Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Elon musk amezira baada ya Ukraine na marekani kuupuzia ushauri wake ndo ameamua kususa, Elon musk mtoto WA juzi awaambie marekani kipi Cha kufanya sababu kushindwa kwa Ukraine ni kushindwa kwa marekaniTukiacha ushabiki Elon yupo sahihi,yeye ameshajitoa vya kutosha,pia yeye ni mfanyabiashara hafanyi kazi ya kabisa. Marekani hana budi abebe hizo gharama au asitishe huduma.
Yaani wapiga kura wa USA wanaenda kumlipa kijana toka Africa mamilion ya mtandao. US akili zao wanazijuaTajiri namba moja duniani anayemiliki mtandao wa Starlink ameiambia wazi wizara ya ulinzi ya Mareknani kuwa sasa itabidi waanze kugharamia mawasiliano hayo kwa Ukwani.Amesema kama ni sadaka tayari keshatoa zaidi ya dola milioni 80 kwa ajili ya vfaa 20000 ambavyo vimekuwa ni nguzo ya mawasiliano ya jeshi la Ukraine baada ya minara yote ya mitandao ya simu za mkononi kubomolewa na Urusi.
Akizidi kuipasha Pentagon Musk amesema iwapo kasi itakuwa hii kwa misaada yake ifikapo mwishoni mwa mwaka itakuwa ametumia dola milioni 100,Siwezi tena.....
Taarifa hiyo si ya mdomo na kupitia twitter yake pekee bali tayari ameshaiandikia Pentagon tangu mwezi uliopita.
Kuonesha jinsi vifaa hivyo vilivyo muhimu kwa Ukraine mshauri wa raisi Zelensky,Mykhailo Podolyak amebainsisha serikali yake itafanya kila juhudi ili mawasiliano hayo yaweze kuendelea.Akasema Musk amewasaidia sana kwa muda mrefu na biashara yake ina haki ya kuendelea kujimudu.
Inferiority complex inakusumbua sanaYaani wapiga kura wa USA wanaenda kumlipa kijana toka Africa mamilion ya mtandao. US akili zao wanazijua
Kilimpata nnWatamnyoosha. USA sio wajinga, they always have a contingency plan, ukileta za kuleta ndio utajua kuwa kuna sheria nyingi tu uliwahi kuzifunja na wanazengo wakaweka kwenye mafaili.
Kuna dogo mmoja bilionea wa pharmaceutical companies alikomaa kupandisha bei ya dawa flani muhimu ya HIV, mwanzoni serikali ilimbembeleza sana lakini akakomaa, kilichompata ...
Umepanic, ni habari kama habari nyingine na imetangazwa vyombo vikubwa tu sasa kumbe kuleta habari humu ni kushupalia? Kwa hiyo aljazeera na bbc nao wameshupalia?We ndo nakushangaa unaposhupalia kwamba wanadaiwa Kwan ni ajabu mtu kudaiwa, unashangaa Elon musk kuwadai pentagon huku nchi za kiafrika zikiwa zinanuka madeni na huku ni maskini wa kutupa tuacheni unafki yaan unashangaa mtu kudai ajabu ni nin
Yani hata mwenyewe bila shaka hajui anabisha niniHuyo jamaa ni mbishi tu hawezi kukuelewa
Mtanzania unashangaa mtu au nchi kudaiwa, sijapanic ila nakushangaa ulivyokua mnafkiUmepanic, ni habari kama habari nyingine na imetangazwa vyombo vikubwa tu sasa kumbe kuleta habari humu ni kushupalia? Kwa hiyo aljazeera na bbc nao wameshupalia?
Bwana Musk kasema walipe wasipolipa atasitisha huduma bwashee
Kuna sehemu niliposhangaa, mimi nimekwambia alichosema musk kuwa wasipolipa atasitisha huduma wewe unapanic. Sasa sielewi kinachokupanikisha nini, fanya kunfuata twitter umchane musk mwenyeweMtanzania unashangaa mtu au nchi kudaiwa, sijapanic ilanakushangaa ulivyokua mnafki
Huku wewe ukiendelea kushangaa marekani kudaiwa,Nikukumbushe nchi yako Tanzania inadaiwa piaKuna sehemu niliposhangaa, mimi nimekwambia alichosema musk kuwa wasipolipa atasitisha huduma wewe unapanic. Sasa sielewi kinachokupanikisha nini, fanya kunfuata twitter umchane musk mwenyewe
mkuu acha kubishana na hlo lindeziNarudia tena kuna sehemu imeandikwa ni ajabu, hapa tunaandika alichosema na kilichotamgazwa kwenye media, sasa sijui unabisha kuwa hakusema hivyo, au hakupeleka satelite zake kuwapa mawasiliano ukraine, au unabisha kuwa anaonge uongo kuwa mpaka sasa hajalipwa.
Hebu nieleze hapa unabisha nini au ni kosa kuzungumzia musk alichosema juu ya hayo malipo?
Hivi kuna sehemu nimesema nimeshangaa marekani kudaiwa, mimi nisema kuwa musk akasema wasipolipa anasitisha huduma na ni habari imetangzwa na ikafika humu jf kama habari nyingine zinavyofika hapa.Huku wewe ukiendelea kushangaa marekani kudaiwa,Nikukumbushe nchi yako Tanzania inadaiwa pia
Huku wewe ukiendelea kushangaa marekani kudaiwa,Nikukumbushe nchi yako Tanzania inadaiwa piaHivi kuna sehemu nimesema nimeshangaa marekani kudaiwa, mimi nisema kuwa musk akasema wasipolipa anasitisha huduma na ni habari imetangzwa na ikafika humu jf kama habari nyingine zinavyofika hapa.
Sasa unapanic watu kuleta habari ya marekani kudaiwa mkuu yaani una uchungu kuliko hata wamarekani wenyewe.
Usipanic shushia maji relax
Matusi ya nin Tena, Huku wewe ukiendelea kushangaa marekani kudaiwa,Nikukumbushe nchi yako Tanzania inadaiwa piamkuu acha kubishana na hlo lindezi
Baada ya kampuni yake kupandisha bei ya dawa muhimu inaitwa Daraprim kwa zaidi ya 5,455% , alilalamikiwa kweli akajifanya mjanja. Baada ya hapo ilikumbana na kesi kadhaa, mwaka 2017 akahukumiwa kwenda gerezani pamoja na kulipa mamilioni ya dollars kama faini.Kilimpata nn
wew mbn unajibu kama tahira ivi ! unajiskia unavoongea?Huku wewe ukiendelea kushangaa marekani kudaiwa,Nikukumbushe nchi yako Tanzania inadaiwa pia
Hili ni jukwaa huru nikukumbushe huwezi mpangia mtu Cha kuongea as long ajatukana mtu Sasa nakushangaa wewe umeanza kuporomosha Matusiwew mbn unajibu kama tahira ivi ! unajiskia unavoongea?
Aibu sana kwa argument zako. Umebadili diaper lakiniNarudia kwani kudai ni ajabu na wamekuambia hawalipi
HatariBaada ya kampuni yake kupandisha bei ya dawa muhimu inaitwa Daraprim kwa zaidi ya 5,455% , alilalamikiwa kweli akajifanya mjanja. Baada ya hapo ilikumbana na kesi kadhaa, mwaka 2017 akahukumiwa kwenda gerezani pamoja na kulipa mamilioni ya dollars kama faini.
Kweli angekausha tuKuna mambo Elon musk aachane nayo yeye kuwa tajiri Mkubwa Dunia Haina maana kila kitu akiongelee