Mbuna
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 269
- 71
Hata uko kwenye hospitali binafsi zinazo jiendesha kibiashara kunatatizo.dr akishaona msururu wa foleni kubwa ya wagonja anaanza kuharakisha ili ale vichwa zaidi bila kufanya diagnosis ya kina na umakini kwa mgonjwa.ndio maana hat huku kwa nchi zilizoendelea baadhi ya tiba zinafanyika kwa appointment na umakini; dr anaweza piia kushitakiwa ikigundulika kama kuna uzenmbe wake binafsi.
kweli kabisa madaktari wengi wa Tanzania wakiona kuna wateja wengi hulipua kazi kwa kudanganya kwani Mwezi uliopita nusura nikione kifo baada dr. Wa hospital moja binafsi kuniphma kwa haraka haraka na kusema nina Malaria 3 na kunipa dawa zake ila baada ya masaa mawili nilizidiwa sana na kukimbizwa hospital nyingine na kukutwa na Malaria imezidi mwilini na doctor kugomba sana na kusema huyo aliyenipa dozi ya Malaria 3 kafanya kosa sana, na ningechelewa kidogo tu mbona ningekwenda ila namshukuru Mungu na huyo doctor kwa kunipigania hadi kuokoa maisha yangu