Young Kibaka
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 319
- 46
nyinyi mnaotaka msome diploma mkajazane udsm mnajiongopea. vyuo vinavotoa nafasi kwenu ni vingi. kuna chuo kwene guidebook kina nafasi nyingi kuliko za wale direct entry na mkopo ni priority. hivi mliisoma guidebook au mlikua mnafata mkumbo wa udsm sua ardhi na mzumbe?