Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,194
- 13,426
shem mi namsubiri Ben Saanane kwanza
ili nitoe ya moyoni,maskini Madame B,tunamuoneaaaa!!!
Afu kuna adhabu inaandaliwa kwake Madame B ya kuzuiwa kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote kwa muda wa miaka mitatu.
Jambo hili liko mezani kwa mwenyekiti Erickb52 kwa maamuzi.
Last edited by a moderator: