Elimu ya Uraia na Haki inahitajika sana Tanzania!

Elimu ya Uraia na Haki inahitajika sana Tanzania!

Acha ujinga wako. Ujinga (ignorance) ndio mtaji wa CCM. Yaani watu kama ninyi. Wingi wa sheep ni sheep. Hukujifunza hilo shule ya msingi? Ama ni wale mlioruka primary na kwenda secondary moja kwa moja? Unajaribu kunisahihisha ama kujidhalilisha?
Jifunze kizungu kwa ufasaha kwanza. Yaani hata ulipokosea hupaoni? Pole.
 
Acha ujinga wako. Ujinga (ignorance) ndio mtaji wa CCM. Yaani watu kama ninyi. Wingi wa sheep ni sheep. Hukujifunza hilo shule ya msingi? Ama ni wale mlioruka primary na kwenda secondary moja kwa moja? Unajaribu kunisahihisha ama kujidhalilisha?
Endelea kuboronga na kuchekesha.
 
Unajifanya unajua sana kumbe una-expose ujinga wako. Nadhani unahitaji kusaidiwa:
1627211286807.png

1627211447370.png

1627212049172.png

Endelea kuboronga na kuchekesha.
 
Back
Top Bottom