Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Sasawa mr. Vi emoji..
Haya rudi kwenye mada...
Manake kw kupenda mipasho, hujambo..
Thread zote unazo comment 99% huaga upo nje ya mada
Tatizo huwa mnatumia makwapa kufikiria ndio maana hamuwezi kuona kitu,
Mfano mdogo jana niliwaambia mthibitishe kitu mmeshindwa, bla bla nyingi.
 
Yaani unamlinganisha eliud na makonda..ufipa mna utapiamlo wa akili..
Mfananishe eliud na samata...
 
Kelele zooote kumbe haitambuliki...hata mie nina rekodi yangu ila haitambuliki...
 
Hivi ni kweli kipchoge ana miaka 34 tu !!!!! ???? ni macho yangu au nae anatumia maji ya mende kwa sana
 
Aiseee dahh ni sheedah mazeee...jamaa anatupiga promo ya hatareeeee, ila dah kwa wenzetu naona safari tv inawaonesha wahdzabe wakikula kobee!!😁🐸
Safi sana.. kumbe mnaangalia safari tv. Sisi huku hatuna taimu na tv za kenya.
 
Hahaa mavuvuzela wa ccm ungesikia wakisema ni juhudi za rais...wakti kenyata kampa 60m KSH kama zawadi ingekua jiwe angempa 10m na kiwanja burigi
[emoji23][emoji23][emoji23] eti Burigi nimecheka da!
 
Jamaa alikuwa anakimbia sawa na mtu anayeendesha mountain bike.
 
Dah kumbe tunaomfuatilia huyu jamaa tuko wengi! KIPCHOGE anakimbia balaa hana masikhara, kuna moja nilimuona MO-FARAH anajaribu kuleta ushindani lakini raundi ya mwisho alitepeta jamaa akamaliza mbio wa kwanza.
 
Ile ya AUSTRIA jana aliwaacha mbali sana wenzie na kuvunja record ya dunia, dah jamaa anastahili tuzo zaidi ya ile aisee anawakilisha Africa kwenye riadha.. WABONGO TUNASHINDWA WAPI? MAANA HATUNA MCHEZO TUNAOONGOZA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…