Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
kwa hiyo unataka kufananisha Wanawake bandia wa Musk na vitu vya kijinga kama IST na Wanawake!!?Ni sawa na IST 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo unataka kufananisha Wanawake bandia wa Musk na vitu vya kijinga kama IST na Wanawake!!?Ni sawa na IST 2
Hata kupitisha watoto sio lazima sana, ukizingua mtoto anapatikana kiwandani, ni hela yako tuu.Wanawake hatuna umuhimu tena, labda kupitisha watoto tu
Pengine nayo itakuwa tamu kuliko binadamu ikiingia jaribu uone, hakuna kulinga, kunuka kikwapa, mdomo, kuchelewa,mara period ya ghafla unaenda site ukiwa na uhakika.Kwa lugha nyingine ni kwamba Elon Musk kajiboreshea namna ya kupiga nyeto.
Ukiachana na u-agent wake kwa Shetani, huyu Elon anawezaje kuwashawishi watu waachane na papuchi halisi wahangaike na midoli? Yaani papuchi halisi zilivyo tamu niachane nazo kwa teknolojia za kishetani shetani? Siyo mimi aiseee.
Hivyo vyote inategemea mtu na mtu, ukiona watu wanaenda kwenye madanguro je ni wote wanaweza kwendaKuna raha yake mwanamke anaponionea wivu, Kuna raha yake pale tunalumbana na kupatana, Kuna raha yake mwanamke anaponionesha madeko, Kuna raha ya kipekee tunapokaa na kujadiri mustakabali wa mambo yanayotuzunguka. Kuna raha yake ninaposhikwa ni kimuhemuhe kuona mwanamke wangu anavyotamaniwa na wakora anavyotembea, anavyoshirikiana na kuongea na watu wengine. Mungu aliweka haya yote ili kuufanya upendo kati ya jinsia mbili ubaki wa KIPEKEE. Robot hawezi kuyafanya haya yote so daima nitampenda mwanamke halisi na hata kuwafundisha watoto wangu kubaki katika NATURALITY.
Ni sawa na Range Rover moja used kali sana 😀Hivi haya ndio yale modern Robots yenye hisia kabisa?
R150,000 kwa hela ya TZ ni sawa na bei gani?
Kum replace ni chap tu kwa kutumia Ai unaweza kusadifu character zake kama huyo robot ana hisia ukimuudhi anakumaindi. Ishu kubwa hataweza kuzaaMkuu, kumreplace mwanamke sio jambo rahisi. Wameumbwa kipekee sana.
Husband robot hayupo na hatakuwepo. Changamoto ni mbunye tuNa Husband robot wanatoka lini?
Wanawake lazma wationea wivu hii midoli🤣Mwanaume kupata watoto na mwanamke ni jambo ambalo halizuiliki na ni ngumu sana mwanamke kuweka mgomo eneo hilo sababu hata yeye anataka mtoto.
Shida ni nyie wanawake kugeuza mahusiano fursa ya kujipatia kipato ili kutatua shida zenu ambazo ukizitazama hazina umuhimu wa kupewa kipaumbele kwa namna nyie mnazipa kipaumbele.
Sisi wanaume hatuna shida kuishi na mwanamke akiwa anajitambua na hana drama za kitoto, awe focused kwenye maisha tu na sio kuchuna mwanaume, kufuja pesa zake, kulazimisha mahitaji yake binafsi kuwa kipaumbele kwa mwanaume, kulazimisha attention hata muda ambao anatakiwa kuprovide space ya kufanya mambo mengine ya kifamilia, etc.
Hizi kero ndizo zinatufanya wanaume tuone mzigo sana kudeal na wanawake binadamu sababu Wanawake ninyi mnaona kuwa kuleta drama, visa, maghubu, vituko, na fujo kwenye mahusiano ni sehemu ya mahusiano jambo ambalo si kweli.
