Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Unafiki ni kupinga km hatoweza kufanikisha...lkn ulivyokua mnafiki ukajifanya umekuja na analysis na mwisho ukaonyesha kabis ahawezi make it...

NO HUMAN IS LIMITED
Kweli jamii forum kuna watu wa ajabu ajabu kiwango cha lami

Sasa unafiki wangu ulikua wapi apo kwenye post yangu?

Na kwanini nione aibu?

Kuwa japo na fikra chanya kidogo,nilichokifanya ni kujaribu kukuwekea picha ya uhalisia wa umbali anaotakiwa kukimbia na kwa kutumia mda gani...

Pengine yawezekana hata wewe ulivyosikia 42km/2hrs haukuelewa ugumu wake kiuhalisia, mpaka nilivyokuchambulia kwa mapana ndo ukaona ugumu...

Baada ya kukuchambulia na kufaham ugumu wake unatakiwa unishukuru kwa kukuongezea chachu ya kumuangalia kama kweli ataweza au laah!!

All in all jamaa ni mwamba na anastahili pongezi ..Yeees ameweza!!!

N.B
Analysis yangu na calculation iliyonipa umbali wa 5.8km kwa sekunde,nili assume kama atakimbia uniformly speed from the start to the end.

Lakini watu wa riadha tunajua technical zetu hasa hizi mbio za marathon,hapa kuna kitu tunakiita 'splitting time'.Acha niishie hapa nisije kukuchanganya bure maana wengine ubongo wenu ni mzito kuelewa.
 
Ndiyo ukweli wa mambo.
Na hii ndiyo sababu hakuna respectable international athletics body inayoitambua hii time kama a world record.
Wakenya wanaketa habari za "My country, right or wrong".
ukweli wa mambo..
Eliud kipchoge ni world record holder kwa men's marathon na pia ni first man to do sub 2hrs kwa marathon...hizo zingine ni Semantics..TAKE NOTHING FROM THAT MAN, he is a legend..greatest of all time..
 
Wanafiki wanajitokeza km wezi vile...
Mliomba asifanikiwe, haya sasa kafanikiwa...
Mmebaki na mafeelings sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kiranga waonee huruma wakenya. hoja zako zitawafanya wapasue device zao wanazotumia kuingia jf.

punguza kuwabana pls. acha wapumue kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee
 
Elewa tuu
To some of them, its a constant pain living under kenyas shadow
When ccm tells you you're in the best nation this side of the sahara and you believe them, then some random country up north keeps winning in something new every few days,
If you have a low IQ, wont you grow jealous and start to talk shiet about them to justify your own failures ..

Wewe sio Mkalenjin acha kelele nyingi. Lazy Kikuyus can't run marathon.
 
Hehehe!! Wee jamaa lakini, ila huwa nafuatilia unavyopenda kuwa pain in the ass kwa wote, sio kwa Watanzania wala Wakenya, una hulka ya kuchagua popular thread, kisha unatafuta jinsi ya kukinzana na maoni ya wote.
Haya bwana....
Napenda kusimamia fact.

Ukisimamia fact huwezi kuchagua upande wa Kenya au Tanzania.

Kwa sababu pande zote zina nationalistic jingoism and propaganda bullshit.

Ndiyo maana kwa Watanzania huko watu wengi hawanipendi kwa sababu namsema vibaya Magufuli. Mungumtu wao.

Sasa ukiona unatetea Kenya kila siku, au unatetea Tanzania kila siku, hapo ujue kuna siku una sacrifice fact for the sake of political expediency disguised as nationalism.

I like to quote Einstein on nationalism.

"Nationalism is an infantile disease, it is the measles of mankind".

Kipchoge is a great athlete. He has a very good and world recognized record. I am not trying to say anything against his legitimate record. I am not saying he is not a great athlete. Far from it.

What I don't like is passing this masturbation as proper coitus, a proper marathon.

When praising him, let all facts be known, including the fact that this is not a conventional marathon, he had pacemakers assistance, car following him, he had the advantage of some control against the wind.

He set the bar low by having these artificial advantages. To me, this is pretty much like doping.

If one allows this, why not allow doping also?
 
