Ras wakambo
Member
- Nov 22, 2011
- 71
- 6
kaka UDSM kachukua DIPLOMA HOLDERS 71 TU. NA KATI YA HAO MTU WA DIPLOMA YA SHERIA NI MMOJA TU. kwann. hivi unajua INSTITUTE OF JUDICIAL ADMINISTRATION, mziki wake. ni zaidi ya udsm asee. WHY? tena mtu mwenyewe ana GPA YA 3.5. mimi nina 4.3, angalia hapo gap hilo kama kigezo ni reputation. IJA NI CHUO CHENYE HESHIMA KUBWA SANA NA CHENYE HISTORA hapa TANZANI[/
jidanganye eti mziki wa kachuo hako ka diploma ni zaidi ya udsm, pole sana hatujasoma ila tunajua unadanganya
]Kwa utafiti wangu nloufanya karibu kwa kipindi cha siku sita sasa ni kwamba wanaopewa fursa ya kupata vyuo NI BRN na sio diploma holder kama mimi, wanajamii wenzangu mie nina diploma ya sheria na nina GPA ya 4.3, sasa ni kwann mpaka sasa sjapewa fursa ya kupata chuo kati ya vyuo nloomba kimebakia UDOM pekee na sio mimi ni kundi kubwa sana, hivi tatizo lipo wapi.[/B]
Pia Sa nyingine inategemeana na chuo ulichochukulia iyo diploma kwa mfano kwa udsm senate yake inatambua vyuo vyenye reputation nzuri sasa unaweza ukakuta una first class na bado wakakutema,afu pia hoja ya kusema Form six ndo wamepewa upendeleo si kweli kuna nafasi special kwa diploma holders zinakuwa zimewekwa reserved kwa ajili yenu kwenye kila course sasa labda kuna wenzako wamekuzidi vigezo ndo mana ujachaguliwa
NA KATIBA IBARA YA 30 SUB ARTICLE 3 INASEMA
Mtu yeyote anayedai kuwa sharti lolote katika Sehemu hii
ya Sura hii au katika sheria yoyote inayohusu haki yake au
wajibu kwake, limevunjwa, linavunjwa au inaelekea litavunjwa na
mtu yeyote popote katika Jamhuri ya Muungano, anaweza
kufungua shauri katika Mahakama Kuu.
Wewe jamaa hata hijielewi,sasa kama vyuo ulivyoomba kimebakia Udom si usubiri utapata hapo hapo na Hilo kundi lako kubwa unalolisema litapata hapo hapo.Udom Inayo sifa moja kubwa ya kuzoazoa kwahyo usijari utapata,
no thank you,nimewahi kuandika sana hili tena kwa maelezo ya kina. hapo UDSM wanachukuaga mpaka wanafunzi wenye division four za O level kisa advance wamefaulu vizuri. matokeo ya ance ndio huangalia nani apate na nani asipate, o level wanaangalia minimum qualification.pia ufaulu wa fm 4 huwa unamata sn. ufaulu mzuri fom 4 unasaidia sn
hiyo imeingizwa mpaka kwenye system ya kuchagua wanafunzi(program)????? hakuna kitu kama hiki. kuwa system iliyowekwa inazingatia mpaka aina ya chuo ulichoomba. wangekuwa wanachagua manually hapo sawaPia Sa nyingine inategemeana na chuo ulichochukulia iyo diploma kwa mfano kwa udsm senate yake inatambua vyuo vyenye reputation nzuri sasa unaweza ukakuta una first class na bado wakakutema,afu pia hoja ya kusema Form six ndo wamepewa upendeleo si kweli kuna nafasi special kwa diploma holders zinakuwa zimewekwa reserved kwa ajili yenu kwenye kila course sasa labda kuna wenzako wamekuzidi vigezo ndo mana ujachaguliwa
no thank you,nimewahi kuandika sana hili tena kwa maelezo ya kina. hapo UDSM wanachukuaga mpaka wanafunzi wenye division four za O level kisa advance wamefaulu vizuri. matokeo ya ance ndio huangalia nani apate na nani asipate, o level wanaangalia minimum qualification.Tatizo lako ni moja tu, ULIFELI sana Form4, sasa ni muhimu kuvuna kile uclichopanda ndiomana ukaamua kuunga unga na kidiploma chako, Acha vijana waliojikita kusoma wale maziwa na asali ya nchi hii ya ahadi wewe subiria TEKU na vyuo vya Mtwara ukasome huko.
IBARA YA 11(2)
Kila mtu anayo haki ya kujielimisha, na kila raia
atakuwa huru kutafuta elimu katika fani anayopenda hadi kufikia
upeo wowote kulingana na stahili na uwezo wake.
Ni kweli kabisa kijana unayo haki kupata elimu pale UDOM kwahyo uwe tyar kule ziko snakes za kutosha maana ni porini,watu wanaenda vyoon bila maji,kuoga ni Mara 1 kwa wiki,scorpion ndo wa kutosha huyo akikuingia kwa pmbu utahisahau hyo diploma yako
kuna mijitu inadiriki kusema et div 1 ya sasa ni 4 au 3 ya mwaka jana, sasa cjui ni kujitoa akili au ndo maneno ya mkosaji, hata siwaelewi hawa watu na vidiploma vyao, wao enzi zao si walikosa hata E mbili watulie basi. na tuache kudharauliana. kwa taarifa ni kwamba mwenye div 1 ya sasa kwa grade za zamani asingepata chini ya div II ya point 10.
NA KATIBA IBARA YA 30 SUB ARTICLE 3 INASEMA
Mtu yeyote anayedai kuwa sharti lolote katika Sehemu hii
ya Sura hii au katika sheria yoyote inayohusu haki yake au
wajibu kwake, limevunjwa, linavunjwa au inaelekea litavunjwa na
mtu yeyote popote katika Jamhuri ya Muungano, anaweza
kufungua shauri katika Mahakama Kuu.