Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jijini Vienna, Austria.Anakimbia akiwa nchi gani...?
Bado kilomita 11 na hadi sasa hivi ame'maintain' speed na muda pia.Bado km ngapi na dk zitamtosha?
huyu mtz naye vp mazeee! eboooo...Vipi na yule mkenya aliyeolewa south hawataonesha live akitinduliwa marinda?
Huyu kwanini msiseme ni kutoka "East Africa", au East Africans ni Diamond na Alikiba na Harmonize tu lakini ikifika upande wa wakenya kufanya vizuri hakuna EAC?.
Tukikataa EPA, free movement of people and businesses, hapo ndio mnaikumbuka EAC kwasababu inawaumiza. Ubinafsi na kupenda sifa ndio ugonjwa wenu.
Huyo mu East Africa kafikia wap? Kamaliza kwa muda gan?Aki ya nani...jamaa amekamilisha... sio kwa kutuweka kwenye presha kiasi hiki dah! hadi raha jameni
Kavunja au ???Aki ya nani...jamaa amekamilisha... sio kwa kutuweka kwenye presha kiasi hiki dah! hadi raha jameni
Nini?AMEWEZA