Elon Musk ataka WFP waeleze namna watakavyopambana na njaa kwa Dola Bilioni 6

Elon Musk ataka WFP waeleze namna watakavyopambana na njaa kwa Dola Bilioni 6

Tajiri wa dunia Elon Musk ameivunja rekodi ya kuwa Mtu wa kwanza katika historia Duniani kuwahi kuvuka utajiri wa USD Bilioni 300, hii ni baada ya utajiri wake kuongezeka kwa USD Bilioni 10 baada ya hisa za Tesla kupanda...
Jamaa na mbado ule mpango wake wa starlink mobile
 
Waarabu a wazungu wote hawakuju wewe..

kingine huyu jamaa ni atheist, hivyo usilete mtazamo na ujinga wa dini kwenye mambo yanayohitaji utu na akili.
Staki kujua kama jamaaa ana dini au hana nimejikita kile ameandika nikalinganisha na upande wapili. Kabla hujaninukuu soma niliyemnukuu kasemaje uwe na uelewa swala la kujua kama jamaa ni atheist linanihusu nini mimi?
 
Maisha life span ni kama tumpe 100yrs badala ya kujiachia azitafune utakuta halali anahangaika ku-maintain position ya No:1
Huyu sio muafrika mmoja asiye na akili na upeo mfupi na kufikiria leo tu kwamba apate pesa alafu aanze kuzitumia bila sababu. Bali kuna mambo ya msingi ya kufanya zaidi ya kutumia pesa pekee, au maisha yatakuwa hayana maana.

Umasikini unafanya watu wasifikirie mambo ya msingi zaidi ya chakula. Huyu jamaa alishatoka kwenye kuishi ili kutafuta chakula ili asife, na wakati wewe unafikiria kula maisha sababu sasa hivi ni masikini.

Yeye anataka kufanya human specie iwe multiplanetary sababu dunia haitakuwepo milele, hivyo ni vizuri kuangalia another planet at least mars.

hivyo sasa hivi anadevelop starship kwa ajili ya hiyo purpose. Anataka kusolve tatizo la climate change kabla dunia haijabanikwa.

Anatengeneza magari ya umeme sababu anataka kupunguza matumizi ya fossil fuels ili kuprevent uharibifu wa atmosphere ya dunia ambayo ndio maisha yetu.

You see kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya zaidi ya kula na kumaintain nafasi ya utajiri.

Jamaa sio an ordinary person ni extraordinary hivyo ni ngumu kufiria kama wewe.
 
Kuna baraka nyingi sana kwenye kutoa sadaka.
Hapa sadaka simaanishi kanisani wandugu...
Mkuu jamaa ni atheist means hamuamini mungu, sasa inakuwaje mungu ambariki mtu asiyemuamini na kumuacha anayemuani? basi huyo mungu hana akili.

Na mnasema mtu asiyemuani mungu ni mpumbavu, basi kwa definition yenu wafuasi wa dini huyu jamaa ni mpumbavu.
 
Acha kabisa katika mambo haya kishetani kipengele cha kwanza kabisa katika kusaini mkataba wa kishetani ni lazima umsaidie msaada mtu yeyote mwenye kuhitaji aliye karibu nawe,pili ukarimu kwa kila mtu
Huyu jamaa hana hata chembe ya ukarimu ni mshenzi except ni ana pesa. au nenda kwenye account yake ya twitter uone.

Fikra za ajabu sana hizi.
 
Huyu jamaa hana hata chembe ya ukarimu ni mshenzi except ni ana pesa. au nenda kwenye account yake ya twitter uone.

Fikra za ajabu sana hizi.
Mshenzi? Hebu toa ushahidi kuwa ni mshenzi kwa statement hata 1 ya kishenzi aliyowahi kuitamka. Usitake watu wengine wamuone mshenzi kwa sababu wewe umemuona mshenzi, ni ushamba.
 
