wanaweza Kumsaida
Nape alifeli Form Six baada ya Kukosa Sifa za Kujiunga Chuo Chochote Cha Tanzania. Kwa sababu Mzee Yusuph Makamba alikuwa na Uhusiano wa Karibu na Baba wa Kambo wa Nape (Mzee Moses Nnauye) Wakamtafutia kachuo huko India. Sasa nasikia anachukua Masters Mzumbe (Nani ambaye hajui MBA za Mzumbe ni Fake?)