Elon Musk aendelea kuishutumu Apple kuwa inatishia kuiondoa Twitter kwenye program zake

Elon Musk aendelea kuishutumu Apple kuwa inatishia kuiondoa Twitter kwenye program zake

hapana twitter inapatikana pia kupitia twitter.com
Ninaweza kuilimit cm yako isifungue page yeyote ile ya x au kufungua Facebook. Hapo uingie Google au u download an app bado hautoweza kufungua nilichokiblock kwenye cm yako. So hata ingepatikana kupitia jamii forums, developers wakiamua wanaweza kufanya lolote n yeyote asifanye chochote.

Tupo generation ya smart phones with high tech advancements, nothing is impossible in these freaking gadgets. Na you should change your mind, nyinyi ndionaoibiwa sana kimtandao😂😂
 
Mmmh! Siku zote ndani ya kichwa chako, haukosei ila turudi kwenye uhalisia kidogo. Iphone imepuga hatua kubwa sana kisoko. Ikiamua kuzuia matumizi ya twitter kwenye iPhone, roughly takriban watu mil 30 wataacha kuitumia twitter. Ingekuwa tecno sawa ila iPhone ni brand ya Simu inayotumiwa n mastaa wakubwa na watu mashughuli duniani kwa wastan wa 80%. Inamaana, watapozuia matumizi ya twitter on iPhone, basi karibia 40% ya watu wenye wadhifa, viongozi n public figures aidha wataacha au kupunguza matumizi ya twitter which means twitter itapoteza wadhifa wake.
Kwa hivyo, Mr Elo sio mjinga kiasi cha kutoujua mchango wa kampuni ya iPhone kwa twitter. Maana kiuhalisia iPhone inaweza kusurvive bila twitter, ila twitter bila uwepo wa iPhone users n iPhone COMPANY HAIWEZI KUSURVIVE, TWITTER ITAKUFILIA MBALI. Ndio maana Mr musk ameishia kulalamika kiustaarabu bila ya nyodo kama anavyoropokagwa anapokasirishwa n mtu mmoja mmoja
Musk Kama ana Akili akaiwahi INSTAGRAM ainunue........ tuone. Akitok huko ainunue Snaochat. Afunge hesabu
 
Ninaweza kuilimit cm yako isifungue page yeyote ile ya x au kufungua Facebook. Hapo uingie Google au u download an app bado hautoweza kufungua nilichokiblock kwenye cm yako. So hata ingepatikana kupitia jamii forums, developers wakiamua wanaweza kufanya lolote n yeyote asifanye chochote. Tupo generation ya smart phones with high tech advancements, nothing is impossible in these freaking gadgets. Na you should change your mind, nyinyi ndionaoibiwa sana kimtandao😂😂
Kufunga domain ni impossible.. Kwa kuwa kuna VPN.. ukijua jins network packet zinakuwa handled out utanielewa.
 
Tofauti yangu n yako, mimi niongelea katika mtazamo ya viatu vya mtanzania. Cwez kuiongelea Korea maana hawayaangalii maisha katika angle moja n wa tanzania.
kwanza watanzania hajakuchagua kuwa msemaji wao

pili watanzania wanaotumia i phone hawafiki hata laki moja
tena wanaotumia wengi ni i phone 7 kushuka chini
hizo bei zake ni kama infinix tu
 
Kufunga domain ni impossible.. Kwa kuwa kuna VPN.. ukijua jins network packet zinakuwa handled out utanielewa.
huyo dogo hana akili anasema hakuna kitu impossible
hapo hapo anaelezea possible za kumzuia mtu kutumia twitter web
nabaki nacheka sana
halafu wakifeli shule wanasema wamefelishwa
 
huyo dogo hana akili anasema hakuna kitu impossible
hapo hapo anaelezea possible za kumzuia mtu kutumia twitter web
nabaki nacheka sana
halafu wakifeli shule wanasema wamefelishwa
Sasa wewe mwenye akili si ndiyo sasa utuonyeshe uwezo wa akili zako kwa kudadavua hapa hayo maswala kwa kina? Au kuwa na akili ni kukebehi mtazamo wa mwingine?
 
Sasa wewe mwenye akili si ndiyo sasa utuonyeshe uwezo wa akili zako kwa kudadavua hapa hayo maswala kwa kina? Au kuwa na akili ni kukebehi mtazamo wa mwingine?
unataka udadavuliwe nini ?
au unataka kuongopewa kama mnavyopenda uongo ?
we unafikiri trump ni mjinga kulilia twitter kuliko sisi tulio matakoni mwa dunia huku ?

kichwa bila akili ni mzigo kwa miguu
 
Labda ckueleweka.
Nguvu ya bidhaa yeyote ipo kwenye soko lake. Iphone imefanikiwa kujitengenezea wadhifa ambao umeishawishi dunia kuwa hakuna simu yenye ubora n yenye uwezo wa kuzificha siri za mtumiaji kama iPhone, mfano, sote tunaamini kuiflash Samsung galaxy s10+ inawezekana ila tunaamini iPhone 10 haiwezekani kuflashika.

Pia, iPhone ndio brand pekee ambayo haisumbuliwi n viruses ndio tofauti n cm nyingine zoteee n computers kama sikosei. Hivi vitu vidogo vimeifanya jamii yetu kuamini kila mwenye pesa anastahiki Kutumia iPhone, ndio maana asilimia kubwa ya mastaa, viongozi n watu wenye nyadhifa mbali mbali wengi hutumia iPhone.