Tatizo jamaa walimaliza njaa hilo shirika linabidi life maana litakosa kazi😅😅😅
Njaa imekuwepo tangu binadamu wameanza kujitambua, hivyo kumaliza tatizo la millennial kwa 6 Billion probability ni 0%.
 
Ushetani gani mkuu huo kama wao ndio wamemumbua shetani?
Huyu jamaa ni atheist means haamini mungu bali anaamini akili yake, sasa mungu anayembariki mtu asiyemuamini na kuacha kumbariki anayemuamini bila shaka hana akili.
Dini bado inawatafuna waafrika.

Alafu sio wote ni wanafanya ushenzi huyu jamaa ni mtu safi kabisa.
Aisee kwa mbaliiiiii kama upo sahihi vileeee
 
Kwa hiyo huyu jamaa anaweza akanunua nchi na raia wake wote si ndio...?
... kwa Tanzania of 60,000,000 population kila mtanzania anweza kununuliw kwa TZS. 11,500,000/=. Kama hiyo ndio thamni ya mtanzania basi anaweza kuwanunua watanzania wote kwa bei hiyo.
 
Mshenzi? Hebu toa ushahidi kuwa ni mshenzi kwa statement hata 1 ya kishenzi aliyowahi kuitamka. Usitake watu wengine wamuone mshenzi kwa sababu wewe umemuona mshenzi, ni ushamba.
Mkuu next time usijaribu kupinga kitu ambacho huna uhakika nacho, bila shaka utakuwa mgeni kwenye haya mambo jaribu kufuatilia account yake ya twitter sababu huyu genius hayupo instagram wala facebook.

Huyu jamaa aliwahi kumuita british cave diver "pedo guy", now pedo inamaanisha pedophile kwa kiswahili ni mtu anayebaka watoto na hii kesi ilienda mpaka mahakamani sababu ni defamation ila kwa pesa na ushawishi wake jamaa ameshinda.
sasa kama hii statement sio ushenzi basi utakuwa na definition yako ya neno "ushenzi".

Pia amemock bill gates' company kwa kuiita macrohard>>microsoft
Pia ammock grimes kwa kuandika “Pronouns suck"

Pia kuna jamaa alimpongeza kwamba anafanya mambo makubwa na kuendelea kuonyesha ubabe wa america kwenye maswala ya technology..
Then yeye akajibu "I'm from south africa, you DumbAss".

Huyu jamaa hajali wewe ni nani yeye atakujibu anavotaka na humfanyi chochote, anaishi anavyotaka, anafanya anachotaka.
jamaa ni mshenzi mwenye akili, pesa na ushawishi. jamaa ana confidence, resilience, relentless pia ni ferocious.
He doesn't give two shits about what you say or what you think. yeye atasaidia watu au hatosaidia watu na wala hajali kama unamchukulia ni mtu mwema au ni mshenzi.

Huyu jamaa ndio anatakiwa awe role model wako nashangaa utakuta mtu anasema role model wake ni diamond mimi najiliza ni yule mkata viuno?
nabaki nashangaa like what the hell is wrong with you man?

sasa kama hizi statements sio ushenzi basi utakuwa na definition yako ya neno "ushenzi".
Now niambie kati ya mimi na wewe nani mshamba, Karibu duniani sasa au niseme kwenye Internet.
 
Labda wamueleze jinsi watakavyoila
Ila na yeye si angegawa tu mwenyewe kwa mtu mmoja mmoja
 
Njaa imekuwepo tangu binadamu wameanza kujitambua, hivyo kumaliza tatizo la millennial kwa 6 Billion probability ni 0%.
Kwa hiyo tuseme hiyo ni lugha ya kupigia magoti jamaa afungue wallet?
 
Kwa hiyo tuseme hiyo ni lugha ya kupigia magoti jamaa afungue wallet?
Definitely, pia kumjaribu elon musk ni kucheza na simba bila shaka yeye ndio atakuwa anawajaribu wao.
Na kitu kama hicho kuwezekana sio rahisi, hivyo jamaa anawechezea kama game sababu anajua hicho kitu hakiwezekani.
 
Back
Top Bottom