MD25
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 3,074
- 1,023
Chama
Kwani katibu wa Uenezi wa CCm ana msemaji wake?. Naona wewe umekuwa msemaji wa Nape humu. Swala la msingi, muache nape mwenyewe aje humu (yeye ni mwanachama pia), atueleze ni kwa vipi baada ya kupata Divison Four ya 29, aliwezaje kufika chuo na kupata Bachelor na hadi Masters.
Hii itaweza kuwasaidia pia au kuwapa mwanga, hawa wadogo zetu waliopata division four kama ya nape, nakujua ni kwa jinsi gani, ukifeli form four unaweza kuendelea na ukapata elimu ya juu zaidi.
Pia, inakupasa utambua, kupata division four, sio dhambi, ni uwezo tu wa akili wa mtu, ambao Mungu amempatia. Kwa hiyo ingekuwa vyema, ungeacha kumtetea huyo nape na yeye mwenyewe, aje atupe experience yake ya maisha, baada ya kufeli form four....
Kwani katibu wa Uenezi wa CCm ana msemaji wake?. Naona wewe umekuwa msemaji wa Nape humu. Swala la msingi, muache nape mwenyewe aje humu (yeye ni mwanachama pia), atueleze ni kwa vipi baada ya kupata Divison Four ya 29, aliwezaje kufika chuo na kupata Bachelor na hadi Masters.
Hii itaweza kuwasaidia pia au kuwapa mwanga, hawa wadogo zetu waliopata division four kama ya nape, nakujua ni kwa jinsi gani, ukifeli form four unaweza kuendelea na ukapata elimu ya juu zaidi.
Pia, inakupasa utambua, kupata division four, sio dhambi, ni uwezo tu wa akili wa mtu, ambao Mungu amempatia. Kwa hiyo ingekuwa vyema, ungeacha kumtetea huyo nape na yeye mwenyewe, aje atupe experience yake ya maisha, baada ya kufeli form four....