Elimu ya Nape Nnauye

Elimu ya Nape Nnauye

mtamuua kwa presha wakuu kuna uzi unamtaka adhibitishe kama amepata familia yake.nashauri mpeni muda ajibu hoja moja moja uwezo wake ni mdogo he can not handle two things at a time.

Haez kufa kwa pressure kwan hapa lengo lake lishatimia nalo ni kufanya wewe na wengine mnaojadili muache kujadili mambo ya msingi kwa Taifa muanze kujadili elimu ya watu. Hujui half wa wahitimu wa form four wamefail?nani alaumiwe????
 
Nimem miss Mwigulu Nchemba, jamaa yuko wapi sikuhizi? Elimu yake imekaaje?
mary mary nchemba yuko sekenke pale anachimba dhahabu na ndg yake John Bina tumvumilieni kidogo atafute pesa kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Mwaka juzi nikiwa Mzumbe university kwe ye chumba cha mtihani nikamwona Nape naye kaa anasubiri exams. Nikauliza watu huyu vp, nikaambiwa alianza masterz toka 2008 hapo mzumbe, but amekuwa akikamatwa hivyo hakuweza kumaliza! na sina uhakika kama alitoka
 
Mkuu Nape hawezi kujitokeza Hadaharani Kuelezea Elimu yake. Nape analiwinda sana Jimbo la Ubungo sasa anahisi Masalia wanaweza Kumsaida

Nape alifeli Form Six baada ya Kukosa Sifa za Kujiunga Chuo Chochote Cha Tanzania. Kwa sababu Mzee Yusuph Makamba alikuwa na Uhusiano wa Karibu na Baba wa Kambo wa Nape (Mzee Moses Nnauye) Wakamtafutia kachuo huko India. Sasa nasikia anachukua Masters Mzumbe (Nani ambaye hajui MBA za Mzumbe ni Fake?)

Mzee makamba sio aliyempeleka Nepi India kusoma, ni Mzee Mangulla ndiye aliyempeleka kusoma mara tu baada ya Kikwete kuingia madarakani!!
 
kuna baadhi ya mabo unayachokoza halafu unakaa pembeni unashika tama na kujuta,nape atakuwa anajuta sasa hivi
 
Nape mark mwandosya upoooo wapiiii ongea na dingi mdogo dr.mwakyembe akuunganishe kwa dingi shauri yako.
 
kama nape hatajibu hizi tuhuma basi na apigwe ban ya maisha hapa jf!
 
hana ubavu huo wakujibizana na Mnyika maana elimu yake niyakungushi
 
Kuna jasusi mmoja kasema ataweka hapa muda si mrefu tusubiri
 
Nape Nnauye, achana na propaganda za kitoto.

Panda jukwaani kama kiongozi wa chama tawala uwape matumaini watu waliokata tamaa.

Lakini kwa kuwa ulianzisha wewe mwenyewe, tunaomba performance yako kuanzia O level.
 
Last edited by a moderator:
Nape jitokeze ujibu hizi tuhuma, vinginevyo nitajiridhisha pasipo shaka kuwa wewe ni mzee wa magumashi
 
Elimu ya nape na ritzone utata mtupu!hivi hapa jamvini hamna class mate zao watusaidie
 
Natamani watu wanase vyeti vya hiyo Form four na six vya Napekisha watuwekee humu jamvini mnisamehe! CCM wamekosa watu wakufiri hata sikumbili mbele, Kweli Nape anakuwa ndiyo kinara wa kukisemea chama! CCM napenda sana mshindwe lakini style mnayopolomokea inatisha.
 
Back
Top Bottom