Elimu yetu ipo kibaguzi, direct entry ndio wamepewa nafasi zaidi vyuoni

Elimu yetu ipo kibaguzi, direct entry ndio wamepewa nafasi zaidi vyuoni

nyinyi mnaotaka msome diploma mkajazane udsm mnajiongopea. vyuo vinavotoa nafasi kwenu ni vingi. kuna chuo kwene guidebook kina nafasi nyingi kuliko za wale direct entry na mkopo ni priority. hivi mliisoma guidebook au mlikua mnafata mkumbo wa udsm sua ardhi na mzumbe?
 
Lkn hivyo vyuo haviko ment fo diploma holders na nafasi wanazotoa ni chache pia kwa diploma holders. kama ud huwa hazifiki mia kwa course zote udom huwa kidogo ina jitahidi na vyuo vikuu binafsi. so ka ma uliomba vyuo vikuu pekee especial hivyo vikubwa andika maumivu ardhi na ud hakuna wapya utakao waona zaidi ya hao. vyuo vikuu vya afya kam muhimbili st fransis bugando na kcmc the same na fasibza diploma ni finyu sana. wanao chukuwa diploma wengi ni competent based institution zilizo chini ya nacte na kama uliomba humo na una vigezo utakuwepo vuta subira utaona.

ww utaenda muhas na diploma yako wakat mtu ana 1 ya 5 na bado ana wasiwasi anaeza akakosa? mbn unaongea mashudu?
 
ANGALIA MATOKEO HAYA.
Phys=62, Chem=53 na Math=64.

KWA MFUMO WA BRN.
62=B+, 53 na 64=B+. Hapa dogo kapata kidivision 1 yenye point 7.
Katika selection ya TCU, atahesabiwa ana point 11.

KWA MFUMO WA MULUGO.
62=C, 53=D 64=C. Hapa jamaa ana div 2 yenye point 10.
Katika selection ya TCU, jamaa atahesabiwa ana point 8.

Apo BRN anapewa nafasi mapema, n kama cut off points zitakia ni pointi 10, hapo MTOTO WA MULUGO anatemwa!

Ur so right
 
One ya tano kitu gani. Diploma haiwezi shindanishwa na alevel wewe kwa sababu haziwezi fanana nikujuze tu mwenye diploma tayari ana ujuzi na wewe six bado ulikuwaunafuta ujinga sasa ndio unatakiwa ukasome kazi. Diploma iko ment kwa kazi na ndio maana sera ya nchi inatoa nafasi chache za kuendelea na masomo ya juu la sivyo unamudoa mfanyakazi kazini nawe form six utatibiwa na nani nani atajega barabara nani ata hakikisha umekula nani ataendesha nchi iliwewe uwe na jeuri ya kusema hayo unayoyasema mitoto sa siki hizi bana hata sio mitafiti
 
One ya tano kitu gani. Diploma haiwezi shindanishwa na alevel wewe kwa sababu haziwezi fanana nikujuze tu mwenye diploma tayari ana ujuzi na wewe six bado ulikuwaunafuta ujinga sasa ndio unatakiwa ukasome kazi. Diploma iko ment kwa kazi na ndio maana sera ya nchi inatoa nafasi chache za kuendelea na masomo ya juu la sivyo unamudoa mfanyakazi kazini nawe form six utatibiwa na nani nani atajega barabara nani ata hakikisha umekula nani ataendesha nchi iliwewe uwe na jeuri ya kusema hayo unayoyasema mitoto sa siki hizi bana hata sio mitafiti

endelea kubishania usichokijua.
 
