Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

huyu binamu yako anataka kuharibu jamvi hapa anikumbushia machungu ya kuachwa
sikufurahia ndo mana nimemwambia kuwa kwani kuwa na mentor siwezi kuishi?

apo chacha na urembo wote huo, tena cousin wangu uko fiti kila idara halafu wanakuletea mizinguo, hebu wakuwache upumue meeeeeeeeeeeeen!!!!!!
Maisha ni kujichagulia na sio kuchaguliwa!!!!

Erickb52 usimuudhi tena cousin wangu sawa, ukimuudhi tena tunakuchangia mabinti wote wa mzee wa tuktuku
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndo mpiga debe wake ulioshirikiana nae kufanya pindua pindua.. Leo unaanza kulalama.. Tulisema sie Erickb52 kuwa kiongozi ni sawa na fisi kumkabidhi bucha.. Wake zetu hawatakuwa salama..

Huyo dogo Erickb52 ana matatizo ya kisaikolojia ndo maana muda wote anawaza mapinduzi , ni wa kumsamehe bure, hajui anacho kinena wala kutenda. Msameheni bure. Kesho mtamsikia kajipindua mwenyewe kwa Chocs ..
 
Last edited by a moderator:
apo chacha na urembo wote huo, tena cousin wangu uko fiti kila idara halafu wanakuletea mizinguo, hebu wakuwache upumue meeeeeeeeeeeeen!!!!!!
Maisha ni kujichagulia na sio kuchaguliwa!!!!

Erickb52 usimuudhi tena cousin wangu sawa, ukimuudhi tena tunakuchangia mabinti wote wa mzee wa tuktuku

Ndo mlikuwa mnamshabikia awe mwenyekiti hapa..!? no way... yule akishika madaraka hata kwa.wiki moja tu hapa itakuwa balaa..
 
Last edited by a moderator:
apo chacha na urembo wote huo, tena cousin wangu uko fiti kila idara halafu wanakuletea mizinguo, hebu wakuwache upumue meeeeeeeeeeeeen!!!!!!
Maisha ni kujichagulia na sio kuchaguliwa!!!!

Erickb52 usimuudhi tena cousin wangu sawa, ukimuudhi tena tunakuchangia mabinti wote wa mzee wa tuktuku
Sawa nimekuelewa shem Lady doctor
 
Last edited by a moderator:
Hebu tujikumbushe kidogo, kumbe Madame B alikuwa anarock tangu zamani...naanza kupata shaka na haya mapinduzi mapinduzi

Madame B: Saying "I love you" is a hard thing to do. You might be worried if you are really expressing your truly feelings or if you are being pressured into it. Everyone has their own time when they think that it is appropriate to say I love you. There is no right or wrong time. However, it is hurtful when an individual makes himself vulnerable and says, I love you, and his words are not returned. Sometimes it may be a simple act of courtesy to return the sentiment. On the other hand you may be setting him up for false expectations about the potential for a relationship. I LOVE YOU Madame B
Always Yours Arushaone


 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom