Elon Musk is a croock freemason ushahidi umewekwa wazi the code X is debunked

Elon Musk is a croock freemason ushahidi umewekwa wazi the code X is debunked

Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.

Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.

Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu jamaa tajiri elon musk nae kaja na ukweli wote kwamba taasisi ya wanga na wachawi inamiliki pia mtandao wa X. Chata yao hii hapa. Ushauri wangu jikite mbali sana na hii mitandao ya kijamii na pia epuka kutumia majina yako halisi,tarehe halisi ya kuzaliwa pamoja na mwaka utanishukuru kumbuka usiweke picha zako wewe na familia yako pia. Hawa watu wanajua kila kitu.

Kama wewe unafuatilia mitandao hii ni kawaida yako kuota ndoto za watu maarufu kama Wanasiasa na wasanii. Hizo siyo ndoto nzur. Ukiota msanii au mwanasiasa mara nyingi sana jua nyota yako ipo hatarini.

Epuka mitandao ya kijamii tumia kwa akili usiwele taarifa zako za kweli mfano email au namba ya simu zitowe huko anza upya na fekelo lako utanishukuru.

Alama hizi za dini ya freemason zilizotumiwa hapa ni kwa manufaaa ya jamii basi mimi sina lengo la kumtoa mtu kwenye hiyo mitandao. Siku hizi ukimponda mtuaarufu anakufata hadi ndotoni ukiwa umelala.
hata mtandao unatumia, umeundwa na mashetani. ila tunawapora na kuutumia kwa faida yetu.
 
Intelligent businessman njoo uone ujinga wa hali ya juu
Moja Kati ya watu wapuuzi ni mwandishi 😃😁.
👉 Usikute ana kaa kwa shemeji yake😁😃🤒
👉Mtu ana project ambazo ziko wazi, magari ya umeme nayo Ni free Mason 😁🤔
👉Barabara ya chini kwa chini nayo Ni free masson 😁🤔
👉Safari za anga nazo ni free Mason🤔😁
👉 Tweeter na Facebook lengo SI dunia ikonect we una hisi nini??
👉Halafu usikute dogo ana kaa kwa shemeji, na mla nyeto mkubwa mshamba_hachekwi 🤒
 
Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.

Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.

Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu jamaa tajiri elon musk nae kaja na ukweli wote kwamba taasisi ya wanga na wachawi inamiliki pia mtandao wa X. Chata yao hii hapa. Ushauri wangu jikite mbali sana na hii mitandao ya kijamii na pia epuka kutumia majina yako halisi,tarehe halisi ya kuzaliwa pamoja na mwaka utanishukuru kumbuka usiweke picha zako wewe na familia yako pia. Hawa watu wanajua kila kitu.

Kama wewe unafuatilia mitandao hii ni kawaida yako kuota ndoto za watu maarufu kama Wanasiasa na wasanii. Hizo siyo ndoto nzur. Ukiota msanii au mwanasiasa mara nyingi sana jua nyota yako ipo hatarini.

Epuka mitandao ya kijamii tumia kwa akili usiwele taarifa zako za kweli mfano email au namba ya simu zitowe huko anza upya na fekelo lako utanishukuru.

Alama hizi za dini ya freemason zilizotumiwa hapa ni kwa manufaaa ya jamii basi mimi sina lengo la kumtoa mtu kwenye hiyo mitandao. Siku hizi ukimponda mtuaarufu anakufata hadi ndotoni ukiwa umelala.
Soma, elimu itakusaidia...😅
 
Moja Kati ya watu wapuuzi ni mwandishi 😃😁.
👉 Usikute ana kaa kwa shemeji yake😁😃🤒
👉Mtu ana project ambazo ziko wazi, magari ya umeme nayo Ni free Mason 😁🤔
👉Barabara ya chini kwa chini nayo Ni free masson 😁🤔
👉Safari za anga nazo ni free Mason🤔😁
👉 Tweeter na Facebook lengo SI dunia ikonect we una hisi nini??
👉Halafu usikute dogo ana kaa kwa shemeji, na mla nyeto mkubwa mshamba_hachekwi 🤒
too personal, hapa umetuma diss track
 
Sisi tulishindwa kuutumia ushawi wetu vizuri, sahivi tunajikuta binamu zake Yakobo na Muhamad
 
Mwamposa atakuletea majanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20230731-WA0120.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom