Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Leo naona nikilala bado nimevaa viatu vyangu
depositphotos_62523199-stock-photo-hand-making-ok-sign-kenya.jpg
 
Haya ni matangazo ya biashara, si rekodi ya riadha.

Ukiniambia mnataka watu wataje Kenya nitakuelewa.

Ukiniambia kavunja rekodi ya marathon notasema wewe ni sawa na mtu anayetafuta kupata mtoto kwa kupiga punyeto na ku flush manii.

Katika marathon, alichofanya Kipchoge ni punyeto.

Unalijua punyeto wewe?
Sijui, hebu nielezee kinaga ubaga alafu unielezee vile umekuwa ukiifanya miaka Hii yote na uliitambua aje na Nani kakufunza na pia Kama bado unaendelea kuifanya hio punyeto. Uwanja Ni wako Babaa
 
Napenda sana riadha nimemuangalia kipchoge aklifanya maajabu hiko vienna ku run marathon under 2 hours waooh it was amazing kuna siku nilimsikia nyambui akisema back in the 70s and 80s wakenya walikuwa wanakuja Tanzania ku train leo they are miles ahead they are the best in the world kweli tumepotea aisee, anyway hongereni sana ndugu zetu riadha inawafanya nchi yenu imekuwa famous sisi huku JIWE YUKO BUSY KUUA WAPINZANI NA KUIUA CHADEMA
Si nilisikia anawajengea viwanda na pia kuboresha mazao ya wakulima wa Korosho.
 
Riadha ni kipaji kwanza kabla ya training. Training bila kipaji hamna ushindi. Riadha kama michezo mingi ni suala la vinasaba na sio la kisiasa.
Wanaoshinda marathon kutoka Kenya ni Wakalenjin na kutoka Ethiopia ni Waoromo.
Ukienda Naijeria wacheza soka wao wengi ni Waigbo.
Sasa hapo 'Jiwe' anaingiaje? Bila shaka huko shuleni ulienda kusomea ujinga.
 
Eliud ni kiongozi flani tanzania wa kile chama cha kijani...

CCM
Kenya ni nchi ya kikabila tofauti na Tanzania. Eliud Kipchoge akigombea urais Kenya mtamtenga kwa kuwa ni Mkalenjin. Kama mnavyombagua Raila kisa Mluo halafu mnakuwa wanafiki kudai kuwa Lupita ni Mkenya.
Mimi namuunga mkono Eliud na Wakalenjin wote kwa ujumla. Shida yangu mimi ni nyie na ubaguzi na chuki zenu dhidi ya makabila mengine.
 
Maswali yangu naona yamejibiwa na huu mjadala.

Nilikuwa najiuliza kwa nini wakimbiaji wote wanashangilia kuelekea kumaliza ilhali ni muda wa kukomaa kumzidi aliyewatangulia.
 
Ni ngumu kumeza hii, huyu Mkenya anataka kufanya kitu ambacho hakiingii akilini, sijui nini anawaza muda huu, neno 'badass' litapata maana na tafsiri mpya leo.

Mbio zenyewe ataanza 09:15am
Kwa watani wetu wa Kusini, ili kuwapa picha ya umbali anaokimbia chini ya masaa mawili, ni kama kutoka Dar hadi Mlandizi, kwa ndugu zangu hapa Kenya hiyo ni kama kutoka Nairobi hadi Lari.

TV nyingi duniani zitapeperusha moja kwa moja mubashara, hata zetu hapa Kenya naona zimeweka live, anajadiliwa kitaani nyumba kwa nyumba. Muhimu sana maana inawapa hamasa vijana wengi kwamba linawezekana na itawezekana.

Pia kampuni ya Youtube inapeperusha mubashara

----UPDATE----

Eliud Kipchoge ran a staggering 1:59:40, shattering the mythical sub-two marathon barrier as he completed the #INEOS Challenge in majestic fashion on the streets of Vienna

--
ELIUD KIPCHOGE: MWANARIADHA WA KWANZA KUKIMBIA KM 42 KWA CHINI YA SAA 2


Mwanariadha raia wa Kenya, Eliud Kipchoge ameweka rekodi ya kuwa Mwanariadha wa kwanza Duniani kumaliza mbio za marathon kwa muda wa chini ya saa mbili
View attachment 1230550
Kipchoge mwenye miaka 34, amekimbia Kilometa 42.2 kwa kutumia muda wa saa 1, dakika 59 na sekunde 40 kwenye michuano ya Ineos 1:59 huko Vienna, Australia

Hata hivyo, rekodi hiyo haitatambuliwa kama rekodi rasmi Ulimwenguni kwasababu ameweka rekodi hiyo katika michuano isiyo ya wazi

Aidha, katika jaribio lake la mwisho kutaka kuweka rekodi hiyo mnamo mwaka 2017 alishindwa kwa sekunde 25


Halafu baadaye inakuja kithibitika kuwa ametumia dawa,itasikitisha sana.

