Elon Musk amezindua TESLA Cybercab na Robovan: Gari za kukodi zisizo na Dereva!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Kwenye Tesla event ya tar 10 mwezi October California iliyopewa jina la “We Robot”, Elon Musk, CEO wa Tesla, amezindua magari ya kukodi yanayojiendesha yenyewe, Cybercab na Robovan.

Cybercab ni gari dogo yenye gull-wing door isiokuja na steering wheel wala pedal za breki wala mafuta, itakayofanya kazi ya robotaxi na itauzwa kwa chini ya $30,000 tu.

Gharama ya kukodi ni cent 20 kwa kila 1.6 km tu.

Elon pia akazindua van inayoitwa Robovan ambayo inaweza kubeba hadi watu 20, ambayo gharama zake itakua cent 5-10 kwa kila kilometa 1.6 hivi.
 
Hii wachina wanazo long time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…