Elon Musk anakaa tu na wanawake haoi wewe kapuku unapambana

Elon Musk anakaa tu na wanawake haoi wewe kapuku unapambana

According to title.
Kwahiyo kwakuwa Elon haoi, na wewe usioe?? Umeshikiwa akili au?
Mbona babu yako kafa na wewe hujamuiga ufe pia?

BTW ndoa ni kwa wenye akili timamu
Kila sku Atoto anawakumbusha.
Wanabaki kutupigia kelele tu humu badala wakatafute pesa. Akili za kuoa hawana hata za hela!! Kwani wamemkosea nini kikubwa hivyo Mungu!!!
 
According to title.
Kwahiyo kwakuwa Elon haoi, na wewe usioe?? Umeshikiwa akili au?
Mbona babu yako kafa na wewe hujamuiga ufe pia?

BTW ndoa ni kwa wenye akili timamu
Kila sku Atoto anawakumbusha.
Unamaanisha Yesu hakuwa na akili timamu?
 
Mie navyoona waliooa wake zao wanashobokea watu wengine ntaendelea na utaratibu wangu wa kuchakata mbususu tu kwa kweli. Imagine mke wa mtu anakuomba hela ya lotion unamwambia si una mume anakwambia hayo hayakuhusu we na mie tutamalizana kikubwa.
Wazazi wako hawakuoana?
 
Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10.

Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu masingo maza wa kutosha. Kwa mwaka piga mimba hata 3 sio unakaa unasubiri mtoto kila baada ya miaka mi3.
Kwa stage alio fikia elon hawezi kuoa, kwa sababu anaogopa mtafaruko utakao tokea endapo kitaumana. Refer Jeff bezos.

Same na kwa Diamond hapa kwetu, akimuoa zuchu officially, after time kikiumana mahakama inaanza kusema mgawie share za hapa na pale, thus why hawa watu hawatakuja kuoa kirahisi bila kurogwa.

Sisi tunaoanza from zero na wapenzi wetu ndo tunaoa, we have nothing to loose. [emoji16][emoji16]
 
Sasa Elon Musk ana space x,yupo busy awaze maproject yake,sasa wewe huna hata kampuni ya toothpicks unataka kumuiga utaweza?
 
1709182793320.png
... SEEN!
 
Maskini ndo wanaoa zaidi, na kuzaa watoto kama uzao wa panya..
Kuna shida gani kuzaa sana
Nxhi zinazoongoza kuwa na mabilionea wengi ni zenye watu wengi yaani wateja wengi nchini mwao ukibana uzazi Azam hawezi kuwa bilinear wala chapati watakuwa wachache

Idadi kubwa ya watu ndio hutajirisha
 
Back
Top Bottom