Elon Musk: My wife is a Robot

Elon Musk: My wife is a Robot

Aiiiiiiii naona mkijizima data na kujiliwaza kuwa mmepona majukumu?

Robots wakawazalie na watoto, ila najua wanaume wa ukweli wanao mcha Mungu watabaki na sisi.
Unadetije na robot kwanza kwa hapa Tanzania nafikiria Serikali isiruhusu huo ushetani likipata hitilafu unapigwa shoti mpaka unakomaa uzinzi
 
Unadetije na robot kwanza kwa hapa Tanzania nafikiria Serikali isiruhusu huo ushetani likipata hitilafu unapigwa shoti mpaka unakomaa uzinzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndio maana Elon Musk na jopo zima la wanafizikia watatumia muda wote kuchunguza kama kuna hitilafu ndogo ndogo zitakazojitokeza ili wazisawazishe

Hao wanawake wako tayari kabisa kwa matumizi kwa sasa

Kuhusu shoti ondoa shaka. Wakati wanaingia nchini, utani PM nikuongezee walau 1m ukaburudishe mjegeje
 
Back
Top Bottom