Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Sijafilisika.Kwa hiyo umefilisika ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijafilisika.Kwa hiyo umefilisika ama?
Kama akina nani?Tukijisemea wenyewe vipi kuhusu wasiokuwa na wakuwasemea?
Yaani unafikiri unanitisha na hicho kizungu chako cha kukariri? Ha ha ha. Upuuzi mtupu.
Jifunze kizungu kwa ufasaha kwanza. Yaani hata ulipokosea hupaoni? Pole.Kizungu ni lugha ya mawasiliano kama Kikurya. Aliyekwambia Kizungu ni cha kutishia watu alikudanganya. Na hiyo inaonyesha ujinga wako.
Jifunze kizungu kwa ufasaha kwanza. Yaani hata ulipokosea hupaoni? Pole.
Endelea kuboronga na kuchekesha.Acha ujinga wako. Ujinga (ignorance) ndio mtaji wa CCM. Yaani watu kama ninyi. Wingi wa sheep ni sheep. Hukujifunza hilo shule ya msingi? Ama ni wale mlioruka primary na kwenda secondary moja kwa moja? Unajaribu kunisahihisha ama kujidhalilisha?
Kama na wewe ni miongoni mwa wanaohitaji kuelimishwa kaa kimya watu wanapojadili mambo ya msingi.Anza ww na familia yako kuingia barabarani
Endelea kuboronga na kuchekesha.
Akina magonjwa MtambukaKama akina nani?
Siwajui.Akina magonjwa Mtambuka
Unajikana leo?bora ndugu zako alina Cocochanel,Kawe almni ,Jane lowasa na wengineo wengi wameyakimbia majina yao nakurudi huku kivingine.Siwajui.
Siwajui.
Kivipi?Unajikana leo?….
Endelea kuchekesha.Leo ubishi wako wa kitoto umekupa elimu. The plural of sheep is sheep (siyo sheeps). Nimekurudisha primary school leo (ambayo wewe uliruka).
Wewe humjui Magonjwa Mtambuka?Kivipi?
Simjui.Wewe humjui Magonjwa Mtambuka?
Basi"tafakari,chukua hatua".Simjui.
Sitafakari na sichukui hatua.Basi"tafakari,chukua hatua".
Basi pambana na hali yako.Sitafakari na sichukui hatua.