Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awe mara ngap?.... kwa speed ya huyu jamaa (Musk); soon anaenda kuwa trillionaire wa kwanza duniani.
Awe mara ngap?
Jamaa Ana mkwanja mbwa haruki, anaye mfuata kwa utajiri Ana nusu ya utajiri wake
Bado hajawa trillionaire , bado yuko kwenye billions
Kitu ambacho ndo kimebarikiwa zaidiWazungu pamoja na ushetani wao lkn Kwenye suala la kutoa sadaka wanaongoza..... ndiyo maana wanabarikiwa Tu
Kumbe ELON bado ana shughuli pevuYule ustaadh alikua na utajiri wa 400B usd, mpe heshima yake...
Daaa hili tatizo toka mdogo haliishi bora Elon kaingilia namuaminia sana jamani
WFP watoe mpango kazi wa kumaliza njaa na ukieleweka Beberu anafungua wallet.Bilionea Elon Musk amewataka wanaoshughulika na Mradi wa Chakula Duniani (WFP) kuonesha namna dola Bilioni 6 itakavyoondoa tatizo la njaa duniani
Mkurugenzi wa WFP, David Beasley aliomba fedha hiyo kutoka kwa matajiri hao akisema itatosha kuondoa tatizo la njaa duniani
Musk ana utajiri wa Dola bilioni 311, ameahidi kutoa hela hiyo ikiwa mpango utakuwa wazi wa namna zitakavyotumika
===
Elon Musk, the world’s richest man, challenged a United Nations official’s claim that just a small percentage of his wealth could help solve world hunger.
Musk was responding to comments by David Beasley, director of the UN’s World Food Programme, who repeated a call last week following an earlier tweet this month asking billionaires like Musk to “step up now, on a one-time basis.”
Beasley specifically called for action from Musk and Amazon.com Inc. co-founder Jeff Bezos, the two men atop the Bloomberg Billionaires Index. Just $6 billion could keep 42 million people from dying, Beasley said.
If the World Food Programme, using transparent and open accounting, “can describe on this Twitter thread exactly how $6B will solve world hunger, I will sell Tesla stock right now and do it,” Musk wrote in a Twitter post.
Musk is CEO of the electric-vehicle company, which last week joined the handful of companies valued at more than $1 trillion.
The $6 billion amount would be just a small fraction of Musk’s current net worth of $311 billion -- and less than the $9.3 billion his wealth increased on Oct. 29 alone, according to the billionaires index
Waarabu ni kununua silaha tuWazungu pamoja na ushetani wao lkn Kwenye suala la kutoa sadaka wanaongoza..... ndiyo maana wanabarikiwa Tu
TusubiriKama wataseema kiasi gani kitamaliza tatizo la niaa na kivipi atauza share zake
Tusubiri tuone
Halafu waje wajinga wavivu wa kufikiri waseme huo utajiri wametoa Afrika wakati ni self made riches from self sourceTajiri wa dunia Elon Musk ameivunja rekodi ya kuwa Mtu wa kwanza katika historia Duniani kuwahi kuvuka utajiri wa USD Bilioni 300, hii ni baada ya utajiri wake kuongezeka kwa USD Bilioni 10 baada ya hisa za Tesla kupanda.
Utajiri wa Musk umefikia USD Bilioni 302 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bloomberg Billionaires' Index, hisa za Tesla zilipanda baada ya kutangaza dili la magari mapya 100,000 na kampuni ya kukopesha Magari ya Hertz.
Kwa utajiri huo Musk anamzidi zaidi ya USD Bilioni 100 Tajiri wa pili wa dunia Jeff Bezos ambaye ana utajiri wa USD Bilioni 199, sio tu kamzidi Bezos bali kazizidi Nchi nyingi duniani kwenye pato la Taifa la mwaka.
View attachment 1994224