Elon Musk ataka WFP waeleze namna watakavyopambana na njaa kwa Dola Bilioni 6

Elon Musk ataka WFP waeleze namna watakavyopambana na njaa kwa Dola Bilioni 6

Maisha ni hatua... Hakuna aijuaye kesho....

Congrats to all better men out there.. Who finds themselves and live happily with purpose and focus after their findings.
20210426_071922.jpg
 
Hahaha

Aise mm mhuni tu hapa ila ukiniambia

Hela kiasi fulani ukatachopewa utaifanyia nini

Kwenye kilimo nk

Ntatitiririka na hapo ndipo tatizo la umachinga

Bongo litakwisha

Ova

Wapo waliojaaliwa kuomba

Yaani asiulizwe unataka nini [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbuka mmoja wa maraisi alienda Oman kwa Qaboos enzi zile
Yaani alivyokuwa anashikashika makochi na kuangalia chandeliers utajua tu anaonyesha njaa
Lakini alirudi na msaada
 
Wapo waliojaaliwa kuomba

Yaani asiulizwe unataka nini [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbuka mmoja wa maraisi alienda Oman kwa Qaboos enzi zile
Yaani alivyokuwa anashikashika makochi na kuangalia chandeliers utajua tu anaonyesha njaa
Lakini alirudi na msaada
Hahahaha

Ova
 
Hivi ule mpango wake wa kuhama dunia ndionakienda kule ataishi milele?
 
Huna pesa hivyo isingeonakana kama yenye maana. Unajua kuna muda muda hata maprofesa uwa wanazungumza mambo ya kawaida lakini kwakuwa kaongea profesa yanaonekana ya maana.
Na lengo langu ni hilo nione km je ingefunguliwa mijadala maeneo tofaut kujadil hilo swala
 
Kutoa sadaka tu ni ibada, ina baraka zake, haijalishi ni mkristo, muislamu ama asiyemwamini Mungu.
Mkuu jamaa ni atheist means hamuamini mungu, sasa inakuwaje mungu ambariki mtu asiyemuamini na kumuacha anayemuani? basi huyo mungu hana akili.

Na mnasema mtu asiyemuani mungu ni mpumbavu, basi kwa definition yenu wafuasi wa dini huyu jamaa ni mpumb

Mkuu jamaa ni atheist means hamuamini mungu, sasa inakuwaje mungu ambariki mtu asiyemuamini na kumuacha anayemuani? basi huyo mungu hana akili.

Na mnasema mtu asiyemuani mungu ni mpumbavu, basi kwa definition yenu wafuasi wa dini huyu jamaa ni mpumbavu.
 
Mkuu next time usijaribu kupinga kitu ambacho huna uhakika nacho, bila shaka utakuwa mgeni kwenye haya mambo jaribu kufuatilia account yake ya twitter sababu huyu genius hayupo instagram wala facebook.

Huyu jamaa aliwahi kumuita british cave diver "pedo guy", now pedo inamaanisha pedophile kwa kiswahili ni mtu anayebaka watoto na hii kesi ilienda mpaka mahakamani sababu ni defamation ila kwa pesa na ushawishi wake jamaa ameshinda.
sasa kama hii statement sio ushenzi basi utakuwa na definition yako ya neno "ushenzi".

Pia amemock bill gates' company kwa kuiita macrohard>>microsoft
Pia ammock grimes kwa kuandika “Pronouns suck"

Pia kuna jamaa alimpongeza kwamba anafanya mambo makubwa na kuendelea kuonyesha ubabe wa america kwenye maswala ya technology..
Then yeye akajibu "I'm from south africa, you DumbAss".

Huyu jamaa hajali wewe ni nani yeye atakujibu anavotaka na humfanyi chochote, anaishi anavyotaka, anafanya anachotaka.
jamaa ni mshenzi mwenye akili, pesa na ushawishi. jamaa ana confidence, resilience, relentless pia ni ferocious.
He doesn't give two shits about what you say or what you think. yeye atasaidia watu au hatosaidia watu na wala hajali kama unamchukulia ni mtu mwema au ni mshenzi.

Huyu jamaa ndio anatakiwa awe role model wako nashangaa utakuta mtu anasema role model wake ni diamond mimi najiliza ni yule mkata viuno?
nabaki nashangaa like what the hell is wrong with you man?

sasa kama hizi statements sio ushenzi basi utakuwa na definition yako ya neno "ushenzi".
Now niambie kati ya mimi na wewe nani mshamba, Karibu duniani sasa au niseme kwenye Internet.
Mkuu tutafute hela acha kupoteza muda kufuatilia watu kama Elon kikubwa tutafute hela
 
Watajibu kama Katerephone wetu alisema Pesa za Maendeleo ni 3 billin na za matumizi ya kawaida ni billion 90...

world food nao wanaweza jibu hivyo hivyo majambazi wale
 
WFP wakitoa majibu mtaniamsha Mimi nalala saizi
 
Kwahyo rekodi ya Mansa Mussa imevunjwa?
Hapo bado sana maana alikadiriwa kuwa na zaidi ya dola bilioni 500 na mali zake nyingi kama akiba ya dhahabu huko nchini Mali na maelfu ya mifugo haikupigiwa hesabu. Aidha, thamani ya pesa za sasa ni ngumu sana kuithamanisha na ya enzi ya Mansah Mussa. Ya sasa haina nguvu kama ya kale.

Na tukumbuke msafara wake wa magari ya wakati huo (chariots) hakuna anayeweza kumkaribia, labda kiongozi au Sultani wa Brunei. Achilia mbali bodyguards elfu 12!
 
Tunazungumzia matirionea wa "Forbes", yaani ulimwenguni ambapo sarafu inayotumika kiulimwengu ni US$.
Kwani hizi pesa kwa kwetu (za madafu) sio trionea

Kule ndo bado ajawahi trionea huku kwetu tayari ni trionea (kwa fedha zatu)
 
Mkuu jamaa ni atheist means hamuamini mungu, sasa inakuwaje mungu ambariki mtu asiyemuamini na kumuacha anayemuani? basi huyo mungu hana akili.

Na mnasema mtu asiyemuani mungu ni mpumbavu, basi kwa definition yenu wafuasi wa dini huyu jamaa ni mpumbavu.
kwani ni wapi biblia imesema mpumbavu hawezi pata Mali?.
Bible imesema wakana Mungu ni wapumbavu haijasema wakana Mungu hawata kuwa na Mali.
Mme wa Abigaili alikuwa na Mali nyingi ila Abigaili huyo huyo alimuita Mme wake mpumbavu mbele ya Daud.

Alafu, mbona inshu ya jamaa kuwa Atheist umeikomalia sana? kila ikikoment"jamaa ni atheist!! ".
itakuwa na wewe ni atheist, tuambie, unanini?
 
Gari zikipata tu shoti ya umeme,utasikia hisa zimeshukua kwa Asilimia 50 na sasa Ni Tajiri wa 7 Duniani kwa utajiri wa $150
Utajiri wake upo kwenye asset/ share....
ambazo zina fluctuate.....kila siku
 
.... kwa speed ya huyu jamaa (Musk); soon anaenda kuwa trillionaire wa kwanza duniani.
Jamaa ana mambo mengi sana mara Space X mara gari za umeme mara boring company mara artificial intelligence mara degocoin.......
sasa mm najiuliza na kazi yangu ya ukarani
mshahara mmoja.........
Hv naishi ulimwengu mmoja na huyu jamaa!!?
 
Back
Top Bottom