Elimu ya Nape Nnauye

Nape anajua sana siasa na anawajua nyie wanaJF mlivyowanazi wa elimu. Haji hapa kwani anajua akija na kutoa elimu yake na kuoenesha kuwa ana masters mtadai mnataka atoe maandiko yake kama msomi. Atoe hata makala za kwenye magazeti hata kama ni UHURU kitu ambacho hana. Sasa atoe hapa kujibu nini? Hatokei hapa ng'oo
 

Mkuu zipo tuhuma mtaani na hata hapa JF kwamba Nape amefanya kitu cha plagiarisms chuoni mzumbe lakini kubwa zaidi ni kwamba desertation yake aliwasilishiwa na majeshi ya kukodi. Kwakuwa tuhuma hizi hazijawahi kukanushwa na mtu yeyote including Nape mwenyewe sina sababu ya kutoziamini.
 
nchi za wenzetu hizi zingekuwa tuhuma nzito kiasi kwamba Prof. Juma angejiuzulu ili chombo huru kichunguze tuhuma hizi.
 

mkuu mimi pia katika uzi ule nilitaka kujua elimu ya Nape, Naamini yeye ni mtu makini atajitokeza kujibu tuhuma hizi maana ana uhakika na elimu yake ndo maana kauliza kuhusu elimu ya JJ, na wala sitegemei kama atajificha chini ya keyboard yake
 
Nape Nnauye, achana na propaganda za kitoto.

Panda jukwaani kama kiongozi wa chama tawala uwape matumaini watu waliokata tamaa.

Lakini kwa kuwa ulianzisha wewe mwenyewe, tunaomba performance yako kuanzia O level.

hahaha mkuu unataka performance ya nape kuanzia O level????
 
Last edited by a moderator:
Ila kuwa kilaza kama Nape ni aibu, imagine unashindwa hata kufanya background check kujua kama utakachosema kitakujenga namna gani, sasa Nape na uwezo wake mdogo ameishia kujiabisha bure

Angetafiti kwanza angejua kuwa Mnyika ni A student, kisha akajipanga namna ya kukabiliana naye...inavyoonesha inabidi kuwa na akina Nape 1000 ili kumkabili JJ Mnyika mmoja....! mbaya sana hii kwa kijana kama Nape unless awe amepanga kuwa mchawi uzeeni
 
Wakirudi kutoa matokeo yao mwezi mzima siingii JF...Naomba ya Riz1 na Nape form 4 na form 6. Wakileta nikimaliza mfungo nitauliza form 2 na std 7

hivi ni kweli hata kina Ritz , chama hawajapita kwenye huu uzi?
 
Last edited by a moderator:
Kumbe Baba yake nape mnamjua sasa mapovu yote yalikuwa ya nini
 
Cdm hamjatulia, nyie ni kama upepo, Nape ameongeza cdt kwakweli,mana kila anachokiongea anapata atentintion na hilo kwa ccm ni faida.hv nape na mnyika nani anaelimu ya juu mana ubungo tumeamin elimu ina impact kubwa sana sa hatutaki kuchagua galasa ifikapo 2015..
 
Elimu ya vyeti vya kufoji au elimu ya kichwani?
 

Mkuu Mwita Maranya
Tatizo lipo wapi Nape ana Masters ya Mzumbe; John Mnyika ni form 6; alipita Mlimani masomo ya jioni hakumaliza sasa mnahoji kipi?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kama kweli Nape hukuwaza nini kitatokea baada ya madai yako ya elimu ya Mh John Mnyika kutolewa, mimi binafsi sitaki hata kusikia juu ya elimu yako. (sijakupa kibali cha kuendelea kujificha, njoo wajibu wakuu hapa)
 

Ni kweli Nape Nnauye FORM SIX alimalizia NSUMBA HIGH SCHOOL MWANZA na hakufaya VIZURI ni ile FOUR ya point moja kuwa 0 ---- Lakini CCM wakampeleka INDIA kupata Degree

Riz1 yeye alikwenda LONDON kwa LLM -- akafeli vibaya mwaka wa kwanza; kumbe UD alikuwa anaibiwa MITIHANI
 
Mkuu chama Mzumbe aliandikiwa dissertation yake Kama ni yake aimwage hapa au nimtaje aliyemfanyia?

Sasa mkuu Precise pangolin hata mkiwekewa humu mtaisomo na kuielewa? Lugha zenyewe wengine mgogoro hata kiswahili kinawasumbua; Nape amebahatika kusoma badala kumshambulia Nape mshaurini John Mnyika arudi shule asome umri unakwenda.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…