Akili zako ni za BRN.
Ngoja tuiangalie hiyo EEF ya WAKONGWE na matokeo sawa na hayo kwa upande wa BRN.
MKONGWE alipata
44=E, 43=E na 23=F. Atachaguliwa na TCU akiwa ni mwenye pointi 2.5 (0.5 imechangiwa na GS)
MTOTO WA BRN amepata
44=D, 43=D na 23=E.
Atachaguliwa na TCU akiwa ni mwenye pointi 3 (0.5 imechangiwa na GS)
mwisho wa siku BRN atachaguliwa mapema kabla ya MKONGWE!
Uwe na adabu kijana. Umenikosea heshma kwa kunisifu kwa sifa ambazo si zangu!

gari jipya lina raha yake kuliko la zamani bro!!
 
in realy sense m2 akishindwa kuendelea na digrii either kwa gharama au kwa kupata alama za kusua sua ndo anakimbilia dip mkitoka huko mnaanza bweka ooh cjachaguliwa ud muhas mwaka wako ulikua wap mara brn zsinge kuwepo madogo wacnge pita au ni mfumo 2 serikali tumeamua unakuta mtu advanc kapga 3 ya 16 dip akapga gpa ya 4.3anataka ud muhas kisingizio dip mtabaki kulaumu ila nafas zenu mlisha chezea vyuo chagueni vya kuendana na hadhi zenu 2nahitaji vijana wenye ram inayo chemka ukiangalia dip wachache waliopelekwa ud hata advance walipiga poa wengne kulaumu mwisho ww diploma angalia ulpiga ngapi advance kwanza ndio utaona huendani na chuo unacho lilia mbona brn haikuwepo o level na wakafaulu they are best MJUMBE HAPIGWI HII NI KAULI ALIYOTOA MJUMBE MMOJA WA NGAZI YA JUU SO TUFANYE UCHUNGUZI NDUGU ZANGU MNAOLIA KUNA UKWELI WOWOTE ADV MLIVURUNDA?
 
Kuna mtu nilimfanyia Application, yeye ni Diploma holder. Wakati namfanyia application, yeye alikuwa anataka UDSM na Mzumbe. Kila nikiangalia vyuo vikuu vyote vya umma nafasi kwa diploma hazifiki 10. Nikamwambia wewe hivi vyuo kupata ni ngumu sana, hivi vyuo lazima uwe na G.P.A kubwa sana na nikazidi kumwambia hivi vyuo vipo kwa ajili ya form six. Baadaye nikamuombea vyuo vya NACTE, matokeo ya vyuo hivyo hayajatoka. Nimemwambia ukikosa hivyo vyuo nitatembea u....c.h.i
 
in realy sense m2 akishindwa kuendelea na digrii either kwa gharama au kwa kupata alama za kusua sua ndo anakimbilia dip mkitoka huko mnaanza bweka ooh cjachaguliwa ud muhas mwaka wako ulikua wap mara brn zsinge kuwepo madogo wacnge pita au ni mfumo 2 serikali tumeamua unakuta mtu advanc kapga 3 ya 16 dip akapga gpa ya 4.3anataka ud muhas kisingizio dip mtabaki kulaumu ila nafas zenu mlisha chezea vyuo chagueni vya kuendana na hadhi zenu 2nahitaji vijana wenye ram inayo chemka ukiangalia dip wachache waliopelekwa ud hata advance walipiga poa wengne kulaumu mwisho ww diploma angalia ulpiga ngapi advance kwanza ndio utaona huendani na chuo unacho lilia mbona brn haikuwepo o level na wakafaulu they are best MJUMBE HAPIGWI HII NI KAULI ALIYOTOA MJUMBE MMOJA WA NGAZI YA JUU SO TUFANYE UCHUNGUZI NDUGU ZANGU MNAOLIA KUNA UKWELI WOWOTE ADV MLIVURUNDA?

huu ndio ukweli ambao watu wa diploma hawautaki. wanajiona kama wana one ya point nne vle.
 
Kuna mtu nilimfanyia Application, yeye ni Diploma holder. Wakati namfanyia application, yeye alikuwa anataka UDSM na Mzumbe. Kila nikiangalia vyuo vikuu vyote vya umma nafasi kwa diploma hazifiki 10. Nikamwambia wewe hivi vyuo kupata ni ngumu sana, hivi vyuo lazima uwe na G.P.A kubwa sana na nikazidi kumwambia hivi vyuo vipo kwa ajili ya form six. Baadaye nikamuombea vyuo vya NACTE, matokeo ya vyuo hivyo hayajatoka. Nimemwambia ukikosa hivyo vyuo nitatembea u....c.h.i

wanatakaga udsm sua mzumbe na muhas. hasa wenye kelele ni wale wenye gpa ndogo. wenye 1st class huwa wanajitambua na wanajua wanatakiwa kuchagua chuo gani.
 
wanatakaga udsm sua mzumbe na muhas. hasa wenye kelele ni wale wenye gpa ndogo. wenye 1st class huwa wanajitambua na wanajua wanatakiwa kuchagua chuo gani.

