Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

hahahahahahahhhaha

Kamati ya ulinzi ya cc impatie ulinzi Elizabeth Dominic.

Hongera sana Eliza , wewe ni mwanamke shujaa sana,kuanzia leo kile cheo cha Madame B cha mwana mke rijali sasa ni chako ,wewe ndio mwanamke rijali.

Madame B kwisha habari yake ,chezea ELiza wewe?
hahahahah akhsante max kwa kutuletea jf.

My akanana Passion Lady naomba huwe karibu na @ madame b asije kujirestisha.

hahahahah
Madame B pole sana huu ni wakati wako tulia udungwe sindano na dr Elizabeth Dominic.

Tafadhali Lady doctor njoo ummpime pressure Madame B ukisaidiana na Heaven on earth.

Hahahhahaha kumbe kila mtu ana mbabe wake bhana.
kumekucha.
Nina mhakikishia ulinzi Elizabeth dominic
 
Last edited by a moderator:
Afu Baby Ben Saanane, ukirudi jioni niletee na juice ya ukwaju, naona leo mtoto wako hajisikii vyema tumboni.
Afu nasikia kichefuchefu, nibebee na ndimu za 700/=
CC: Erickb52, Penzi letu kama jipya vile.

hahahaaa....... Mahabaaaaaaaaaaa!!!!!!!

Madame B usekuseka na manyani na uvune mabuya mndelengwa!
 
Last edited by a moderator:
Afu Baby Ben Saanane, ukirudi jioni niletee na juice ya ukwaju, naona leo mtoto wako hajisikii vyema tumboni.
Afu nasikia kichefuchefu, nibebee na ndimu za 700/=
CC: Erickb52, Penzi letu kama jipya vile.

Nakuonea huruma ex yani hapo Ben Saanane hajakana kama hayuko na dominic, hebu soma kwa makini himekula kwako.

umepigwa changa la macho.

hapa Elizabeth Dominic ndio mwanamke rijali.
 
Last edited by a moderator:
Afu Baby Ben Saanane, ukirudi jioni niletee na juice ya ukwaju, naona leo mtoto wako hajisikii vyema tumboni.
Afu nasikia kichefuchefu, nibebee na ndimu za 700/=
CC: Erickb52, Penzi letu kama jipya vile.

Hahahahaaaa Madame B hiyo ni mimba inakusumbua huna lolote.
Kwa Ben sahau hutarudi tena
 
Last edited by a moderator:
wera wera wapi Erickb52. munaambiwaga kila siku msiingilie mapenzi ya wawili hamusikii, mtaumbuka mjini hapa

Wewe naweee
Kwanza unamchanganya Kaizer na kamwanaune kengine sijui ukoje eboooo
 
Last edited by a moderator:
Nani tena kakutongoza DEMBA wangu humu jamani?Nikimjua huyo mwanamme namuwekea vikwazo vya ku chat hapa!
DEMBA I miss u badly bana!

huyu Erickb52 ni mzandiki sana anajifanya msafi. kumbe watu tunamwangalia tu nakumchora. miss you too boy
 
Last edited by a moderator:
umeona ee
nadhani Baba V arudi

Hilo sahau.....!
Nimekuja kikazi mwallu
We baki na nanii yako hakuna wa kuitoa kwa sasa....kila mtu yuko na ya mkewe eboooo we iache iliwe na nyenyere hahahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Halafu shem wangu Ben Saanane mbona huonyeshi ushirikiano huku, wapambe tu ndio tunahangaika humu, ukuje tena basi utie neno!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom