Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,522
- 3,255
Mradi wa Dege Eco umetushinda, ni kipi tunachokiweza?!Nchi yetu ninafikiri kuna laana fulani hivi. Mkuu saa nyingine nikifikiria watu wanavyoiba serikalini inasikitisha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mradi wa Dege Eco umetushinda, ni kipi tunachokiweza?!Nchi yetu ninafikiri kuna laana fulani hivi. Mkuu saa nyingine nikifikiria watu wanavyoiba serikalini inasikitisha sana.
Tatizo sio kumkomoa mark wa meta, usifikirie hapo tu dada.Huwa ninamuona ana utoto flani. Kuna kipindi bwana alisema anapumnzika kutweet. Kwani aliweza basi ?Mara pap karudi Twitter. Kainunua Twitter ili kumkomoa Mark wa Meta.
Hata JF pia inafanya cencorship.Tatizo sio kumkomoa mark wa meta, usifikirie hapo tu dada.
Elon mwenyewe alishasema, Tatizo kuu ni free speech. maana social media kubwa zote zilikuwa zinamilikiwa na left wing- woke society ambao wao walikuwa wanafanya cencorship ya hali ya juu ili kupush propaganda zao za LGBTQ, feminism, liberitarian, nk.
Mtu akitokea kupinga hizo ideas wanaban kote,
Tumeona imefanywa kwa andrew tate, kanye west na wengine wengi.
Mpaka celebrities wengi walikuwa wanakgopa hata kufungua mdomo.
Ukiachana na censorship walikuwa wanamanipulate zile algorithms, ile content wanayotaka itrend ndio inakuwa recommended zaidi ili kubrain wash watu na ile wasioipenda inakuwa diminished ili isionekane kabisa,
Thats why youtube zile channel zinazoongea ukweli hazipati views wengi, zinakuwa demonetized, zinakuwa cencored au banned kabisa...on top of that Twitter walikuwa na robots wengi ambao kwamfano imetokea mtu amepinga ushoga twitter, utashangaa comments nyingi zinamuattack na kuutetea kumbe ni marobots..hapo mtumiaji wa kawaida anakuwa manipulated kuamini kuwa kumbe watu wengi marekani ndio wanawaza hivyo na yeye anachotwa na mob psychology kumbe ni ya marobots....Hali ilikuwa tayari mbaya sana.
Hata kwenye siasa, wakiona mwanasiasa hawampendi wa republican wanamfanyia hivyo.
Elon katangaza kuinunua tukashangaa wale woke celebrities wanaloose followers kwa mamilioni halafu wale conservatives wanagain followers kwa wingi.
So it means hata followers wengi walikuwa feki na manipulated ili ionekane watu wengi wanasapoti LGBTQ woke society.
Ndomaana sikuizi youtube haina ladha kama ile ya before 2015 maana creators wengi wanakuwa cencored sana, wengi waliacha kutengeneza content kabisa kwasababu hiyo.
Ndiomaana hata hollywood skuizi haina ladha maana kila movie wanataka kupush hizo agenda za kifeminist.
Saivi twitter itapata wafuasi wengi sana, Na itakuwa sehemu pekee kwenye free speech ambapo mtu anaweza kusema chochote bila kuhofia kuwa banned.
itatengeneza competition na creators wengi watahamia huko...Elon akiwa mjanja anaweza kutengeneza streaming ya twitter ili kuireplace youtube maana watu walishachoka sasa.
Ndio tajiri mwenye mvuto kwa sasa na anaefatiliwa sanaHuwa ninamuona ana utoto flani. Kuna kipindi bwana alisema anapumnzika kutweet. Kwani aliweza basi ?Mara pap karudi Twitter. Kainunua Twitter ili kumkomoa Mark wa Meta.
Yeah hilo ndio tatizo la hizi platforms.Hata JF pia inafanya cencorship.
Zile comments ambazo hawazitaki wanazihamishia page nyingine.
Tz kilimo na manufacturing vitakupa ubilionea,na huhitaji kuwa smart Sana ugundue kituHauwezi kuufikia huo ubilionea maisha yako yote mkuu. Labda umuandae mwanao.
Awe smart sana kama hao kina Musk,
halafu aondoke Bongo akaishi nchi za Magharibi huko kisha aje na idea inayohitajika dunia nzima pamoja.
Wewe mwenye ukubwa mbona hakuna chochote cha maana ulicho achieve duniani.Huwa ninamuona ana utoto flani. Kuna kipindi bwana alisema anapumnzika kutweet. Kwani aliweza basi ?Mara pap karudi Twitter. Kainunua Twitter ili kumkomoa Mark wa Meta.
Tatizo sio kumkomoa mark wa meta, usifikirie hapo tu dada.
Elon mwenyewe alishasema, Tatizo kuu ni free speech. maana social media kubwa zote zilikuwa zinamilikiwa na left wing- woke society ambao wao walikuwa wanafanya cencorship ya hali ya juu ili kupush propaganda zao za LGBTQ, feminism, liberitarian, nk.
