Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Mambo km haya yamefanya Africa kuwa masikini kila siku.Kuna muda unaona watu waliozaliwa na kuishi before internet walikuwa na maisha mazuri na yaliyojaa utukufu
Wamependa wenyewe hakuna aliyewalazimisha,na wala hawajaja kulalamika kwako,nashangaa umejitolea kuwasemea.Ukiwakuta walivyochoka wanatembea kutoka Kawe, wengine destination Mbagala....kweli uchawi upo
Okay!.... kutumia hiyo mitandao sio vibaya labda kuanika taarifa zako muhimu ndio inaweza kuwa makosa.Ushauri wangu jikite mbali sana na hii mitandao ya kijamii na pia epuka kutumia majina yako halisi,tarehe halisi ya kuzaliwa pamoja na mwaka utanishukuru kumbuka usiweke picha zako wewe na familia yako pia. Hawa watu wanajua kila kitu.
[emoji1787][emoji1787]We endelea tu kuvuta ndumu badala ya kujituma kila mwenye mafanikio free mason bro huo ni ujinga tafuta hela
Ndoto.?Mimi nilimuota msanii mkubwa bongo
Huu ujinga upo mpaka leo?Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.
Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.
Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu jamaa tajiri elon musk nae kaja na ukweli wote kwamba taasisi ya wanga na wachawi inamiliki pia mtandao wa X. Chata yao hii hapa. Ushauri wangu jikite mbali sana na hii mitandao ya kijamii na pia epuka kutumia majina yako halisi,tarehe halisi ya kuzaliwa pamoja na mwaka utanishukuru kumbuka usiweke picha zako wewe na familia yako pia. Hawa watu wanajua kila kitu.
Kama wewe unafuatilia mitandao hii ni kawaida yako kuota ndoto za watu maarufu kama Wanasiasa na wasanii. Hizo siyo ndoto nzur. Ukiota msanii au mwanasiasa mara nyingi sana jua nyota yako ipo hatarini.
Epuka mitandao ya kijamii tumia kwa akili usiwele taarifa zako za kweli mfano email au namba ya simu zitowe huko anza upya na fekelo lako utanishukuru.
Alama hizi za dini ya freemason zilizotumiwa hapa ni kwa manufaaa ya jamii basi mimi sina lengo la kumtoa mtu kwenye hiyo mitandao. Siku hizi ukimponda mtuaarufu anakufata hadi ndotoni ukiwa umelala.
View attachment 2704094View attachment 2704105
Kwa kweliiPicha yako wakitaka hawakosi wanaipata NIDA,Rita, immigration,chuoni nk
Kwa tafsiri ya nje.freemason ni nini hasa
Freemasonry is fundamentally a self-improvement, volunteer association that teaches moral, intellectual, and spiritual lessons through three initiation ceremonies. Freemasonry's three degree are modeled after a craftsman's progress: Apprentice, Fellowcraft, and Master Mason.
Freemasonry
Washington joined the Masons in 1752 at the age of 20 and was a lifelong member.www.mountvernon.org