Kipchoge is a beast
Screenshot_20191012-144157_Opera%20Mini%20beta.jpeg
 
Unafiki ni kupinga km hatoweza kufanikisha...lkn ulivyokua mnafiki ukajifanya umekuja na analysis na mwisho ukaonyesha kabis ahawezi make it...

NO HUMAN IS LIMITED

Analysis yangu ndo imekuonyesha ivyo,kuwa hatoweza!! na wala hamna sehemu niliosema kuwa hawezi.

Na nimefanya analysis iyo ili kuwapa watu picha halisi ya utamu wa tukio lenyewe!!

wengi mnasikiaga tu rekodi za marathon lakin hampati picha ya ugumu wa tukio

mimi pia ni mkimbiaji,naelewa ninachokiandika

Through analysis ikakuonyesha kabisa ni kama vile haiwezekani 5.8km kwa sekunde!!

Lakini I know by experience, thruogh marathon splinting technique inawezekana lakini sio kirahisi!!

hata ukitaka nikuelezee na kukuchambulia the way eliud alivyowin nitakuchambulia

Ukitaka uendelee kubishana tu bila mantiki,then kila la kheri na ubarikiwe pia.
 
Sasawa CCM...
Kipchoge ametekeleza ilani ya chama cha mapinduzi[emoji1787][emoji1787]
Hii kw juhudi za ccm..
CCM hoyeeee
Wewe sio Mkalenjin acha kelele nyingi. Lazy Kikuyus can't run marathon.
 
MK254 jirani Kipchonge amefanana na Wamang’ati wa kule Katesh. Tumfanyie DNA test

Kipchoge katoka jamii ya Nilotes nadhani sidhani kama Wamang’ati ni pure bantus so wanaweza kuwa wanarelate kuna baadhi ya nilotes huwa wanastahimili kukimbia kwa muda mrefu nadhani waMasai pia wanaweza kimbia sana lakini kwa jamii za wabantu ni wachache sana
 
Aaaweeee!!!
Nilijua tu, ulikuja vile ndio ili hata akifanikisha ujifanye unajua mengi kuhusu mbi...

Eti mpka ukaandika "5m per sec"
Analysis yangu ndo imekuonyesha ivyo,kuwa hatoweza!! na wala hamna sehemu niliosema kuwa hawezi.

Na nimefanya analysis iyo ili kuwapa watu picha halisi ya utamu wa tukio lenyewe!!

wengi mnasikiaga tu rekodi za marathon lakin hampati picha ya ugumu wa tukio

mimi pia ni mkimbiaji,naelewa ninachokiandika

Through analysis ikakuonyesha kabisa ni kama vile haiwezekani 5.8km kwa sekunde!!

Lakini I know by experience, thruogh marathon splinting technique inawezekana lakini sio kirahisi!!

hata ukitaka nikuelezee na kukuchambulia the way eliud alivyowin nitakuchambulia

Ukitaka uendelee kubishana tu bila mantiki,then kila la kheri na ubarikiwe pia.
 
ukweli wa mambo..
Eliud kipchoge ni world record holder kwa men's marathon na pia ni first man to do sub 2hrs kwa marathon...hizo zingine ni Semantics..TAKE NOTHING FROM THAT MAN, he is a legend..greatest of all time..
Hiyo sub 2 hrs marathon record inatambuliwa na world athletics body gani?
 
Aaaweeee!!!
Nilijua tu, ulikuja vile ndio ili hata akifanikisha ujifanye unajua mengi kuhusu mbi...

Eti mpka ukaandika "5m per sec"

Imenibidi nicheke tu mzee baba...kwaiyo huamini kamba kwa umbali ule na mda aliotumia ni sawa ni 5m per sec ama nini?
Mind u,iyo splinting rate ya 5m per sec ni by assumption kwamba alikuwa anakimbia constatnt speed mwanzo mpaka mwisho.
 
Ata me najiuliza ucje kuta ana 50+ mana hawa tunawajua kwa kuongopa umri ilihali sura zao huwa zinakataa
Hivi ni kweli kipchoge ana miaka 34 tu !!!!! ???? ni macho yangu au nae anatumia maji ya mende kwa sana
 
Back
Top Bottom