Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What have you done hadi dunia yote ikawa inakuangalia tuanzie hapo,kisha yule billionaire ni mjinga sana akampelekea private jet kumchukua kenya!!!...wacha wivu weweRecord gani? Inayotambuliwa na chama gani?
Kasaidiwa na watu kuzuia upepo, kasaidiwa na watunza muda.
Not a natural marathon.
Arudie tena kukimbia bila kusaidiwa hivyo, akiweza kukimbia ndani ya masaa mawili hapo kuna kitu kipya cha kusheherekea.
Vinginevyo what is the difference between this and doping?
Vyote viwili ni kutumia artificial assistance to run a certain distance in a certain time.
This is just like doping.
That is why no respectable body of athletics recognizes this as a record.
Moyoni unasikia uchungu kwa kuwa Eliud ni Mkalenjin. Unatamani angekuwa Msapere mwenzako ila ndiyo hivyo hamjui kukimbia.
Kuna so many speculations kuhusu tukio hili,ndomaana vyamba vya riadha duniani vimejiweka pembeniThe devil is in the detail.
Kwa nini muda huu hautambuliwi kama a world record na chama chochote cha mbio za riadha duniani?
Kwani Msapere ni kabila gani ati?Moyoni unasikia uchungu kwa kuwa Eliud ni Mkalenjin. Unatamani angekuwa Msapere mwenzako ila ndiyo hivyo hamjui kukimbia.
Wacha ujinga! Kwa vigezo saba he was taking caffein drinks pia!Kuna watu wana wivu kupindukia. Eliud Kipchoge alikuwa na anathubutu kukimbia marathon chini ya masaa mawili, na amefanikiwa. Ni marathon world record ila sio official kupitia IAAF. Kwa kigezo kimoja tu, kwamba pacemakers walikuwa wana'rotate'. Kawaida kwenye marathon pacemakers huwa hawaingii kwenye mbio katikati, huwa wanaanza kutoka mwanzo lakini wanakubaliwa kutoka wakati wowote ule. Kiranga kwenye marathon ya kawaida wanariadha huwa wanakimbia in 'packs' na pacemakers wakiwatangulia. Huku wote wakigombania kuwa upande wa ndani kwenye barabara. Hakuna marathon ambayo mwanariadha huwa anakimbia pekee yake. https://www.bbc.com/sport/athletics/50025543
Ya just had to rain on their parade huh?Kwani Msapere ni kabila gani ati?
Sorry guys i have to retract my congratulations https://www.standardmedia.co.ke/spo...vienna-will-not-be-recognised-as-world-record
Hii sio mada ya kujadili, ni mada ya kutoa pongezi,
Pongezi nilishatoa huko juu.
Wakenya wa jf hawapendi kuusikia huu ukweli hapa 😂😂😂Kwani Msapere ni kabila gani ati?
Sorry guys i have to retract my congratulations https://www.standardmedia.co.ke/spo...vienna-will-not-be-recognised-as-world-record
Ona sasa mlivyokuwa low..yaani kuweka rekodi mpaka kuwa laivu..Ilikua live channel gani hyo yako
Msapere ni kabila la Kariuki?Wakenya wa jf hawapendi kuusikia huu ukweli hapa 😂😂😂
sisi tunashingilia ushindi wa mtanzania mwenzetu. wakenya endeleeni kupata hasira.Wanafiki wanajitokeza km wezi vile...
Mliomba asifanikiwe, haya sasa kafanikiwa...
Mmebaki na mafeelings sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii kalisisi tunashingilia ushindi wa mtanzania mwenzetu. wakenya endeleeni kupata hasira.
View attachment 1230774View attachment 1230775
Bongo nzima tuko wima, twakupigia makofisisi tunashingilia ushindi wa mtanzania mwenzetu. wakenya endeleeni kupata hasira.
View attachment 1230774View attachment 1230775
Huyu kwanini msiseme ni kutoka "East Africa", au East Africans ni Diamond na Alikiba na Harmonize tu lakini ikifika upande wa wakenya kufanya vizuri hakuna EAC?.
Tukikataa EPA, free movement of people and businesses, hapo ndio mnaikumbuka EAC kwasababu inawaumiza. Ubinafsi na kupenda sifa ndio ugonjwa wenu.
Huku Bongo sipati Picha yaani CCM nazani wakina Polepole wangekuwa kila Dakika wanafanya Press na kusema huyo anaiwakilisha CCM.
Sijasikia Mkenya akisema eliud kipchoge anawakilisha chama fulani.
CCM jifunzeni kutoka kwa Eliud kipchoge. Pale anawakilisha nchi sio Chama
Kumbe ataandika historia na sio kuvunja rekodi....na hii ni kwasababu anakimbia mwenyewe na pia uwepo wa pacemakers ambao wanaingia na kutoka. Ila all in all inatuweka vizuri wanaafrika mashariki kwenye uso wa dunia hususan kwenye michezo.
Mtoto wa Mumbi 😂 😂Kwani Msapere ni kabila gani ati?
Sorry guys i have to retract my congratulations https://www.standardmedia.co.ke/spo...vienna-will-not-be-recognised-as-world-record