Mimi naona huwa wanapotoka kuna wakati, huyu niliyemuombea ni kozi za utawala. Mimi naamini baadhi ya kozi ni bora usome hivi vyuo vya NACTE tu kuliko vyuo vikuu tena kozi baadae zitakuletea usumbufu kwenye ajira kama unapenda kuajiriwa
 
Kwa utafiti wangu niloufanya karibu kwa kipindi cha siku sita sasa ni kwamba wanaopewa fursa ya kupata vyuo NI BRN na sio diploma holder kama mimi, wanajamii wenzangu mie nina diploma ya sheria na nina GPA ya 4.3, sasa ni kwann mpaka sasa sjapewa fursa ya kupata chuo kati ya vyuo niloomba kimebakia UDOM pekee na sio mimi ni kundi kubwa sana, hivi tatizo lipo wapi?

Mkuu pamoja na GPA yako kubwa hapo sijakupata on the link kati ya BRN na wewe kukosa nafasi ya chuo
 
Mimi naona huwa wanapotoka kuna wakati, huyu niliyemuombea ni kozi za utawala. Mimi naamini baadhi ya kozi ni bora usome hivi vyuo vya NACTE tu kuliko vyuo vikuu tena kozi baadae zitakuletea usumbufu kwenye ajira kama unapenda kuajiriwa

sjakuelewa boss
 
One ya tano kitu gani. Diploma haiwezi shindanishwa na alevel wewe kwa sababu haziwezi fanana nikujuze tu mwenye diploma tayari ana ujuzi na wewe six bado ulikuwaunafuta ujinga sasa ndio unatakiwa ukasome kazi. Diploma iko ment kwa kazi na ndio maana sera ya nchi inatoa nafasi chache za kuendelea na masomo ya juu la sivyo unamudoa mfanyakazi kazini nawe form six utatibiwa na nani nani atajega barabara nani ata hakikisha umekula nani ataendesha nchi iliwewe uwe na jeuri ya kusema hayo unayoyasema mitoto sa siki hizi bana hata sio mitafiti

huo ujuzi wako si ukupeleke ud sasa!!
 
One ya tano kitu gani. Diploma haiwezi shindanishwa na alevel wewe kwa sababu haziwezi fanana nikujuze tu mwenye diploma tayari ana ujuzi na wewe six bado ulikuwaunafuta ujinga sasa ndio unatakiwa ukasome kazi. Diploma iko ment kwa kazi na ndio maana sera ya nchi inatoa nafasi chache za kuendelea na masomo ya juu la sivyo unamudoa mfanyakazi kazini nawe form six utatibiwa na nani nani atajega barabara nani ata hakikisha umekula nani ataendesha nchi iliwewe uwe na jeuri ya kusema hayo unayoyasema mitoto sa siki hizi bana hata sio mitafiti

1 ya 5 kitu gani!? we ulipata ya ngapi. au ndo ulipata 1 ya 3 ukaamua kwenda kufuata ujuzi kwenye diploma!
 
mie nilishapitaga huko zamani na siko level hiyo tena najaribu toa ushauri tu
 
mie nilishapitaga huko zamani na siko level hiyo tena najaribu toa ushauri tu

so ushauri wako ni mwenye 1 ya 5 ni nothing compared to diploma! am very sad of you.
 
Ni kweli kabisa kijana unayo haki kupata elimu pale UDOM kwahyo uwe tyar kule ziko snakes za kutosha maana ni porini,watu wanaenda vyoon bila maji,kuoga ni Mara 1 kwa wiki,scorpion ndo wa kutosha huyo akikuingia kwa pmbu utahisahau hyo diploma yako

Jina lako ni MEMKWA ata mawazo yako unayotoa yamekaa ki #memkwa .
Poor you
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom