Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Hizi kilomita tano zilizosalia jameni hakukaliki huku!!
 
@Mods sikuwa nimeona ule uzi mwingine wa MK254. Haya basi, hamisha uzi huu, unganisha ziwe moja. Shukran.
 
Dah! Hii marathon ni ya kukata na shoka! Dakika ni za lala salama. Kenya representing! [emoji1139]
 
Vipi na yule mkenya aliyeolewa south hawataonesha live akitinduliwa marinda?
huyu mtz naye vp mazeee! eboooo...

 
Legendary [emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1139][emoji1139][emoji1139][emoji1139][emoji1139][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…