Mtu akitokea kupinga hizo ideas wanaban kote,
Tumeona imefanywa kwa andrew tate, kanye west na wengine wengi.
Mpaka celebrities wengi walikuwa wanakgopa hata kufungua mdomo.
Ukiachana na censorship walikuwa wanamanipulate zile algorithms, ile content wanayotaka itrend ndio inakuwa recommended zaidi ili kubrain wash watu na ile wasioipenda inakuwa diminished ili isionekane kabisa,
Thats why youtube zile channel zinazoongea ukweli hazipati views wengi, zinakuwa demonetized, zinakuwa cencored au banned kabisa...on top of that Twitter walikuwa na robots wengi ambao kwamfano imetokea mtu amepinga ushoga twitter, utashangaa comments nyingi zinamuattack na kuutetea kumbe ni marobots..hapo mtumiaji wa kawaida anakuwa manipulated kuamini kuwa kumbe watu wengi marekani ndio wanawaza hivyo na yeye anachotwa na mob psychology kumbe ni ya marobots....Hali ilikuwa tayari mbaya sana.
Hata kwenye siasa, wakiona mwanasiasa hawampendi wa republican wanamfanyia hivyo.
Elon katangaza kuinunua tukashangaa wale woke celebrities wanaloose followers kwa mamilioni halafu wale conservatives wanagain followers kwa wingi.
So it means hata followers wengi walikuwa feki na manipulated ili ionekane watu wengi wanasapoti LGBTQ woke society.
Ndomaana sikuizi youtube haina ladha kama ile ya before 2015 maana creators wengi wanakuwa cencored sana, wengi waliacha kutengeneza content kabisa kwasababu hiyo.
Ndiomaana hata hollywood skuizi haina ladha maana kila movie wanataka kupush hizo agenda za kifeminist.
Saivi twitter itapata wafuasi wengi sana, Na itakuwa sehemu pekee kwenye free speech ambapo mtu anaweza kusema chochote bila kuhofia kuwa banned.
itatengeneza competition na creators wengi watahamia huko...Elon akiwa mjanja anaweza kutengeneza streaming ya twitter ili kuireplace youtube maana watu walishachoka sasa.
Yah hata mimi halafu ana na ujanja ujanja jana baada ya kuinunua aliingia makao makuu ta Twitter akiwa amebeba sink sijui alikuwa anamaanisha anaenda kuondoa uchafu ambao ndio hao viongozi aliowatumbuaHuwa ninamuona ana utoto flani. Kuna kipindi bwana alisema anapumnzika kutweet. Kwani aliweza basi ?Mara pap karudi Twitter. Kainunua Twitter ili kumkomoa Mark wa Meta.
Kuna nahau au msemo wa kiingereza unasema: "let that sink in". Yeye aliufanyia mzaha huo msemo kihalisia.Yah hata mimi halafu ana na ujanja ujanja jana baada ya kuinunua aliingia makao makuu ta Twitter akiwa amebeba sink sijui alikuwa anamaanisha anaenda kuondoa uchafu ambao ndio hao viongozi aliowatumbua
Sio utoto bali jamaa anaishi anavyotaka hapretend na hana persona yuko real na ndio maana ana mashabiki na wafuasi wengi wapenda ukweli na uhalisia. Mwenyewe anasema "I don't care what you think, f*ck that. I will get it done."Huwa ninamuona ana utoto flani. Kuna kipindi bwana alisema anapumnzika kutweet. Kwani aliweza basi ?Mara pap karudi Twitter. Kainunua Twitter ili kumkomoa Mark wa Meta.
Kwa maekezo haya nimeelewa kwanini mwanzoni wakati anataka kununua alisema ifanyike tafiti kujua idadi ya akaunti za Maroboti sikuelewa kwanini, sijui hii ishu iliishia wapi?Tatizo sio kumkomoa mark wa meta, usifikirie hapo tu dada.
Elon mwenyewe alishasema, Tatizo kuu ni free speech. maana social media kubwa zote zilikuwa zinamilikiwa na left wing- woke society ambao wao walikuwa wanafanya cencorship ya hali ya juu ili kupush propaganda zao za LGBTQ, feminism, liberitarian, nk.
Mtu akitokea kupinga hizo ideas wanaban kote,
Tumeona imefanywa kwa andrew tate, kanye west na wengine wengi.
Mpaka celebrities wengi walikuwa wanakgopa hata kufungua mdomo.