Hongera kwake
 
Riadha ni kipaji kwanza kabla ya training. Training bila kipaji hamna ushindi. Riadha kama michezo mingi ni suala la vinasaba na sio la kisiasa.
Wanaoshinda marathon kutoka Kenya ni Wakalenjin na kutoka Ethiopia ni Waoromo.
Ukienda Naijeria wacheza soka wao wengi ni Waigbo.
Sasa hapo 'Jiwe' anaingiaje? Bila shaka huko shuleni ulienda kusomea ujinga.
Vipi kuhusu wa Oromo wa Kenya, mbona hatuwaoni kwenye riadha? Wamaasai wa Tz nao mbona hawapo wakati wenzao wamaasai wa Kenya km. David Rudisha na babake Rudisha Snr wamejishindia medali nyingi kimataifa. Hivi unajua rekodi ambayo Eliud Kipchoge aliivunja hapo awali kwenye marathon ilikuwa imeshikiliwa na Patrick Makua? Patrick Makau asili yake ni ukambani. Kwenye marathon kwa kina dada Paula Radcliff wa GB naye alivunja rekodi ya dunia ambayo ilikuwa imeshikiliwa kwa muda mrefu na Catherine Ndereba. Catherine Ndereba asili yake ni ukikuyuni.
 
Napenda sana riadha nimemuangalia kipchoge aklifanya maajabu hiko vienna ku run marathon under 2 hours waooh it was amazing kuna siku nilimsikia nyambui akisema back in the 70s and 80s wakenya walikuwa wanakuja Tanzania ku train leo they are miles ahead they are the best in the world kweli tumepotea aisee, anyway hongereni sana ndugu zetu riadha inawafanya nchi yenu imekuwa famous sisi huku JIWE YUKO BUSY KUUA WAPINZANI NA KUIUA CHADEMA
Wakenya huwa wapo serious na mambo yao hata kama ni mama ntilie anafanya kwa ustadi mkubwa
 
Umesahau lile kabila lako kuu...kijani tribe[emoji1787][emoji1787]
Riadha ni kipaji kwanza kabla ya training. Training bila kipaji hamna ushindi. Riadha kama michezo mingi ni suala la vinasaba na sio la kisiasa.
Wanaoshinda marathon kutoka Kenya ni Wakalenjin na kutoka Ethiopia ni Waoromo.
Ukienda Naijeria wacheza soka wao wengi ni Waigbo.
Sasa hapo 'Jiwe' anaingiaje? Bila shaka huko shuleni ulienda kusomea ujinga.
 
Vipi kuhusu wa Oromo wa Kenya, mbona hatuwaoni kwenye riadha? Wamaasai wa Tz nao mbona hawapo wakati wenzao wamaasai wa Kenya km. David Rudisha na babake Rudisha Snr wamejishindia medali nyingi kimataifa. Hivi unajua rekodi ambayo Eliud Kipchoge alovunja hapo awali kwenye marathon ilikuwa imeshikiliwa na Patrick Makua? Patrick Makau asili yake ni ukambani. Kwenye marathon kwa kina dada Paula Radcliff wa GB naye alivunja rekodi ambayo ilikuwa imeshikiliwa kwa muda mrefu na Catherine Ndereba. Catherine Ndereba asili yake ni ukikuyuni.

Wamaasai kwenye riadha ni wa kubahatisha kama hao Wakikuyu.
Hao Waborana waliingia Kenya miaka mingi iliyopita kwa hiyo huenda walichanganyika na makabila mengine.
Huwezi kutenganisha marathon na Wakalenjin na Waoromo.
 
Jamaa atakuwa anatrain sana aisee,
Atakuwa anajinyima vingi, Zikiwemo kula nyama tamu na Bia, Hata kuto.mba lazima anafanya kwa mahesabu makali, Dah.
 
Mbio mnazomsifia kipchoge hata hazitambuliki na shirikisho la riadha duniani, mbio zenyewe hakua na mpinzani pia aliandaliwa kukimbia eneo maalum, ni makampuni flani ndiyo yalimtumia kutengeneza pesa.
 
Back
Top Bottom