ENANTIOMER
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 1,419
- 804
Nyie ndio mlioingia chuo na EEF div 3 za 16.... Hahahaha mtakoma acha vijana wenye akili wakale mema ya nchi.
Akili zako ni za BRN.
Ngoja tuiangalie hiyo EEF ya WAKONGWE na matokeo sawa na hayo kwa upande wa BRN.
MKONGWE alipata
44=E, 43=E na 23=F. Atachaguliwa na TCU akiwa ni mwenye pointi 2.5 (0.5 imechangiwa na GS)
MTOTO WA BRN amepata
44=D, 43=D na 23=E.
Atachaguliwa na TCU akiwa ni mwenye pointi 3 (0.5 imechangiwa na GS)
mwisho wa siku BRN atachaguliwa mapema kabla ya MKONGWE!
Uwe na adabu kijana. Umenikosea heshma kwa kunisifu kwa sifa ambazo si zangu!
Jamani kama kuna mtu aliyeomba chuo kwa kutumia Equivalent Qualification na amepata naomba tujuzane. Maana mie huku hata usingizi sina?
Unasema kweli Jonatus?
Hivi wandugu huwa mnapitia habari mbalimbali na comment wanazo toa watu. mbona nimeona watu wa diploma kwenye site ya ud. Kwa taarifa yenu matokeo yametoka kwa wote si diploma ambayo mwaiita equivalent sijui yanini na alevel wote yanatoka kwenye source moja tcu. Nacte wataonyesha tu hivi soon kwenye profile yako tujijue tuna nini lkn result zote rasmi zinatolewa na tcu kama walivyotamka kwenye facebook ya NACTE.
Yaah nikweli ilawapo waliochaguliwa ila ni wachache vbya mnoooo kwa chuo che2 ameenda m1 tu UDSM na wa3 UDOM na wawili SAUTDuuh ni majanga kwlkwl cyo peke yk ndugu yangu yani 99% ya watu wa equivalent tumebaki na kizungumkuti..inauma sana aisee.