Elon Musk: Hivi karibu ukweli utajulikana kwamba Covid-19 ilikua ni utapeli

Mnaposema COVID 19 ilikuwa utapeli siwaelew, Kwan hamkushuhudia watu walivyokuwa wanapukutika? Binafsi ilinipata na kunitesa sana mpaka muda huu Huwa najiuliza kwann Niko hai?
 
Mnaposema COVID 19 ilikuwa utapeli siwaelew, Kwan hamkushuhudia watu walivyokuwa wanapukutika? Binafsi ilinipata na kunitesa sana mpaka muda huu Huwa najiuliza kwann Niko hai?
Utapeli unakuja kama ifuatavyo,

Unatengezwa UGONJWA wa mafua na watu wa Giza ktk maabara zao, unaambukizwa Kwa watu makusudi,

Halafu wanatoka kuyaambia mataifa yakopeshwe CHANJO na wakae ndani bila kufanya KAZI.

Malengo ya kuwafungia watu ndani wasifanye KAZI ni kutafuta sababu ya kuutangaza kuwa Dunia Uchumi umefilisika.

Nia ilikuwa, baada ya watu kupata taabu ya CHAKULA nk,

Wangeamua kuukwamua Uchumi wa Dunia, mataifa yote yasipoteze muda, yashurutishwe kukubali,

IBADA zote zifanyike siku moja watayochagua,

Dini zote ziungane iwe dini moja, Sarafu zote ziunganishwe na kuwa moja,

Watu wote waendeshwe na AMRI moja Dunia nzima kupitia mark iliyo ndani ya CHANJO,

Sie tulistuka mapema na Magu akapenyezewa taarifa.

Wamefail Kwa muda bt wanajipanga kivungine.

Na hiyo ndo sababu kuu hatunaye Magu wetu, kuwabishia wakubwa.

Tusubiri.
 
Huu mjadara unakuwa mrefu na wanaozidi kuudhika ni wale wanaoelewa Elon alichomaanisha, wanaposhuhudia habari inapotoshwa kuhusu hiyo scam inaanzia hatua gani katika covid!
Kwa ufahamu wangu utapeli unaanzia kwenye namna ya kushughulikia tatizo la covid kwa kuibua mbinu za kibiashara ikiwemo chanjo yenye utafiti hafifu ikiambatana na mbwembwe kama za mganga wa jadi.
Lakin nitamshangaa sana atakayekana uwepo wa virus vya corona na uhatari wake! Hata jpm, may day, one man down, hakuwai kuwa na mlengo huo.
Elon anajua kuwa virus vilizalishwa kibiashara. Vikawa promoted kibiashara na makandokando yake ya kibiashara.
Corona virus was and is real,
How to combat it, imminence of danger, is a scam!
 
Pumba tupu za conspiracy
 
Pumba tupu za conspiracy
Nenda kawachanje ndugu zako,

Red cross wametangaza miezi kadhaa imepita kuwa mtu aliyechanja haruhusiwi kufanya blood donation,

Endelea kutembea gizani.
 
Kwamba ndo hao hao walishauri tuchanje watu wetu baada ya Magu kuondoka?

Au tuseme Magu aliondoka na ds yake sio!!!
Sina ushahidi ya waliochinjwa.. Labda uniorodheshee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…