Ukiachana na censorship walikuwa wanamanipulate zile algorithms, ile content wanayotaka itrend ndio inakuwa recommended zaidi ili kubrain wash watu na ile wasioipenda inakuwa diminished ili isionekane kabisa,
Thats why youtube zile channel zinazoongea ukweli hazipati views wengi, zinakuwa demonetized, zinakuwa cencored au banned kabisa...on top of that Twitter walikuwa na robots wengi ambao kwamfano imetokea mtu amepinga ushoga twitter, utashangaa comments nyingi zinamuattack na kuutetea kumbe ni marobots..hapo mtumiaji wa kawaida anakuwa manipulated kuamini kuwa kumbe watu wengi marekani ndio wanawaza hivyo na yeye anachotwa na mob psychology kumbe ni ya marobots....Hali ilikuwa tayari mbaya sana.
Hata kwenye siasa, wakiona mwanasiasa hawampendi wa republican wanamfanyia hivyo.
Elon katangaza kuinunua tukashangaa wale woke celebrities wanaloose followers kwa mamilioni halafu wale conservatives wanagain followers kwa wingi.
So it means hata followers wengi walikuwa feki na manipulated ili ionekane watu wengi wanasapoti LGBTQ woke society.
Ndomaana sikuizi youtube haina ladha kama ile ya before 2015 maana creators wengi wanakuwa cencored sana, wengi waliacha kutengeneza content kabisa kwasababu hiyo.
Ndiomaana hata hollywood skuizi haina ladha maana kila movie wanataka kupush hizo agenda za kifeminist.
Saivi twitter itapata wafuasi wengi sana, Na itakuwa sehemu pekee kwenye free speech ambapo mtu anaweza kusema chochote bila kuhofia kuwa banned.
itatengeneza competition na creators wengi watahamia huko...Elon akiwa mjanja anaweza kutengeneza streaming ya twitter ili kuireplace youtube maana watu walishachoka sasa.
Inshort elon kafanya sacrifice maana kauziwa mbuzi kwenye gunia nayeye alikuwa analijua hilo kabisa.Kwa maekezo haya nimeelewa kwanini mwanzoni wakati anataka kununua alisema ifanyike tafiti kujua idadi ya akaunti za Maroboti sikuelewa kwanini, sijui hii ishu iliishia wapi?
Tatizo akili na maisha yenu wabongo yamejaa kukomoana ndio maana unafikir Elon kaamua kuchoma hiz $44bil kumkomoa Mark..unajitambua kwel wewe???Huwa ninamuona ana utoto flani. Kuna kipindi bwana alisema anapumnzika kutweet. Kwani aliweza basi ?Mara pap karudi Twitter. Kainunua Twitter ili kumkomoa Mark wa Meta.
Shkamoo mkuu.Tatizo sio kumkomoa mark wa meta, usifikirie hapo tu dada.
Elon mwenyewe alishasema, Tatizo kuu ni free speech. maana social media kubwa zote zilikuwa zinamilikiwa na left wing- woke society ambao wao walikuwa wanafanya cencorship ya hali ya juu ili kupush propaganda zao za LGBTQ, feminism, liberitarian, nk.
Mtu akitokea kupinga hizo ideas wanaban kote,
Tumeona imefanywa kwa andrew tate, kanye west na wengine wengi.
Mpaka celebrities wengi walikuwa wanakgopa hata kufungua mdomo.
Ukiachana na censorship walikuwa wanamanipulate zile algorithms, ile content wanayotaka itrend ndio inakuwa recommended zaidi ili kubrain wash watu na ile wasioipenda inakuwa diminished ili isionekane kabisa,
Thats why youtube zile channel zinazoongea ukweli hazipati views wengi, zinakuwa demonetized, zinakuwa cencored au banned kabisa...on top of that Twitter walikuwa na robots wengi ambao kwamfano imetokea mtu amepinga ushoga twitter, utashangaa comments nyingi zinamuattack na kuutetea kumbe ni marobots..hapo mtumiaji wa kawaida anakuwa manipulated kuamini kuwa kumbe watu wengi marekani ndio wanawaza hivyo na yeye anachotwa na mob psychology kumbe ni ya marobots....Hali ilikuwa tayari mbaya sana.
Hata kwenye siasa, wakiona mwanasiasa hawampendi wa republican wanamfanyia hivyo.
Elon katangaza kuinunua tukashangaa wale woke celebrities wanaloose followers kwa mamilioni halafu wale conservatives wanagain followers kwa wingi.
So it means hata followers wengi walikuwa feki na manipulated ili ionekane watu wengi wanasapoti LGBTQ woke society.
Ndomaana sikuizi youtube haina ladha kama ile ya before 2015 maana creators wengi wanakuwa cencored sana, wengi waliacha kutengeneza content kabisa kwasababu hiyo.
Ndiomaana hata hollywood skuizi haina ladha maana kila movie wanataka kupush hizo agenda za kifeminist.
Saivi twitter itapata wafuasi wengi sana, Na itakuwa sehemu pekee kwenye free speech ambapo mtu anaweza kusema chochote bila kuhofia kuwa banned.
itatengeneza competition na creators wengi watahamia huko...Elon akiwa mjanja anaweza kutengeneza streaming ya twitter ili kuireplace youtube maana watu walishachoka sasa.