4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
kobaz umevua nn ? mbona umesahau kuwa bbc ni wazee wa propagandaNdio walipe sasa hii habari hata aljazeera na bbc wameirusha.
Walimwomba apeleke satelite zake pale ukraine mwanzoni mwa vita tu kama ambavyo kaombwa azipeleke Iran ili waandamanaji waendelee kupata internet.
Sasa kumbe anatoa msaada tu wakati yeye mfanyabiashara now either walipie huduma au asitishe, na ni njia ya mawasiliano wanyoitegemea na ndio maana mrusi kapeleka mtambo wa kujam mtandao wa hizo satelite