Elimu yetu ipo kibaguzi, direct entry ndio wamepewa nafasi zaidi vyuoni

Elimu yetu ipo kibaguzi, direct entry ndio wamepewa nafasi zaidi vyuoni

kaka UDSM kachukua DIPLOMA HOLDERS 71 TU. NA KATI YA HAO MTU WA DIPLOMA YA SHERIA NI MMOJA TU. kwann. hivi unajua INSTITUTE OF JUDICIAL ADMINISTRATION, mziki wake. ni zaidi ya udsm asee. WHY? tena mtu mwenyewe ana GPA YA 3.5. mimi nina 4.3, angalia hapo gap hilo kama kigezo ni reputation. IJA NI CHUO CHENYE HESHIMA KUBWA SANA NA CHENYE HISTORA hapa TANZANI[/



jidanganye eti mziki wa kachuo hako ka diploma ni zaidi ya udsm, pole sana hatujasoma ila tunajua unadanganya
 
jaman kwa hii nchi yetu tuangalie xana vya kusomea wanasheria mtaan kbao na degree zao sembuse diploma ni sheeeeeeda bongo
 
]Kwa utafiti wangu nloufanya karibu kwa kipindi cha siku sita sasa ni kwamba wanaopewa fursa ya kupata vyuo NI BRN na sio diploma holder kama mimi, wanajamii wenzangu mie nina diploma ya sheria na nina GPA ya 4.3, sasa ni kwann mpaka sasa sjapewa fursa ya kupata chuo kati ya vyuo nloomba kimebakia UDOM pekee na sio mimi ni kundi kubwa sana, hivi tatizo lipo wapi.[/B]

Wewe jamaa hata hijielewi,sasa kama vyuo ulivyoomba kimebakia Udom si usubiri utapata hapo hapo na Hilo kundi lako kubwa unalolisema litapata hapo hapo.Udom Inayo sifa moja kubwa ya kuzoazoa kwahyo usijari utapata,
 
Tatzo lako uko over ambitious maana ulilenga ud,pole sana labda nikuambie tu kuwa unahaki zote za kupata chuo na bodi ipo kwa niaba ya watz wote regardless lini walimaliza so ungoje tu km udom bado huko huko utapata,usijiwekee uhakika na vitu ambavyo huna maamuz ya moja kwa moja navyo,mengne hayo ni mitazamo tu.
 
Pia Sa nyingine inategemeana na chuo ulichochukulia iyo diploma kwa mfano kwa udsm senate yake inatambua vyuo vyenye reputation nzuri sasa unaweza ukakuta una first class na bado wakakutema,afu pia hoja ya kusema Form six ndo wamepewa upendeleo si kweli kuna nafasi special kwa diploma holders zinakuwa zimewekwa reserved kwa ajili yenu kwenye kila course sasa labda kuna wenzako wamekuzidi vigezo ndo mana ujachaguliwa

sio kweli mkuu, education capacity ilikua 10 wamechukua mmoja tu wakati wengi wenye credit yani gpa 3.5 and above kama entry requirements yao inavyosema tulikua nazo!
Ud wana ubaguzi kama asemavyo mdau hapo juu
 
Ubaguzi unauanzisha wewe mwenyewe ulitaka hao BRN wakasomee Iraq??
 
Sio BRN wala nini... tangu miaka ya nyuma, form VI ndio hupewa first priority kisha ndo wanakuja hao wa Diploma! Tena afadhali siku hizi vyuo ni vingi so, unaweza kupata chance but back then, ungesugua na hiyo diploma hadi ungetia akili... lbda ukapige mzigo kisha
 
STANLEY CHENDELO SOMA HII
11.-(1) Mamlaka ya Nchi itaweka utaratibu unaofaa kwa ajili
ya kufanikisha utekelezaji wa haki ya mtu kufanya kazi, haki ya
kujipatia elimu na haki ya kupata msaada kutoka kwa jamii
wakati wa uzee, maradhi au hali ya ulemavu, na katika hali
nyinginezo za mtu kuwa hajiwezi. Na bila kuathiri haki hizo,
Mamlaka ya Nchii itaweka utaratibu wa kuhakikisha kwamba
kila mtu anaishi kwa jasho lake. HII IBARA YA 11 SUB ARTICLE 1. YA U.R.T.C 1977
 
IBARA YA 11(2)
Kila mtu anayo haki ya kujielimisha, na kila raia
atakuwa huru kutafuta elimu katika fani anayopenda hadi kufikia
upeo wowote kulingana na stahili na uwezo wake.
 
IBARA YA 11 SUB ARTICLE 3
Serikali itafanya jitihada kuhakikisha kwamba watu
wote wanapata fursa sawa na za kutosha kuwawezesha kupata
elimu na mafunzo ya ufundi katika ngazi zote za shule na vyuo
vinginevyo vya mafunzo.
 
NA KATIBA IBARA YA 30 SUB ARTICLE 3 INASEMA
Mtu yeyote anayedai kuwa sharti lolote katika Sehemu hii
ya Sura hii au katika sheria yoyote inayohusu haki yake au
wajibu kwake, limevunjwa, linavunjwa au inaelekea litavunjwa na
mtu yeyote popote katika Jamhuri ya Muungano, anaweza
kufungua shauri katika Mahakama Kuu.
 
