Elon Musk ataka WFP waeleze namna watakavyopambana na njaa kwa Dola Bilioni 6

Elon Musk ataka WFP waeleze namna watakavyopambana na njaa kwa Dola Bilioni 6

Rais naona ataomba za kupandia miti
Hahaha

Aise mm mhuni tu hapa ila ukiniambia

Hela kiasi fulani ukatachopewa utaifanyia nini

Kwenye kilimo nk

Ntatitiririka na hapo ndipo tatizo la umachinga

Bongo litakwisha

Ova
 
Wazungu pamoja na ushetani wao lkn Kwenye suala la kutoa sadaka wanaongoza, ndiyo maana wanabarikiwa Tu
Kuna baraka nyingi sana kwenye kutoa sadaka.

Hapa sadaka simaanishi kanisani wandugu.

Somesha watoto wanaotoka familia masikini na zisizo na uwezo.

Lipia matibabu ya wagonjwa wasio na uwezo.

Tembelea nyumba za wazee/walemavu/yatima/watoto waliookwa mitaani na kusaidia katika changamoto zao.

Saidia yatima.

Anzisha viwanda/biashara na kuajiri pamoja na kuwapa maslahi bora wafanyakazi wako.
 
Daaa hili tatizo toka mdogo haliishi bora Elon kaingilia namuaminia sana jamani
Mkuu Dinazarde , mimi kila nikifikiria kuhusu njaa (hasa kwa Tanzania), na niijuavyo hii ardhi yetu na hali ya hewa ya nchi yetu, napata shida kuamini kama kweli tunakuwa tunapata viongozi au mfano wa viongozi.

Inafikirisha na inasikitisha sana.
 
Wazungu pamoja na ushetani wao lkn Kwenye suala la kutoa sadaka wanaongoza, ndiyo maana wanabarikiwa Tu
Ushetani gani mkuu huo kama wao ndio wamemumbua shetani?

Huyu jamaa ni atheist means haamini mungu bali anaamini akili yake, sasa mungu anayembariki mtu asiyemuamini na kuacha kumbariki anayemuamini bila shaka hana akili.

Dini bado inawatafuna waafrika.

Alafu sio wote ni wanafanya ushenzi huyu jamaa ni mtu safi kabisa.
 
Akifikisha thamani ya US$ tirioni 1 ndiyo ataitwa tirionea.
Kwa sasa bado ni bilionea kwani thamani yake ni US$ 300 bilioni.
Kwani hizi pesa kwa kwetu (za madafu) sio trionea

Kule ndo bado ajawahi trionea huku kwetu tayari ni trionea (kwa fedha zatu)
 
Musk kasema ikiwa shirika la kupambana na njaa linataka msaada wa 6B ili kumaliza tatizo la njaa, basi waeleze jinsi wanavyoweza kulimaliza tatizo hilo, kuwapa 6B sio deal sana kwake!
Tatizo jamaa walimaliza njaa hilo shirika linabidi life maana litakosa kazi😅😅😅
 
Waarabu sasa, yaani wanautajiri usio na jasho lakini wame-mute kama hawajui Afgans, Syria, na zingine kama wanamajanga!
Waarabu a wazungu wote hawakuju wewe.

Kingine huyu jamaa ni atheist, hivyo usilete mtazamo na ujinga wa dini kwenye mambo yanayohitaji utu na akili.
 
Wazungu pamoja na ushetani wao lkn Kwenye suala la kutoa sadaka wanaongoza..... ndiyo maana wanabarikiwa Tu
Acha kabisa katika mambo haya kishetani kipengele cha kwanza kabisa katika kusaini mkataba wa kishetani ni lazima umsaidie msaada mtu yeyote mwenye kuhitaji aliye karibu nawe,pili ukarimu kwa kila mtu
 
Mkuu Dinazarde , mimi kila nikifikiria kuhusu njaa (hasa kwa Tanzania), na niijuavyo hii ardhi yetu na hali ya hewa ya nchi yetu, napata shida kuamini kama kweli tunakuwa tunapata viongozi au mfano wa viongozi.
Inafikirisha na inasikitisha sana.
Viongozi ndio shida ardhi ipo ya kutosha ilitakiwa mashamba yalimwe chakula kiwe bei ndogo kila mtu amudu
 
Back
Top Bottom