Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Napenda sana riadha nimemuangalia kipchoge aklifanya maajabu hiko vienna ku run marathon under 2 hours waooh it was amazing kuna siku nilimsikia nyambui akisema back in the 70s and 80s wakenya walikuwa wanakuja Tanzania ku train leo they are miles ahead they are the best in the world kweli tumepotea aisee, anyway hongereni sana ndugu zetu riadha inawafanya nchi yenu imekuwa famous sisi huku JIWE YUKO BUSY KUUA WAPINZANI NA KUIUA CHADEMA
Kwahiyo kama jiwe yuko busy kuua chadema,wewe uko unataga mayai uatamie au unafanya nini hapo??
 
Watanzania tuache wivu. Kwenye michezo Kenya wametuzidi kote. Sisi kwenye muziki na maigizo twawazidi mbali.
Nimeangalia hii kitu kwa kweli Wakenya wako juu. Na Wazungu nao wako juu
tuko juu siku zote bro. asante kwa kulitambua hilo!
 
Screenshot_20191012-183914.png
IMG_20191012_221622.jpg
 
Yani dunia Mzima macho kwa Nchi ya Asali, Maziwa na Riadha. Proudly Kenyan...wiki zaidi ya mbili toka Doha na leo Ineos jina tajika Ni KENYA.
 
Watanzania tuache wivu. Kwenye michezo Kenya wametuzidi kote. Sisi kwenye muziki na maigizo twawazidi mbali.
Nimeangalia hii kitu kwa kweli Wakenya wako juu. Na Wazungu nao wako juu
Maneno yako hayana tofauti na yule mkenya alietolewa posa sauz , wakenya wanatuzidi vipi kote kwenye michezo ?. Kenya wametuzidi kwenye mbio tumewazidi kwenye ngumi kwenye mpira hamna aliemzidi mwenzake mzani unatinga sawa kwenye kuimba tumewazidi kwenye michezo ya kijinga kijinga kama volbo sijui cliket wametuzidi sasa ukisema wametuzidi kote ckuelewi au unazungumzia kuolewa?
 
Maneno yako hayana tofauti na yule mkenya alietolewa posa sauz , wakenya wanatuzidi vipi kote kwenye michezo ?. Kenya wametuzidi kwenye mbio tumewazidi kwenye ngumi kwenye mpira hamna aliemzidi mwenzake mzani unatinga sawa kwenye kuimba tumewazidi kwenye michezo ya kijinga kijinga kama volbo sijui cliket wametuzidi sasa ukisema wametuzidi kote ckuelewi au unazungumzia kuolewa?
Ngumi mshawahi kushindwa dhahabu?
Mpira Kenya iliwagaragaza kule Misri sio Siri.
Riadha hata msiseme.
Voliboli Kenya juzi tu ilikuwa World Cup huko Japan na bado ndio mabingwa wa Afrika.
Cricket Kenya Ni mojawapo ya magwiji pamoja na SA, Zimbabwe na Namibia.

TANZANIA IKO WAPI KWA MICHEZO?
 
Maneno yako hayana tofauti na yule mkenya alietolewa posa sauz , wakenya wanatuzidi vipi kote kwenye michezo ?. Kenya wametuzidi kwenye mbio tumewazidi kwenye ngumi kwenye mpira hamna aliemzidi mwenzake mzani unatinga sawa kwenye kuimba tumewazidi kwenye michezo ya kijinga kijinga kama volbo sijui cliket wametuzidi sasa ukisema wametuzidi kote ckuelewi au unazungumzia kuolewa?
Usirudi hapa Kama unakurupuka upuzi
 
Watu wamekariri. Ushindi katika Riadha si kipaji Wala DNA Ni training. Tatizo la Tanzania ni Hilo wamekariri kuwa watu wa Mbulu ndo wanariadha ,hata juzi kule Doha wamepeleka timu bila Maandalizi ya kutosha matokeo yake baadhi wameshindwa hata kumaliza. Hivi inawezekana vipi watu watoke kazini tu na kwenda kushiriki mbio bila Maandalizi?
Vipi kuhusu wa Oromo wa Kenya, mbona hatuwaoni kwenye riadha? Wamaasai wa Tz nao mbona hawapo wakati wenzao wamaasai wa Kenya km. David Rudisha na babake Rudisha Snr wamejishindia medali nyingi kimataifa. Hivi unajua rekodi ambayo Eliud Kipchoge aliivunja hapo awali kwenye marathon ilikuwa imeshikiliwa na Patrick Makua? Patrick Makau asili yake ni ukambani. Kwenye marathon kwa kina dada Paula Radcliff wa GB naye alivunja rekodi ya dunia ambayo ilikuwa imeshikiliwa kwa muda mrefu na Catherine Ndereba. Catherine Ndereba asili yake ni ukikuyuni.
 
