Elon Musk aendelea kuishutumu Apple kuwa inatishia kuiondoa Twitter kwenye program zake

Elon Musk aendelea kuishutumu Apple kuwa inatishia kuiondoa Twitter kwenye program zake

😂😂😂😂 Kudunda au kupata hasara wakati una develope iOS ni kitu cha kawaida sana, unaweza jipinda kinoma alafu pwaaa, wakati android hawana ulasimu kama iOS

MT4 imetumia nguvu(na akili) nyingi sana kwenye iOS kuliko kwa Android lakini jamaa wameichomoa kiulaini sana, ujinga ujinga tu, sina mzuka na iOS products hata kiduchu

ufungwa wa hali ya juu
 
jamaa wana complications za kijinga kinoma

ukitengeneza iOS app, mpaka ikubaliwe kule App Store, ni sawa na aliyeomba threesome ya watoto wakali wa UDBS na akubaliwe leo leo bila cash

procedures kibao kama unaomba uraia wa Marekani
Wewe jamaa muhuni sana, unapenda story za matusi
 
Back
Top Bottom