Ila Kwa upande wa pili, twitter haina mshiko kama iPhone. Nikimaanisha, Kati ya watu 10 Tanzania, utakuta aidha ni mmoja au hakuna kabisa anayeitumia twitter. Kingine, kila mtu anatamani akipata pesa aje Kutumia iPhone angalau mara moja tu ndani ya maisha yake, lakini hakuna yeyote mwenye ndoto ya Kuja kuitumia au kujiunga twitter sababu tuna watsup, fcbuk, imo, hii jamii forums, eskimi, wechat..nk, inamaana twitter ina perfect replacements ndani ya maisha yetu.

Je unadhani iPhone ina replacement yeyote duniani??? HAINA! Kwa hivyo, twitter ikitolewa kwenye iPhone, watu hawatoacha Kutumia iPhone zao bila kisa hazina twitter. Ila on the other hand, watu wataendelea kutumia iPhones bila ya twitter. Ukizingatia iPhone hutumiwa haswa n watu wakubwa, basi twitter ikiwapoteza watumiaji wa iPhone itaathirika pakubwa. So twitter kwa iPhone ni underdog maana twitter is just but a famous blog ila iPhone kwa sasa ni uti wa mgongo wa mawasiliano kwa zaidi ya 20% ya watumiaji wote wa cm kubwa duniani. So twitter bila iPhone inaweza kufa ila iPhone bila twitter maisha ndala tu kama kawaida
Mkuu, unataka kusema kuwa kama twitter itaondolewa kwenye programmes za i phone, watumiaji wa iphone watakuwa tayari kutumia mitandao ya facebook na instagram, hasa viongozi wakubwa wakubwa duniani kote? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninaweza kuilimit cm yako isifungue page yeyote ile ya x au kufungua Facebook. Hapo uingie Google au u download an app bado hautoweza kufungua nilichokiblock kwenye cm yako. So hata ingepatikana kupitia jamii forums, developers wakiamua wanaweza kufanya lolote n yeyote asifanye chochote.

Tupo generation ya smart phones with high tech advancements, nothing is impossible in these freaking gadgets. Na you should change your mind, nyinyi ndionaoibiwa sana kimtandao[emoji23][emoji23]
[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninaweza kuilimit cm yako isifungue page yeyote ile ya x au kufungua Facebook. Hapo uingie Google au u download an app bado hautoweza kufungua nilichokiblock kwenye cm yako. So hata ingepatikana kupitia jamii forums, developers wakiamua wanaweza kufanya lolote n yeyote asifanye chochote.

Tupo generation ya smart phones with high tech advancements, nothing is impossible in these freaking gadgets. Na you should change your mind, nyinyi ndionaoibiwa sana kimtandao😂😂
post ya mwanzo ya juu umetiririka vyema ila hapa ni pumba

kwamba developers wa Apple wapige pini domain ya twitter isipatikane kwa browser (ukiacha Safari )?
 
Ninaweza kuilimit cm yako isifungue page yeyote ile ya x au kufungua Facebook. Hapo uingie Google au u download an app bado hautoweza kufungua nilichokiblock kwenye cm yako. So hata ingepatikana kupitia jamii forums, developers wakiamua wanaweza kufanya lolote n yeyote asifanye chochote.

Tupo generation ya smart phones with high tech advancements, nothing is impossible in these freaking gadgets. Na you should change your mind, nyinyi ndionaoibiwa sana kimtandao😂😂

hakuna kitu kama icho, unapotumia mfano twitter.com unatumia safari hio ni another level of access, u can only block such access kama wewe ni mtoa huduma za internet na pia inategemea umeblock nn, you cant block it completely kwa sababu kama 1+1 =2 bas na 3-2 ni 1 na 2-1 =1 pia, hakuna njia ya kuthibiti twitter.com kwan teknolojia ya safari, chrome ama microsoft edge zmetengenezwa na watu wengine tafauti wewe unaichukua kama ilivo, hakuna sehem unaweza kuzima internet ya dunia nzima kwa sababu routes ni nyingi , request inaweza toka apaikaenda zanzibar kwanza then twitter ama ikatoka apa ikaenda mombasa kwanza you simply cant block it, if your so technical to block its ip ddress you can just do TUNNELING ama VPN can do the job vizuri
 
post ya mwanzo ya juu umetiririka vyema ila hapa ni pumba

kwamba developers wa Apple wapige pini domain ya twitter isipatikane kwa browser (ukiacha Safari )?
Apple wana mashauzi kinoma, vita ya Russian na Ukraine imekuchwa chanzo cha kuipiga hadi app ya Mt4.. Ambayo trader tuso husika na mgogoro ametuingiza nasi kwenye ugomvi.. Kuanzia siku hiyo nikapiga chini apple
 
huyu mwamba kuna mpango anasuka soon mtakuja kuona
 
Aaah! Utumwa huo, siku wameamka waanamua kutwanga ban kitu wote hamkipati na hakuna njia ya ku bypass.. Bora kutulia huku kwenye simu zinazo tumia android
jamaa wana complications za kijinga kinoma

ukitengeneza iOS app, mpaka ikubaliwe kule App Store, ni sawa na aliyeomba threesome ya watoto wakali wa UDBS na akubaliwe leo leo bila cash

procedures kibao kama unaomba uraia wa Marekani
 
jamaa wana complications za kijinga kinoma

ukitengeneza iOS app, mpaka ikubaliwe kule App Store, ni sawa na aliyeomba threesome ya watoto wakali wa UDBS na akubaliwe leo leo bila cash

procedures kibao kama unaomba uraia wa Marekani
😂😂😂😂 Kudunda au kupata hasara wakati una develope iOS ni kitu cha kawaida sana, unaweza jipinda kinoma alafu pwaaa, wakati android hawana ulasimu kama iOS
 
Back
Top Bottom