Sasa ngoja bwana Elon Musk atutengenezee pisi zetu hizi. Nakuwa nae kabatini. Mwanamke akileta za kuleta nalitoa kabatini, naliwasha natandika godoro tunaanza kupeana utamu. Sitaki kelele wala kuingiliwa na "my wangu robot"
Kwa Roboti hilo limepita bila kupingwa maana si utelezi wa mbunye unakuwepo bila mizinga wala kero. Napiga nyagi yangu kisha nikirudi home naenda kulizagamua kisha nalala zangu.Kwa marobot hutaona watu wakipinga, mbna ndo watashangilia sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah huyo robot hajaja kuwa replace ila amekuja kuleta ushindani jimboni.Mtahangaika mtarudi tu, Sisi Og, kuku wa kienyeji ndo tupo.....
Mmeuliza huo mdoli unajua kununa? Unaweza kuomba hela ya vikoba? Unajua kutwerk na kuangusha moja moja? Una gubu? Unaweza kuifinyia Kwa ndani? Unasquirt?
Mtarudi tu....tupo tumekaa paleeee, nyie jihangaisheni.
Sie wenyewe vidildo vimetushinda🤣🤣🤣 manake hata haviwezi kutuslap kwenye wowowooo🤣🤣🤣 achilia mbali haviombeki hela🤣🤣🤣
Boga lilivyo gumu vile 🤣🤣🤣 bora hata tikiti majiMnamshanga elon musk bure, haya mambo hata kwa waafrika yalikuwepo, kwa wale mliotahiriwa mkiwa wakubwa ukipona tu zoezi la kwanza ni kuchongewa boga tundu saizi yako ulishughulikie kama mwanamke. Baada ya zozi hilo ndio utakuwa tayari umeiva kumshughulikia mwanamke halisi
Sasa ukimchaji siku 3 anakaa mwezi mzima na chaji we una shida gani. Kuna umeme unakatikaga mwezi mzima?Hilo kwa bongo itakuwa ngumu..umeme unakata kata sanaa ...unaeza jiandaa kwenda kuzagamua..unakuta umeme umekataa...labda alete na vijenereta kama mmbadala
Huyo anawekewa temperature sensor ya kuakisi joto la mwili wa binadamu. Achana na mzungu wewe tena Elon Musk akili mingiii🤣Mdoli hauna lile joto linalokufanywa umwage mpaka ubongo
Unawaweka kwenye lodge yako tu mtu akihitaji huduma unampatia moja akaserebuke nalo aache ya uchakavu buku 20 tu akapambane nalo hadi kunapokucha uone kama serikali haijawapandisha kodi wakafika million 50 per doll.Fulsa kama Fulsa. Unawapangishia na vyumba kabisa. Unatengeneza Uwanja wako mdogo wa Fisi[emoji23]
Hitilafu si linazimika🤣Unadetije na robot kwanza kwa hapa Tanzania nafikiria Serikali isiruhusu huo ushetani likipata hitilafu unapigwa shoti mpaka unakomaa uzinzi
ww kijana umemaliza yoteHahahah huyo robot hajaja kuwa replace ila amekuja kuleta ushindani jimboni.
1.Haombi hela.
2.Hacheat na mwanaume mwengine
3.Hachoki yani show show dakika yeyote unaliamsha.
4.Hana magonjwa ya ngono
5.Hana gubu na misuso
6.Halogi mume
[emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii
Kum replace ni chap tu kwa kutumia Ai unaweza kusadifu character zake kama huyo robot ana hisia ukimuudhi anakumaindi. Ishu kubwa hataweza kuzaa
Wait! Sasa huyo ni robot au jini? Isijekuwa majini yameanza kuja in robot comouflage.Kum replace ni chap tu kwa kutumia Ai unaweza kusadifu character zake kama huyo robot ana hisia ukimuudhi anakumaindi. Ishu kubwa hataweza kuzaa