MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Huku Bongo sipati Picha yaani CCM nazani wakina Polepole wangekuwa kila Dakika wanafanya Press na kusema huyo anaiwakilisha CCM.
Sijasikia Mkenya akisema eliud kipchoge anawakilisha chama fulani.
CCM jifunzeni kutoka kwa Eliud kipchoge. Pale anawakilisha nchi sio Chama
Sijasikia Mkenya akisema eliud kipchoge anawakilisha chama fulani.
CCM jifunzeni kutoka kwa Eliud kipchoge. Pale anawakilisha nchi sio Chama