Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

pacha uko poa wewe? Halafu shem Ruttashobolwa anavyo poteapotea hashindwi kuokota wa kukuvuruga shauri yako, ninasiri nyingi kuhusu shem ruta we baadae njoo home nikutonye

pacha mi niko poa
hizo siri we baki nazo maana mimi presure
yangu ni ya kushuka nisije kufariki bure ila
nakuruhusu ukimkuta mazingira tatanishi mpige hata chupa
ya reception tu mi nikiona nitajua ulimfuma!!nimekuruhusu!!!
 
Hii shughuli ishaingia wapambe jamani mi kwa niaba ya Mume wangu naomba niseme mutuwachee nimemshauri asiseme sana bado tupo tunaongea na lawyer wetu Ruttashobolwa
Natambua na kuheshimu sana mamlaka ya Mwenyekiti Erickb52
 
Last edited by a moderator:

pacha mi niko poa
hizo siri we baki nazo maana mimi presure
yangu ni ya kushuka nisije kufariki bure ila
nakuruhusu ukimkuta mazingira tatanishi mpige hata chupa
ya reception tu mi nikiona nitajua ulimfuma!!nimekuruhusu!!!

sawa pacha nitafanya kama ulivyoniambia wangu.. Lazima nimtoe shem manundu kwa ushahidi zaidi
 
Back
Top Bottom