Elimu ya Nape Nnauye

Elimu ya Nape Nnauye

toa zako then uliza za mwenzio y utake za watu wakati zako ni siri
 
Kwa vile nape anapenda sifa nahakika angekua na vyeti safi angeita press kuwaaibisha watesi wake ila kwa kua ka kaa kimya hii ni ishara tosha kuwa elimu yake tiamaji tiamaji

Anyway tunajua unasoma na kupita kimya kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAPE NNAUYE: DIV IV-29
KISW D, HIST D, GEOG D, ENG F, B/MATH F, BIOL D, CHEM D, PHY D, CIV F


JOHN MNYIKA: DIV I-7
PHY A, CHEM A, BIOL A, CIV A, ENGL A, GEOG A, HIST A, B/MATH A, KISW A, B/KNOW A


Ili uwe kiongozi na mwanasiasa mzuri unahitaji uelewa mkubwa sana wa elimu ya uraia na historia ya nchi yako na zingine zinazokuzunguka. Lakini pia "Mathematics is all about logic", yaani kitu fulani kikitokea basi kingine kitafata, kwa hiyo ni rahisi kujizuia kutamaka tamka tu mambo hovyo hovyo, ambayo saa zingine nadiriki kusema ndo yanatupelekea kuondoka kwenye misingi yetu iliyoasisiwa na viongozi wetu kama Mwalimu Nyerere na wengineo. Sasa, kama katibu mwenezi ana failure katika haya yote, untegemea nini? Au ndo maana leo tunaona hotuba zikihamasisha udini, ukanda, chuki nk. Tujadili
Hahahaha kumbe MH. hamnazo
 
Kumeibuka na sintofahamu juu ya elimu ya wabunge, wa darasa la saba wanawaponda maprofesa, maprofesa wanajimwambafy. Wananchi wanatoa maoni juu ya umuhimu wa elimu kupambanua mambo.

Sasa kama ndio hivyo mtu aliyepata div 0 anatofauti gani na aliyeishia la saba, je ataweza kupambanua mambo? Nape inasemekana alizungusha form four. Sasa Iq yake kupambanua mambo imekaa vipi?
 
Kumeibuka na sintofahamu juu ya elimu ya wabunge, wa darasa la saba wanawaponda maprofesa, maprofesa wanajimwambafy. Wananchi wanatoa maoni juu ya umuhimu wa elimu kupambanua mambo.

Sasa kama ndio hivyo mtu aliyepata div 0 anatofauti gani na aliyeishia la saba, je ataweza kupambanua mambo? Nape inasemekana alizungusha form four. Sasa Iq yake kupambanua mambo imekaa vipi?
Tofauti ipo, tena kubwa tu.
 
Kumeibuka na sintofahamu juu ya elimu ya wabunge, wa darasa la saba wanawaponda maprofesa, maprofesa wanajimwambafy. Wananchi wanatoa maoni juu ya umuhimu wa elimu kupambanua mambo.

Sasa kama ndio hivyo mtu aliyepata div 0 anatofauti gani na aliyeishia la saba, je ataweza kupambanua mambo? Nape inasemekana alizungusha form four. Sasa Iq yake kupambanua mambo imekaa vipi?
Ccm huenda ikaondoka na mwendazake
 
Kumeibuka na sintofahamu juu ya elimu ya wabunge, wa darasa la saba wanawaponda maprofesa, maprofesa wanajimwambafy. Wananchi wanatoa maoni juu ya umuhimu wa elimu kupambanua mambo.

Sasa kama ndio hivyo mtu aliyepata div 0 anatofauti gani na aliyeishia la saba, je ataweza kupambanua mambo? Nape inasemekana alizungusha form four. Sasa Iq yake kupambanua mambo imekaa vipi?
nani aliyekwambia kupata zero ni ujinga au kunahusiana na IQ ? hujui watu hupata misiba na matatizo mengine ya kifamilia wakati wa mitihani ?
 
Kumeibuka na sintofahamu juu ya elimu ya wabunge, wa darasa la saba wanawaponda maprofesa, maprofesa wanajimwambafy. Wananchi wanatoa maoni juu ya umuhimu wa elimu kupambanua mambo.

Sasa kama ndio hivyo mtu aliyepata div 0 anatofauti gani na aliyeishia la saba, je ataweza kupambanua mambo? Nape inasemekana alizungusha form four. Sasa Iq yake kupambanua mambo imekaa vipi?
Kwanini msikubaliane tu na hali kuwa MEKO, ameshatutoka??na lazima nchi isonge mbele?eti aliyepata 0!! Yaani kwa akili tu ndogo za kuendea chooni huwezi ona tofauti ya uelewa baina yao?!!japo ccm hata uwe prof.akili yako unaichetua na kuwa kama darasa la saba, lakini msukuma huo ndio uwezo wake wala hajaichetua akili yake.Ila sasa akili zao zile ndio wanazirudisha na kuona mabaya na mazuri.
 
nani aliyekwambia kupata zero ni ujinga au kunahusiana na IQ ? hujui watu hupata misiba na matatizo mengine ya kifamilia wakati wa mitihani ?
Pamoja na hayo, Nape ana uwezo mkubwa sana wa kupambanua mambo!
Tena, ana uwezo wa hali ya KIHUNI na hata KISTAARABU. Kwenye kampeni ya 2015 aliibeba sana CCM. Bahati mbaya tu, hawana SHUKRANI!
 
Haha hii vita ya mataga halisi na mataga pori inazidi kupamba moto.

Mataga pori mnahasira sana mnamvuruga yoyote mnayemuhisi hajaguswa na msiba wa mwendazake.
 
Kama katiba inasema rais awe na degree, inakuwaje mbunge ndo atakiwe kuwa na elimu yoyote hata ya ngumbaru.....yaani kwa mazingira ya sasa ambayo watanzania wengi wameshasoma, nimeona hata wenye Masters wameshakuwa wengi sana, unawezaje kuruhusu watu kama kibajaji na msukuma, na hao waliopata zero sekondari kufanya mijadala bungeni jambo ambalo linahitaji weledi wa kiwango cha juu........achaneni na zama za mawe ambapo wenye elimu ndogo walipewa nafasi, hicho kipindi wasomi bado walikuwa wachache, msifanye mambo kimazoea.....
 
Back
Top Bottom