Elon Musk is a croock freemason ushahidi umewekwa wazi the code X is debunked

Mapete ya mafuvu ya Nini,
 
Akili za waafrika haya nendeni mkaombe chakula russia
 
Suala la kusema eti sijui tuepuke kuweka Majina halisi,, eti Tarehe na mwaka wa kuzaliwa..halisaidii kitu mkuu....

Kwa maana hata vitambulisho vya taifa mpaka Fingerprint tumeweka na Details zetu zote..na Mashine Zimetoka huko huko Kwa wazungu...

Mtandao wa ATM ni wao waligundua...
Teknolojia ya kujisajili kwa alama za Vidole ni wao wametuletea...

Sasa wakiamua kupata Details zako watazipata tuu usijidanganye eti unaweza kwepa chochote .....

Sasa hivi serikali zote duniani huwezi kupata huduma kwa Cash tuko kwenye 'Cashless Society' na kote huku ni lazima ukute umejisajili tena kwa Fingerprint..na Mitambo na teknolojia yote imetoka kwao...

Mpaka hapo Wakikutaka hawajakupata tuu?...
 
We endelea tu kuvuta ndumu badala ya kujituma kila mwenye mafanikio free mason bro huo ni ujinga tafuta hela

Maskini always anamawazo negative
Yaani haoni hustle za jamaa yeye anaona uchawi ambao sie hatuoni
 
Umekumbuka ulipoweka sandal zako lakini?
 
Tayari star link ipo Rwanda
Unadhani ni huduma ya watu masikini thubutu kitaa chake kununua $ 300 kila mwezi $ 180...duo level ya waafafrika wengi .....bubdor as buku buku bado ndio sizevyetu
 
badison

b - 2
a - 1
d - 4
i - 9
s - 19
o - 15
n - 14

2+1+4+9+19+15+14=62

62ร—1+604+0 = 666
Wewe pia ni freemason ndugu[emoji31]
2+1+4+9+19+15+14= 64 SIO 62!!

VIHESABU UCHWARA HIVYO VYA KISABATO[emoji1787][emoji1787]
 
Mpeleke Polisi
 
Aisee๐Ÿค”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