NA KATIBA IBARA YA 30 SUB ARTICLE 3 INASEMA
Mtu yeyote anayedai kuwa sharti lolote katika Sehemu hii
ya Sura hii au katika sheria yoyote inayohusu haki yake au
wajibu kwake, limevunjwa, linavunjwa au inaelekea litavunjwa na
mtu yeyote popote katika Jamhuri ya Muungano, anaweza
kufungua shauri katika Mahakama Kuu.

ha ha ha ha ha ha ha mkuu kweli umeamua unataka kwenda mahakamani ha ha ha ha ha daah jf kuna mambo tatizo ni udsm tu!!
Nimeamini usemi wa wahenga usemao "siyo kila king'aacho ni dhahabu"
 
Wewe jamaa hata hijielewi,sasa kama vyuo ulivyoomba kimebakia Udom si usubiri utapata hapo hapo na Hilo kundi lako kubwa unalolisema litapata hapo hapo.Udom Inayo sifa moja kubwa ya kuzoazoa kwahyo usijari utapata,

ha ha ha mkuu tengua kauli kuna watu wanakisubiria hicho chuo so ukisema beba beba unauwa ha ha ha ha
 
pia ufaulu wa fm 4 huwa unamata sn. ufaulu mzuri fom 4 unasaidia sn
no thank you,nimewahi kuandika sana hili tena kwa maelezo ya kina. hapo UDSM wanachukuaga mpaka wanafunzi wenye division four za O level kisa advance wamefaulu vizuri. matokeo ya ance ndio huangalia nani apate na nani asipate, o level wanaangalia minimum qualification.
 
Pia Sa nyingine inategemeana na chuo ulichochukulia iyo diploma kwa mfano kwa udsm senate yake inatambua vyuo vyenye reputation nzuri sasa unaweza ukakuta una first class na bado wakakutema,afu pia hoja ya kusema Form six ndo wamepewa upendeleo si kweli kuna nafasi special kwa diploma holders zinakuwa zimewekwa reserved kwa ajili yenu kwenye kila course sasa labda kuna wenzako wamekuzidi vigezo ndo mana ujachaguliwa
hiyo imeingizwa mpaka kwenye system ya kuchagua wanafunzi(program)????? hakuna kitu kama hiki. kuwa system iliyowekwa inazingatia mpaka aina ya chuo ulichoomba. wangekuwa wanachagua manually hapo sawa
 
Tatizo lako ni moja tu, ULIFELI sana Form4, sasa ni muhimu kuvuna kile uclichopanda ndiomana ukaamua kuunga unga na kidiploma chako, Acha vijana waliojikita kusoma wale maziwa na asali ya nchi hii ya ahadi wewe subiria TEKU na vyuo vya Mtwara ukasome huko.
no thank you,nimewahi kuandika sana hili tena kwa maelezo ya kina. hapo UDSM wanachukuaga mpaka wanafunzi wenye division four za O level kisa advance wamefaulu vizuri. matokeo ya ance ndio huangalia nani apate na nani asipate, o level wanaangalia minimum qualification.
 
IBARA YA 11(2)
Kila mtu anayo haki ya kujielimisha, na kila raia
atakuwa huru kutafuta elimu katika fani anayopenda hadi kufikia
upeo wowote kulingana na stahili na uwezo wake.

Ni kweli kabisa kijana unayo haki kupata elimu pale UDOM kwahyo uwe tyar kule ziko snakes za kutosha maana ni porini,watu wanaenda vyoon bila maji,kuoga ni Mara 1 kwa wiki,scorpion ndo wa kutosha huyo akikuingia kwa pmbu utahisahau hyo diploma yako
 
Ni kweli kabisa kijana unayo haki kupata elimu pale UDOM kwahyo uwe tyar kule ziko snakes za kutosha maana ni porini,watu wanaenda vyoon bila maji,kuoga ni Mara 1 kwa wiki,scorpion ndo wa kutosha huyo akikuingia kwa pmbu utahisahau hyo diploma yako

Hahahahaha jamani naipenda JF.
 
kuna mijitu inadiriki kusema et div 1 ya sasa ni 4 au 3 ya mwaka jana, sasa cjui ni kujitoa akili au ndo maneno ya mkosaji, hata siwaelewi hawa watu na vidiploma vyao, wao enzi zao si walikosa hata E mbili watulie basi. na tuache kudharauliana. kwa taarifa ni kwamba mwenye div 1 ya sasa kwa grade za zamani asingepata chini ya div II ya point 10.

ANGALIA MATOKEO HAYA.
Phys=62, Chem=53 na Math=64.

KWA MFUMO WA BRN.
62=B+, 53 na 64=B+. Hapa dogo kapata division 1 yenye point 7.
Katika selection ya TCU, atahesabiwa ana point 11.

KWA MFUMO WA MULUGO.
62=C, 53=D 64=C. Hapa jamaa ana div 2 yenye point 10.
Katika selection ya TCU, jamaa atahesabiwa ana point 8.

Apo BRN anapewa nafasi mapema, n kama cut off points zitakia ni pointi 10, hapo MTOTO WA MULUGO anatemwa!
 
NA KATIBA IBARA YA 30 SUB ARTICLE 3 INASEMA
Mtu yeyote anayedai kuwa sharti lolote katika Sehemu hii
ya Sura hii au katika sheria yoyote inayohusu haki yake au
wajibu kwake, limevunjwa, linavunjwa au inaelekea litavunjwa na
mtu yeyote popote katika Jamhuri ya Muungano, anaweza
kufungua shauri katika Mahakama Kuu.

haah haah haah mkuu mimi nitakua shahidi upande wa mfungua shauri teh teh teh ila usijali kaka elimu lazima tuipate UDOM wakitoa ni uhakika kaka kule inservice ni wengi
 
Back
Top Bottom