Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

huyu binamu yako anataka kuharibu jamvi hapa anikumbushia machungu ya kuachwa
sikufurahia ndo mana nimemwambia kuwa kwani kuwa na mentor siwezi kuishi?

apo chacha na urembo wote huo, tena cousin wangu uko fiti kila idara halafu wanakuletea mizinguo, hebu wakuwache upumue meeeeeeeeeeeeen!!!!!!
Maisha ni kujichagulia na sio kuchaguliwa!!!!

Erickb52 usimuudhi tena cousin wangu sawa, ukimuudhi tena tunakuchangia mabinti wote wa mzee wa tuktuku
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndo mpiga debe wake ulioshirikiana nae kufanya pindua pindua.. Leo unaanza kulalama.. Tulisema sie Erickb52 kuwa kiongozi ni sawa na fisi kumkabidhi bucha.. Wake zetu hawatakuwa salama..

Huyo dogo Erickb52 ana matatizo ya kisaikolojia ndo maana muda wote anawaza mapinduzi , ni wa kumsamehe bure, hajui anacho kinena wala kutenda. Msameheni bure. Kesho mtamsikia kajipindua mwenyewe kwa Chocs ..
 
Last edited by a moderator:

Ndo mlikuwa mnamshabikia awe mwenyekiti hapa..!? no way... yule akishika madaraka hata kwa.wiki moja tu hapa itakuwa balaa..
 
Last edited by a moderator:
Sawa nimekuelewa shem Lady doctor
 
Last edited by a moderator:
Hebu tujikumbushe kidogo, kumbe Madame B alikuwa anarock tangu zamani...naanza kupata shaka na haya mapinduzi mapinduzi

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…