Kwahiyo kama jiwe yuko busy kuua chadema,wewe uko unataga mayai uatamie au unafanya nini hapo??Napenda sana riadha nimemuangalia kipchoge aklifanya maajabu hiko vienna ku run marathon under 2 hours waooh it was amazing kuna siku nilimsikia nyambui akisema back in the 70s and 80s wakenya walikuwa wanakuja Tanzania ku train leo they are miles ahead they are the best in the world kweli tumepotea aisee, anyway hongereni sana ndugu zetu riadha inawafanya nchi yenu imekuwa famous sisi huku JIWE YUKO BUSY KUUA WAPINZANI NA KUIUA CHADEMA
tuko juu siku zote bro. asante kwa kulitambua hilo!Watanzania tuache wivu. Kwenye michezo Kenya wametuzidi kote. Sisi kwenye muziki na maigizo twawazidi mbali.
Nimeangalia hii kitu kwa kweli Wakenya wako juu. Na Wazungu nao wako juu
Truly Kenyan and by the way this is a new marketing opportunity not only on our products but also for tourism and Brand Kenya.
Maneno yako hayana tofauti na yule mkenya alietolewa posa sauz , wakenya wanatuzidi vipi kote kwenye michezo ?. Kenya wametuzidi kwenye mbio tumewazidi kwenye ngumi kwenye mpira hamna aliemzidi mwenzake mzani unatinga sawa kwenye kuimba tumewazidi kwenye michezo ya kijinga kijinga kama volbo sijui cliket wametuzidi sasa ukisema wametuzidi kote ckuelewi au unazungumzia kuolewa?Watanzania tuache wivu. Kwenye michezo Kenya wametuzidi kote. Sisi kwenye muziki na maigizo twawazidi mbali.
Nimeangalia hii kitu kwa kweli Wakenya wako juu. Na Wazungu nao wako juu
Ngumi mshawahi kushindwa dhahabu?Maneno yako hayana tofauti na yule mkenya alietolewa posa sauz , wakenya wanatuzidi vipi kote kwenye michezo ?. Kenya wametuzidi kwenye mbio tumewazidi kwenye ngumi kwenye mpira hamna aliemzidi mwenzake mzani unatinga sawa kwenye kuimba tumewazidi kwenye michezo ya kijinga kijinga kama volbo sijui cliket wametuzidi sasa ukisema wametuzidi kote ckuelewi au unazungumzia kuolewa?
Usirudi hapa Kama unakurupuka upuziManeno yako hayana tofauti na yule mkenya alietolewa posa sauz , wakenya wanatuzidi vipi kote kwenye michezo ?. Kenya wametuzidi kwenye mbio tumewazidi kwenye ngumi kwenye mpira hamna aliemzidi mwenzake mzani unatinga sawa kwenye kuimba tumewazidi kwenye michezo ya kijinga kijinga kama volbo sijui cliket wametuzidi sasa ukisema wametuzidi kote ckuelewi au unazungumzia kuolewa?
Hahahahaha....goodNaye pia akatengeneza pesa, bendera ya Kenya ikapeperuehwa dunia kote, Kenya ikatambulika Dunia mzima na wewe unapiga mdomo hapa JF mahala ambapo comment yako imesomwa na watu wasiozidi 20...who is the loser here?
Vipi kuhusu wa Oromo wa Kenya, mbona hatuwaoni kwenye riadha? Wamaasai wa Tz nao mbona hawapo wakati wenzao wamaasai wa Kenya km. David Rudisha na babake Rudisha Snr wamejishindia medali nyingi kimataifa. Hivi unajua rekodi ambayo Eliud Kipchoge aliivunja hapo awali kwenye marathon ilikuwa imeshikiliwa na Patrick Makua? Patrick Makau asili yake ni ukambani. Kwenye marathon kwa kina dada Paula Radcliff wa GB naye alivunja rekodi ya dunia ambayo ilikuwa imeshikiliwa kwa muda mrefu na Catherine Ndereba. Catherine Ndereba asili yake ni ukikuyuni.
Anataka akutagishe wewe mayai.Kwahiyo kama jiwe yuko busy kuua chadema,wewe uko unataga mayai uatamie au unafanya nini hapo??
Kwa uchawi ama?Wagogo wa Dodoma.
Ngumi mshawahi kushindwa dhahabu?
Mpira Kenya iliwagaragaza kule Misri sio Siri.
Riadha hata msiseme.
Voliboli Kenya juzi tu ilikuwa World Cup huko Japan na bado ndio mabingwa wa Afrika.
Cricket Kenya Ni mojawapo ya magwiji pamoja na SA, Zimbabwe na Namibia.
TANZANIA IKO WAPI KWA MICHEZO?
Au humjui mwa kinyo vizuri ee, tafuta shangingi lako huko Kenya unaemuona huyu anajua ndoni vizuur harafu apambane na mwakinyo uone kitakachomtokeaNgumi mshawahi kushindwa dhahabu?
Mpira Kenya iliwagaragaza kule Misri sio Siri.
Riadha hata msiseme.
Voliboli Kenya juzi tu ilikuwa World Cup huko Japan na bado ndio mabingwa wa Afrika.
Cricket Kenya Ni mojawapo ya magwiji pamoja na SA, Zimbabwe na Namibia.
TANZANIA IKO WAPI KWA MICHEZO?
Hongera Sana Mtanzania wa Kuzaliwa Eliud Kipchoge.Ndugu zako wa Rombo wamekuandalia sherehe kukupongezaNi ngumu kumeza hii, huyu Mkenya anataka kufanya kitu ambacho hakiingii akilini, sijui nini anawaza muda huu, neno 'badass' litapata maana na tafsiri mpya leo.
Mbio zenyewe ataanza 09:15am
Kwa watani wetu wa Kusini, ili kuwapa picha ya umbali anaokimbia chini ya masaa mawili, ni kama kutoka Dar hadi Mlandizi, kwa ndugu zangu hapa Kenya hiyo ni kama kutoka Nairobi hadi Lari.
TV nyingi duniani zitapeperusha moja kwa moja mubashara, hata zetu hapa Kenya naona zimeweka live, anajadiliwa kitaani nyumba kwa nyumba. Muhimu sana maana inawapa hamasa vijana wengi kwamba linawezekana na itawezekana.
Pia kampuni ya Youtube inapeperusha mubashara
----UPDATE----
Eliud Kipchoge ran a staggering 1:59:40, shattering the mythical sub-two marathon barrier as he completed the #INEOS Challenge in majestic fashion on the streets of Vienna
--
ELIUD KIPCHOGE: MWANARIADHA WA KWANZA KUKIMBIA KM 42 KWA CHINI YA SAA 2
Mwanariadha raia wa Kenya, Eliud Kipchoge ameweka rekodi ya kuwa Mwanariadha wa kwanza Duniani kumaliza mbio za marathon kwa muda wa chini ya saa mbili
View attachment 1230550
Kipchoge mwenye miaka 34, amekimbia Kilometa 42.2 kwa kutumia muda wa saa 1, dakika 59 na sekunde 40 kwenye michuano ya Ineos 1:59 huko Vienna, Australia
Hata hivyo, rekodi hiyo haitatambuliwa kama rekodi rasmi Ulimwenguni kwasababu ameweka rekodi hiyo katika michuano isiyo ya wazi
Aidha, katika jaribio lake la mwisho kutaka kuweka rekodi hiyo mnamo mwaka 2017 alishindwa kwa sekunde 25