Kiranga chuki za ajabu.Unashagaza kweli. We give credit where credit is due.Hongera Kip.
 
Unakumbuka Misri tu kipigo ulichokipata kwako umekisahao au nani kakuvunjia masomo yako ya kuendelea na chan kama unakumbuka vizuri , na juzi tu hapo U20 wakawagonga tena Wakenya na kubena kombo lakini hata rekodi hizo huzioni unabaki na kujifariji na Misri tu miaka yote utagongwa ukiambiwa utajifariji na Misri. Tukija kwenye ngumi mchezaji gani wa Kenya anaeweza kupambana na wa TZ
Ngumi mshawahi kushindwa dhahabu?
Mpira Kenya iliwagaragaza kule Misri sio Siri.
Riadha hata msiseme.
Voliboli Kenya juzi tu ilikuwa World Cup huko Japan na bado ndio mabingwa wa Afrika.
Cricket Kenya Ni mojawapo ya magwiji pamoja na SA, Zimbabwe na Namibia.

TANZANIA IKO WAPI KWA MICHEZO?
 
Ngumi mshawahi kushindwa dhahabu?
Mpira Kenya iliwagaragaza kule Misri sio Siri.
Riadha hata msiseme.
Voliboli Kenya juzi tu ilikuwa World Cup huko Japan na bado ndio mabingwa wa Afrika.
Cricket Kenya Ni mojawapo ya magwiji pamoja na SA, Zimbabwe na Namibia.

TANZANIA IKO WAPI KWA MICHEZO?
Au humjui mwa kinyo vizuri ee, tafuta shangingi lako huko Kenya unaemuona huyu anajua ndoni vizuur harafu apambane na mwakinyo uone kitakachomtokea
 
Ni ngumu kumeza hii, huyu Mkenya anataka kufanya kitu ambacho hakiingii akilini, sijui nini anawaza muda huu, neno 'badass' litapata maana na tafsiri mpya leo.

Mbio zenyewe ataanza 09:15am
Kwa watani wetu wa Kusini, ili kuwapa picha ya umbali anaokimbia chini ya masaa mawili, ni kama kutoka Dar hadi Mlandizi, kwa ndugu zangu hapa Kenya hiyo ni kama kutoka Nairobi hadi Lari.

TV nyingi duniani zitapeperusha moja kwa moja mubashara, hata zetu hapa Kenya naona zimeweka live, anajadiliwa kitaani nyumba kwa nyumba. Muhimu sana maana inawapa hamasa vijana wengi kwamba linawezekana na itawezekana.

Pia kampuni ya Youtube inapeperusha mubashara

----UPDATE----

Eliud Kipchoge ran a staggering 1:59:40, shattering the mythical sub-two marathon barrier as he completed the #INEOS Challenge in majestic fashion on the streets of Vienna

--
ELIUD KIPCHOGE: MWANARIADHA WA KWANZA KUKIMBIA KM 42 KWA CHINI YA SAA 2


Mwanariadha raia wa Kenya, Eliud Kipchoge ameweka rekodi ya kuwa Mwanariadha wa kwanza Duniani kumaliza mbio za marathon kwa muda wa chini ya saa mbili
View attachment 1230550
Kipchoge mwenye miaka 34, amekimbia Kilometa 42.2 kwa kutumia muda wa saa 1, dakika 59 na sekunde 40 kwenye michuano ya Ineos 1:59 huko Vienna, Australia

Hata hivyo, rekodi hiyo haitatambuliwa kama rekodi rasmi Ulimwenguni kwasababu ameweka rekodi hiyo katika michuano isiyo ya wazi

Aidha, katika jaribio lake la mwisho kutaka kuweka rekodi hiyo mnamo mwaka 2017 alishindwa kwa sekunde 25


Hongera Sana Mtanzania wa Kuzaliwa Eliud Kipchoge.Ndugu zako wa Rombo wamekuandalia sherehe kukupongeza
 
Back
Top Bottom