kobaz umevua nn ? mbona umesahau kuwa bbc ni wazee wa propagandaNdio walipe sasa hii habari hata aljazeera na bbc wameirusha.
Walimwomba apeleke satelite zake pale ukraine mwanzoni mwa vita tu kama ambavyo kaombwa azipeleke Iran ili waandamanaji waendelee kupata internet.
Sasa kumbe anatoa msaada tu wakati yeye mfanyabiashara now either walipie huduma au asitishe, na ni njia ya mawasiliano wanyoitegemea na ndio maana mrusi kapeleka mtambo wa kujam mtandao wa hizo satelite
ko ss hv mmehamia teamMusk sio ? vijora na kobaz zinawaharibu akiriNarudia tena kuna sehemu imeandikwa ni ajabu, hapa tunaandika alichosema na kilichotamgazwa kwenye media, sasa sijui unabisha kuwa hakusema hivyo, au hakupeleka satelite zake kuwapa mawasiliano ukraine, au unabisha kuwa anaonge uongo kuwa mpaka sasa hajalipwa.
Hebu nieleze hapa unabisha nini au ni kosa kuzungumzia musk alichosema juu ya hayo malipo?
sijaona sehem wanasema Musk hayupo sahihiTukiacha ushabiki Elon yupo sahihi,yeye ameshajitoa vya kutosha,pia yeye ni mfanyabiashara hafanyi kazi ya kabisa. Marekani hana budi abebe hizo gharama au asitishe huduma.
Mnapanic bure mbonakobaz umevua nn ? mbona umesahau kuwa bbc ni wazee wa propaganda
Hakuna team hapa, ila bwana Musk kasema anahitaji kulipwa ndivyo habari inavyosema. Sijui kwanini unapanic. Relax soma tena habari usipanic bwana mdogoko ss hv mmehamia teamMusk sio ? vijora na kobaz zinawaharibu akiri
Asili yake SAEllon Musk kazaliwa wapi Africa.
Wameshaanza kumuona kama Askari wa RussiaUkraine walivyo na tabu wamamuingiza musk katik list ya maadui zaoView attachment 2387369