bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Huyu na wa Arusha hata degree ya tatu Hawana Wala ajamfikia hata level ya jay zMwamposa atakuletea majanga ๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu na wa Arusha hata degree ya tatu Hawana Wala ajamfikia hata level ya jay zMwamposa atakuletea majanga ๐๐๐๐
Ije bongo tumechokwa kuuziwa bando bukuTayari star link ipo Rwanda
Mapete ya mafuvu ya Nini,Huu ujinga upo mpaka leo?
Tafuta pesa bro, hacha kuita watu majina mabaya kwa vile wana pesa ndeefu, na wewe huna,
Kwa, mwendo huu, mtoto atakae zaliwa Leo, akifikisha miaka 25,atasema Diamond ni freemason, kwa vile tu atamkuta ana pesa ndeefu, watu wanaumiza vichwa, wewe unashinda unaomba Mungu! Akupe V8, bila kutoa jasho.
๐ฃNakusikitikia SanaMapete ya mafuvu ya Nini,
Endelea kusikitika๐ฃNakusikitikia Sana
Suala la kusema eti sijui tuepuke kuweka Majina halisi,, eti Tarehe na mwaka wa kuzaliwa..halisaidii kitu mkuu....Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.
Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.
Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu jamaa tajiri elon musk nae kaja na ukweli wote kwamba taasisi ya wanga na wachawi inamiliki pia mtandao wa X. Chata yao hii hapa. Ushauri wangu jikite mbali sana na hii mitandao ya kijamii na pia epuka kutumia majina yako halisi,tarehe halisi ya kuzaliwa pamoja na mwaka utanishukuru kumbuka usiweke picha zako wewe na familia yako pia. Hawa watu wanajua kila kitu.
Kama wewe unafuatilia mitandao hii ni kawaida yako kuota ndoto za watu maarufu kama Wanasiasa na wasanii. Hizo siyo ndoto nzur. Ukiota msanii au mwanasiasa mara nyingi sana jua nyota yako ipo hatarini.
Epuka mitandao ya kijamii tumia kwa akili usiwele taarifa zako za kweli mfano email au namba ya simu zitowe huko anza upya na fekelo lako utanishukuru.
Alama hizi za dini ya freemason zilizotumiwa hapa ni kwa manufaaa ya jamii basi mimi sina lengo la kumtoa mtu kwenye hiyo mitandao. Siku hizi ukimponda mtuaarufu anakufata hadi ndotoni ukiwa umelala.
View attachment 2704094View attachment 2704105
We endelea tu kuvuta ndumu badala ya kujituma kila mwenye mafanikio free mason bro huo ni ujinga tafuta hela
Umekumbuka ulipoweka sandal zako lakini?Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.
Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.
Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu jamaa tajiri elon musk nae kaja na ukweli wote kwamba taasisi ya wanga na wachawi inamiliki pia mtandao wa X. Chata yao hii hapa. Ushauri wangu jikite mbali sana na hii mitandao ya kijamii na pia epuka kutumia majina yako halisi,tarehe halisi ya kuzaliwa pamoja na mwaka utanishukuru kumbuka usiweke picha zako wewe na familia yako pia. Hawa watu wanajua kila kitu.
Kama wewe unafuatilia mitandao hii ni kawaida yako kuota ndoto za watu maarufu kama Wanasiasa na wasanii. Hizo siyo ndoto nzur. Ukiota msanii au mwanasiasa mara nyingi sana jua nyota yako ipo hatarini.
Epuka mitandao ya kijamii tumia kwa akili usiwele taarifa zako za kweli mfano email au namba ya simu zitowe huko anza upya na fekelo lako utanishukuru.
Alama hizi za dini ya freemason zilizotumiwa hapa ni kwa manufaaa ya jamii basi mimi sina lengo la kumtoa mtu kwenye hiyo mitandao. Siku hizi ukimponda mtuaarufu anakufata hadi ndotoni ukiwa umelala.
View attachment 2704094View attachment 2704105
Kwenye cosmic world namba ya mwisho ni 9badison
b - 2
a - 1
d - 4
i - 9
s - 19
o - 15
n - 14
2+1+4+9+19+15+14=62
62ร1+604+0 = 666
Wewe pia ni freemason ndugu[emoji31]
Unadhani ni huduma ya watu masikini thubutu kitaa chake kununua $ 300 kila mwezi $ 180...duo level ya waafafrika wengi .....bubdor as buku buku bado ndio sizevyetuTayari star link ipo Rwanda
2+1+4+9+19+15+14= 64 SIO 62!!badison
b - 2
a - 1
d - 4
i - 9
s - 19
o - 15
n - 14
2+1+4+9+19+15+14=62
62ร1+604+0 = 666
Wewe pia ni freemason ndugu[emoji31]
Mpeleke PolisiHuyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.
Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.
Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu jamaa tajiri elon musk nae kaja na ukweli wote kwamba taasisi ya wanga na wachawi inamiliki pia mtandao wa X. Chata yao hii hapa. Ushauri wangu jikite mbali sana na hii mitandao ya kijamii na pia epuka kutumia majina yako halisi,tarehe halisi ya kuzaliwa pamoja na mwaka utanishukuru kumbuka usiweke picha zako wewe na familia yako pia. Hawa watu wanajua kila kitu.
Kama wewe unafuatilia mitandao hii ni kawaida yako kuota ndoto za watu maarufu kama Wanasiasa na wasanii. Hizo siyo ndoto nzur. Ukiota msanii au mwanasiasa mara nyingi sana jua nyota yako ipo hatarini.
Epuka mitandao ya kijamii tumia kwa akili usiwele taarifa zako za kweli mfano email au namba ya simu zitowe huko anza upya na fekelo lako utanishukuru.
Alama hizi za dini ya freemason zilizotumiwa hapa ni kwa manufaaa ya jamii basi mimi sina lengo la kumtoa mtu kwenye hiyo mitandao. Siku hizi ukimponda mtuaarufu anakufata hadi ndotoni ukiwa umelala.
View attachment 2704094View attachment 2704105
๐๐๐๐Huyu na wa Arusha hata degree ya tatu Hawana Wala ajamfikia hata level ya jay z
Aisee๐คKwa level za utajiri wake yuko kwenye daraja sahihi la The Masons.. Daraja la utukufu wa dunia.. Amevuka vile viwango vya kukemewa mapepo na kwenda kanisani siku ya ibada
Hana tofauti na Mfalme Suleiman baada ya kutunukiwa utajiri na Mwenyezi Mungu akajitaafutia mapepo 72 ya kumlinda
Elon Musk kwasasa yuko eneo salama zaidi la Freemason, sisi acha tuendelee na akina mwamposa
Sent using Jamii Forums mobile app