Elon Musk is a croock freemason ushahidi umewekwa wazi the code X is debunked

Elon Musk is a croock freemason ushahidi umewekwa wazi the code X is debunked

Huu ujinga upo mpaka leo?
Tafuta pesa bro, hacha kuita watu majina mabaya kwa vile wana pesa ndeefu, na wewe huna,
Kwa, mwendo huu, mtoto atakae zaliwa Leo, akifikisha miaka 25,atasema Diamond ni freemason, kwa vile tu atamkuta ana pesa ndeefu, watu wanaumiza vichwa, wewe unashinda unaomba Mungu! Akupe V8, bila kutoa jasho.
Mapete ya mafuvu ya Nini,
 
Akili za waafrika haya nendeni mkaombe chakula russia
 
Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.

Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.

Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu jamaa tajiri elon musk nae kaja na ukweli wote kwamba taasisi ya wanga na wachawi inamiliki pia mtandao wa X. Chata yao hii hapa. Ushauri wangu jikite mbali sana na hii mitandao ya kijamii na pia epuka kutumia majina yako halisi,tarehe halisi ya kuzaliwa pamoja na mwaka utanishukuru kumbuka usiweke picha zako wewe na familia yako pia. Hawa watu wanajua kila kitu.

Kama wewe unafuatilia mitandao hii ni kawaida yako kuota ndoto za watu maarufu kama Wanasiasa na wasanii. Hizo siyo ndoto nzur. Ukiota msanii au mwanasiasa mara nyingi sana jua nyota yako ipo hatarini.

Epuka mitandao ya kijamii tumia kwa akili usiwele taarifa zako za kweli mfano email au namba ya simu zitowe huko anza upya na fekelo lako utanishukuru.

Alama hizi za dini ya freemason zilizotumiwa hapa ni kwa manufaaa ya jamii basi mimi sina lengo la kumtoa mtu kwenye hiyo mitandao. Siku hizi ukimponda mtuaarufu anakufata hadi ndotoni ukiwa umelala.

View attachment 2704094View attachment 2704105
Suala la kusema eti sijui tuepuke kuweka Majina halisi,, eti Tarehe na mwaka wa kuzaliwa..halisaidii kitu mkuu....

Kwa maana hata vitambulisho vya taifa mpaka Fingerprint tumeweka na Details zetu zote..na Mashine Zimetoka huko huko Kwa wazungu...

Mtandao wa ATM ni wao waligundua...
Teknolojia ya kujisajili kwa alama za Vidole ni wao wametuletea...

Sasa wakiamua kupata Details zako watazipata tuu usijidanganye eti unaweza kwepa chochote .....

Sasa hivi serikali zote duniani huwezi kupata huduma kwa Cash tuko kwenye 'Cashless Society' na kote huku ni lazima ukute umejisajili tena kwa Fingerprint..na Mitambo na teknolojia yote imetoka kwao...

Mpaka hapo Wakikutaka hawajakupata tuu?...
 
We endelea tu kuvuta ndumu badala ya kujituma kila mwenye mafanikio free mason bro huo ni ujinga tafuta hela

Maskini always anamawazo negative
Yaani haoni hustle za jamaa yeye anaona uchawi ambao sie hatuoni
 
Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.

Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.

Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu jamaa tajiri elon musk nae kaja na ukweli wote kwamba taasisi ya wanga na wachawi inamiliki pia mtandao wa X. Chata yao hii hapa. Ushauri wangu jikite mbali sana na hii mitandao ya kijamii na pia epuka kutumia majina yako halisi,tarehe halisi ya kuzaliwa pamoja na mwaka utanishukuru kumbuka usiweke picha zako wewe na familia yako pia. Hawa watu wanajua kila kitu.

Kama wewe unafuatilia mitandao hii ni kawaida yako kuota ndoto za watu maarufu kama Wanasiasa na wasanii. Hizo siyo ndoto nzur. Ukiota msanii au mwanasiasa mara nyingi sana jua nyota yako ipo hatarini.

Epuka mitandao ya kijamii tumia kwa akili usiwele taarifa zako za kweli mfano email au namba ya simu zitowe huko anza upya na fekelo lako utanishukuru.

Alama hizi za dini ya freemason zilizotumiwa hapa ni kwa manufaaa ya jamii basi mimi sina lengo la kumtoa mtu kwenye hiyo mitandao. Siku hizi ukimponda mtuaarufu anakufata hadi ndotoni ukiwa umelala.

View attachment 2704094View attachment 2704105
Umekumbuka ulipoweka sandal zako lakini?
 
Tayari star link ipo Rwanda
Unadhani ni huduma ya watu masikini thubutu kitaa chake kununua $ 300 kila mwezi $ 180...duo level ya waafafrika wengi .....bubdor as buku buku bado ndio sizevyetu
 
badison

b - 2
a - 1
d - 4
i - 9
s - 19
o - 15
n - 14

2+1+4+9+19+15+14=62

62ร—1+604+0 = 666
Wewe pia ni freemason ndugu[emoji31]
2+1+4+9+19+15+14= 64 SIO 62!!

VIHESABU UCHWARA HIVYO VYA KISABATO[emoji1787][emoji1787]
 
Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.

Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.

Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu jamaa tajiri elon musk nae kaja na ukweli wote kwamba taasisi ya wanga na wachawi inamiliki pia mtandao wa X. Chata yao hii hapa. Ushauri wangu jikite mbali sana na hii mitandao ya kijamii na pia epuka kutumia majina yako halisi,tarehe halisi ya kuzaliwa pamoja na mwaka utanishukuru kumbuka usiweke picha zako wewe na familia yako pia. Hawa watu wanajua kila kitu.

Kama wewe unafuatilia mitandao hii ni kawaida yako kuota ndoto za watu maarufu kama Wanasiasa na wasanii. Hizo siyo ndoto nzur. Ukiota msanii au mwanasiasa mara nyingi sana jua nyota yako ipo hatarini.

Epuka mitandao ya kijamii tumia kwa akili usiwele taarifa zako za kweli mfano email au namba ya simu zitowe huko anza upya na fekelo lako utanishukuru.

Alama hizi za dini ya freemason zilizotumiwa hapa ni kwa manufaaa ya jamii basi mimi sina lengo la kumtoa mtu kwenye hiyo mitandao. Siku hizi ukimponda mtuaarufu anakufata hadi ndotoni ukiwa umelala.

View attachment 2704094View attachment 2704105
Mpeleke Polisi
 
Kwa level za utajiri wake yuko kwenye daraja sahihi la The Masons.. Daraja la utukufu wa dunia.. Amevuka vile viwango vya kukemewa mapepo na kwenda kanisani siku ya ibada

Hana tofauti na Mfalme Suleiman baada ya kutunukiwa utajiri na Mwenyezi Mungu akajitaafutia mapepo 72 ya kumlinda

Elon Musk kwasasa yuko eneo salama zaidi la Freemason, sisi acha tuendelee na akina mwamposa

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee๐Ÿค”
 
Back
Top Bottom