Elon Musk amezindua TESLA Cybercab na Robovan: Gari za kukodi zisizo na Dereva!

Elon Musk amezindua TESLA Cybercab na Robovan: Gari za kukodi zisizo na Dereva!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Kwenye Tesla event ya tar 10 mwezi October California iliyopewa jina la “We Robot”, Elon Musk, CEO wa Tesla, amezindua magari ya kukodi yanayojiendesha yenyewe, Cybercab na Robovan.
IMG_0414.jpeg

Cybercab ni gari dogo yenye gull-wing door isiokuja na steering wheel wala pedal za breki wala mafuta, itakayofanya kazi ya robotaxi na itauzwa kwa chini ya $30,000 tu.
IMG_0415.png
IMG_0416.png

Gharama ya kukodi ni cent 20 kwa kila 1.6 km tu.
IMG_0412.jpeg
IMG_0413.jpeg

Elon pia akazindua van inayoitwa Robovan ambayo inaweza kubeba hadi watu 20, ambayo gharama zake itakua cent 5-10 kwa kila kilometa 1.6 hivi.
 
Kwenye Tesla event ya tar 10 mwezi October California iliyopewa jina la “We Robot”, Elon Musk, CEO wa Tesla, amezindua magari ya kukodi yanayojiendesha yenyewe, Cybercab na Robovan.
View attachment 3121468
Cybercab ni gari dogo yenye gull-wing door isiokuja na steering wheel wala pedal za breki wala mafuta, itakayofanya kazi ya robotaxi na itauzwa kwa chini ya $30,000 tu.
View attachment 3121469View attachment 3121470
Gharama ya kukodi ni cent 20 kwa kila 1.6 km tu.
View attachment 3121471View attachment 3121472
Elon pia akazindua van inayoitwa Robovan ambayo inaweza kubeba hadi watu 20, ambayo gharama zake itakua cent 5-10 kwa kila kilometa 1.6 hivi.
Hii wachina wanazo long time
 
Back
Top Bottom