Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

CONGRATULATIONS TO THE KIPCHOGE
HE HAS DONE IT @ 1:59:40
 
Yes, the guy is tough! He did it, just 1:59:40!!

Watanzania hata mbio tunashindwa????
 
42 km kwa masaa mawili....

Yaaan atakimbia km 21 kwa lisaa limoja,au 21km kwa dakika 60

Ni sawa na kusema atakimbia km 0.35 kwa dakika moja

Hii pia ni sawa tu nikisema atakimbia mita 350 kwa dakika moja

Pata picha tu...dakika moja huyu jamaa anakuwa kakimbia umbali sawa na viwanja vya mpira vitatu na nusu

Zaidi ni sawa na kusema atakimbia mita 5.8 kwa sekunde moja!!

Hehehehe, mita 5.8 kwa sekunde!! yetu macho,ngoja tusubili tujionee
5.8 m kwa sekunde! Duuh! Hii itakuwa ni ajabu kwa kweli
 
Mimi mbona kitambo naweza , yaani naenda mabio hatar tatzo connection
 
42 km kwa masaa mawili....

Yaaan atakimbia km 21 kwa lisaa limoja,au 21km kwa dakika 60

Ni sawa na kusema atakimbia km 0.35 kwa dakika moja

Hii pia ni sawa tu nikisema atakimbia mita 350 kwa dakika moja

Pata picha tu...dakika moja huyu jamaa anakuwa kakimbia umbali sawa na viwanja vya mpira vitatu na nusu

Zaidi ni sawa na kusema atakimbia mita 5.8 kwa sekunde moja!!

Hehehehe, mita 5.8 kwa sekunde!! yetu macho,ngoja tusubili tujionee
Inawezekana kuna baadhi ya sehemu atakuwa anaruka...
 
Mkuu hatupo serious kwa kila jambo angalia hizi timu za watoto wa mpira wa miguu miaka 18 ,utasikia waziri anasema tumeshinda kombe hili sasa twende bungeni wakifika bungeni wanapewa maneno na bendera ya chama na ndio mwisho wao hapo hapo,hebu angalia juzi mechi ya Argentina na German asilimia kubwa ni vijana ambao wanaandaliwa kombe la dunia 2022 lakini sisi tumegandana na Yondani,Mkude tutafika wapi!sisi kazi yetu ni kusema tu :JAMANI ZAENI HALAFU KUTUNZA HATUWEZI
 
He promises he delivers,he's never a let down.well in kipchoge..LEGEND!!
 
Back
Top Bottom